Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,667
- 20,380
halafu awashe siku ambazo wao hawajawasha. hapo inakuwa ngoma droo.Nunua muziki mnene kuliko yeye akiwasha nawe unawasha
halafu awashe siku ambazo wao hawajawasha. hapo inakuwa ngoma droo.Nunua muziki mnene kuliko yeye akiwasha nawe unawasha
Hahahhahaha umeme ukikatika tu shughuli imeishaNunua Sabufa lako la 200k,tia nyimbo za fujo fujo kwenye flash, liwashe mida ya jioni. Fungulia sauti mpk mwisho, funga mlango wako alaf ww nenda katafte pa kulala hata siku mbili, ukirud tupe mrejesho.
Hahahhahah hili lielekezewe madirishani wanamolala hao majirani lazma keshokutwa mkae kikao cha maridhiano😂😂😂😂Undava undava.View attachment 2111242
HahahahhahaAzima pikpiki kubwa (BAJA itafaa)
Itoboe kdg exhaust,
Kisha iingize chumban,Tia stendi kubwa.
Afu ipige RESI ZA KUTOSHA MDA uke majiran zao wamezima mxmziki wao ndo wanapumzika.
Kisha
Utanishukuru baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalau wewe jibu lako linatia matumaini..nimejaribu ila hawajagi kabisa hawa watuPiga hizi namba za mamlaka inayohusika na Kelele na mitetemo waje washughulike nae
0800 110 115
0800 110 116
0800 110 117
Hao ndio hasa wanahusika na uchafuzi mazingira kupitia kelele na wana vipimo kujua kama viwango vimezidi.
NB:Ulete mrejesho
Kuna chalii mmoja aliwai Fanya hivyo kipind naish Arusha,Hahahahhaha
Utachelewa Sana mtoa mada,Angalau wewe jibu lako linatia matumaini..nimejaribu ila hawajagi kabisa hawa watu
Ikifika usiku MDA wa kulala.
Chukua clip za EX,(zenye miguno na kelele nyingi)
Kisha play kwenye kwenye sabufa kwa sauti kubwa.
Afu weka repeat mode.
Afu funga chumba chako,
Kisha Nenda zako kalale LODGE utarudi kesho yake asbh kushakucha
Fanya hivyo kwa wiki nzima, TATIZO LITAISHA
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee uswahilini kuna changamoto sana.
Njia nzuri sana hii ila watakushtaki mkuuNunua Sabufa lako la 200k,tia nyimbo za fujo fujo kwenye flash, liwashe mida ya jioni. Fungulia sauti mpk mwisho, funga mlango wako alaf ww nenda katafte pa kulala hata siku mbili, ukirud tupe mrejesho.
Saut ya miguno ya kugegedana inatembea balaa.
Kuna jamaa chuoni alikuwa na Spika kubwa ndefu zile,sasa alikuwa anachukua video za X anaunganisha halafu anaweka sauti mpaka mwisho anailekeza dirishani mchana kweupe halafu anafunga chumba anatokomea kusikojulikana,hizo sauti za kulalamika mademu ni balaaIkifika usiku MDA wa kulala.
Chukua clip za EX,(zenye miguno na kelele nyingi)
Kisha play kwenye kwenye sabufa kwa sauti kubwa.
Afu weka repeat mode.
Afu funga chumba chako,
Kisha Nenda zako kalale LODGE utarudi kesho yake asbh kushakucha
Fanya hivyo kwa wiki nzima, TATIZO LITAISHA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipiga wanasemaje?kama hawaji nenda kwa mwenyekiti wa mtaa au mamlaka zingine za serikali eneo lenuAngalau wewe jibu lako linatia matumaini..nimejaribu ila hawajagi kabisa hawa watu
Kesi wanaiwekaje sasa? Maana utaenda kwa mwenyekiti kulalamikaje kuwa jirani anatiana sana na mkewe kwa sauti ya juu auKuna jamaa chuoni alikuwa na Spika kubwa ndefu zile,sasa alikuwa anachukua video za X anaunganisha halafu anaweka sauti mpaka mwisho anailekeza dirishani mchana kweupe halafu anafunga chumba anatokomea kusikojulikana,hizo sauti za kulalamika mademu ni balaa
Aisee, pale palikuwa hapakaliki wala hapasomeki hosteli karibu tatu zinazokaribiana,kama unaweza vumilia kama huwezi nenda darasani kasome huko.
Ila mleta mada simshauri hii njia,maana hapo atachokoza majirani mtaa mzima,
😂😂😂fanya ivi, dawa ya moto ni moto
Aisee sijui wataiwekaje ila najua hapo hata sheria mkononi watajichukulia tuKesi wanaiwekaje sasa? Maana utaenda kwa mwenyekiti kulalamikaje kuwa jirani anatiana sana na mkewe kwa sauti ya juu au