Masharti magumu kama yapi mkuu, na kama naweza kuwacontrol kwa kufuata hizo njia hapo juu, vipi wanisumbue?Majini yna masharti magumu na endapo utayakosea masharti yake yanaweza kukuwa au kukupatia magonjwa yasiyoweza kutibika MaHospitalini ni kweli kabisa Majini sio ya kuyachezea kabisa.
Very true according to experience, unakuwa mwanadamu mwema lkn walimwengu wanakubadilishaUsipo kuwa na Mungu au shetani dunia hii huwezi kuwa na maisha yenyewe ukwasi wa kutosha.
Wote Wana masharti yao ama afuate masharti yao ule raha au ukatae uangamie. Matajiri wote wanafanya biashara kwanza rohoni baadaye mwilini
A neutral person hawezi win kamweeeèeeeeeeè.
Ukiweza kuwafuata wanavyotaka hawataweza kukusumbuwa Masharti yake mpaka hapo atakapo kuja atakueleza eye mwenyewe anataka ufanye nini ili aweze kukutumikiaMasharti magumu kama yapi mkuu, na kama naweza kuwacontrol kwa kufuata hizo njia hapo juu, vipi wanisumbue?
Utapata mrdi uweze kutimiza masharti ya huyo Jini wa kamari na bahati nasibuSasa nikitaka Pete ya kamari na bahati nasibu, inakuwaje dk???
Coz mimi nacheza sana kamari mkuu
Kwa hiyo mkishindwana mnaachana kiroho safi au ndo yatakuwa majanga mkuu, na mkikubaliana unamfuga kama kuku au anakutumikiaje?Ukiweza kuwafuata wanavyotaka hawataweza kukusumbuwa Masharti yake mpaka hapo atakapo kuja atakueleza eye mwenyewe anataka ufanye nini ili aweze kukutumikia
Mkishindwa kuelewana muna achana kwa usalamaKwa hiyo mkishindwana mnaachana kiroho safi au ndo yatakuwa majanga mkuu, na mkikubaliana unamfuga kama kuku au anakutumikiaje?
Usiogope kawaida tu ni elimu kama elimu zingine.Kaka umetisha
Mkuu kuwa makini kuna shuhuda za watu wamepoteza watoto na ,waume na wake zao kwa sababu ya hivi vitu vinakuja chini ya mwamvuli wa "pete za bahati".Kuna mambo ya ulimwengu usio onekana naona wengi wanaingia lakini hawayajui madhara yake,take it from me "it is a big loss in a long run".Hawa wanaoleta hizi mada nikiwauliza waseme nguvu zao wanapata kutoka kwa Mungu au kutoka gizani(kwa shetani) hawajibu.Kwa hiyo mkishindwana mnaachana kiroho safi au ndo yatakuwa majanga mkuu, na mkikubaliana unamfuga kama kuku au anakutumikiaje?
Duuuh, business everywhereMkuu kuwa makini kuna shuhuda za watu wamepoteza watoto na ,waume na wake zao kwa sababu ya hivi vitu vinakuja chini ya mwamvuli wa "pete za bahati".Kuna mambo ya ulimwengu usio onekana naona wengi wanaingia lakini hawayajui madhara yake,take it from me "it is a big loss in a long run".Hawa wanaoleta hizi mada nikiwauliza waseme nguvu zao wanapata kutoka kwa Mungu au kutoka gizani(kwa shetani) hawajibu.
Muda unanibana lakini nitaandaa thread kuhusu hizi pete za bahati,watu wanapoteza nafsi zao kwa kupewa vitu vinavyoonekana kwa macho kama majumba,magari etc.
Technique inayotumiwa sasa,jamaa wanakuja na mada wanaelezea jinsi wachawi wanavyologa au kuleta matatizo au majini,mwishoni wanatoa namba za simu kwamba wanaweza kukusaidia.
mi avatar yako hatari hatari mzeeDuuuh, business everywhere
Kama kawa mkuu me ndo Raisi wa wapenda mizigo dunia nzimami avatar yako hatari hatari mzee
Unataka nikutumie mmoja wapo akujie leo ili upate kuthibisha hao viumbe wapo?