Jinsi ya kuwadhibiti majini hawa wanne na kuwatumia kupitia pete

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125
JINSI YA KUWADHIBITI MAJINI HAWA WANNE NA KUWATUMIA KUPITIA PETE


Jinni ni jina waliyopewa majini wote. Kuna habari nyingi zinazotafautiana kuhusu vyeo vya majini kutokana na nguvu zao. Lakini watu wote wanaamini kwamba daraja zao zinaendana kutokana na nguvu zao na umri wao. Ili kufahamu zaidi hii ni orodha ya baadhi ya Majini na uwezo wao,na jinsi ya kuweza kumdhibiti jini huyo kwa kutumia pete ambayo imefukizwa mafusho yake husika na kumtumia katika mambo yako mbalimbali kupitia pete hiyo uliyovaa kidoleni.

AINA YA MAJINI
Kuna aina tatu za majini:
(1) majini ambao huruka angani
(2) Majini ambao maumbo yao ni kama majoka na mbwa.
(3) majini ambao huishi sehemu moja na kuhama hama.



MAKUNDI YA MAJINI
Kuna makundi mengi ya majini:-
(a) Majini ambao huishi na binadamu huitwa ‘Amir.
(b)Majini ambao hushambulia watoto wa kiume huitwa Ruh (arwaah).
(c) Majini ambao wenye nia mbaya na wenye kiburi huitwa shaytwan.
(d) Majini wenye nguvu kuliko mashetani wanaitwa Marid.
(e) Majini wenye nguvu kuliko marid wanaitwa Ifrit.”


1. JINNI JANN

Jann ni majini wadogo, wenye hadhi ya chini na wasiokuwa na nguvu.
Umbo lao ni kama binadamu na huonekana warefu ila macho yao huwa yanawaka waka na kutoa mwanga wa ajabu.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete yenyewe ni ya jiwe la turqoise na katikati ya pete hiyo ndiyo kuna nguvu za kumdhibiti jini huyu.
Pete yenyewe imezungukwa na mawe manne madogo ambayo kazi zake ni:-
(1) Jiwe la kwanza ni la kukuletea utajiri, heshima na utukufu.
(2) jiwe la pili linakupa mvuto wa kimapenzi na uzuri
(3) Jiwe la tatu linakuletea bahati na kukuondolea matatizo.
(4) jiwe la nne linakupa uwezo wa kumrubuni mtu yeyote unayeongea nae.



2.JINNI DJINN


Djinn majini hawa wana urefu mara mbili zaidi ya mwanadamu ingawa sehemu yake ya chini huwa kama moshi na upepo
majini hawa ni wengi lakini baadhi yao hawana nguvu, kazi yao ni kutisha watu kwa raha zao wenyewe.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete ya kumdhibiti jini huyu ni ya shaba yenye kito cha sapphire ya njano, kazi yake kubwa ni kukuwezesha kushinda michezo kama vile kamari, bahati nasibu na kukushauri sehemu ya kuwekeza kibiashara.


3.JINNI AFRIT

Afrit Minal jini ni Majini wanaojulikana kwa nguvu zao na ujanja.
Jini huyu mwenye umbo la kiume ana ngozi nyororo macho yanayo fuka moshi na pembe ndogo nyeusi. Hutokwa na moshi wa mviringo kutoka mwilini mwake.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete ya kumdhibiti jinni huyu ni ya shaba na kito cha rangi ya blue, Pete hiyo itakusaidia katika Michezo ya bahati nasibu, kukuletea bahati, utajiri, mafanikio katika kazi na biashara zako pamoja na bahati katika masuala ya mapenzi.



4.JINNI MARIDA

Jini Huyu ana sura ya kufanana na Jitu kubwa lenye nguvu, ngozi yake ya mwili ina rangi ya bluu na kijani.

Majini haya ya Marida ni yenye nguvu na uwezo mkubwa sana na huwa wanatumiwa kwalinda na kuwasaidia Wafalme, Matajiri wakubwa, marais na Viongozi wakubwa serekalini. Majini hawa huishi kati ya miaka 2000 na 2500)
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete hii ya shaba na kito cha quartz itakusaidia kudhibiti watu, kuheshimiwa, watu kukuogopa, kuwa na mvuto katika jamii, kujua mambo yatakayokukuta huko unakoelekea, kinga na kukusaidia katika mambo mengi ya kiutawala.
pete ifukizwe mafusho husika kabla ya kuivaa



Ukiwa na Maswali au shida yoyote unawezakunitafuta kwa kubonyez hapa.Mawasiliano Au Piga Simu hizi hapa Kwa Doctor Ally chambas

0653 532036
0764 995259
 

Attachments

  • 1. JINNI JANN.jpg
    1. JINNI JANN.jpg
    16.9 KB · Views: 1,330
  • 2.JINNI DJINN.jpg
    2.JINNI DJINN.jpg
    9.3 KB · Views: 1,073
  • 3.JINNI AFRIT.jpg
    3.JINNI AFRIT.jpg
    4.9 KB · Views: 1,145
  • 4.JINNI MARIDA.jpg
    4.JINNI MARIDA.jpg
    7.6 KB · Views: 1,241
  • Pete fukiza.jpg
    Pete fukiza.jpg
    12.6 KB · Views: 1,167
Nasikia haya majini yana masharti magumu sana pindi unapoyatumia, haiko simple kama maelezo yanavyoonyesha hapo juu

Mtoa mada sijui unazungumziaje hoja hii
Majini yana masharti magumu na endapo utayakosea masharti yake yanaweza kukuwa au kukupatia magonjwa yasiyoweza kutibika MaHospitalini ni kweli kabisa Majini sio ya kuyachezea kabisa.
 
JINSI YA KUWADHIBITI MAJINI HAWA WANNE NA KUWATUMIA KUPITIA PETE


Jinni ni jina waliyopewa majini wote. Kuna habari nyingi zinazotafautiana kuhusu vyeo vya majini kutokana na nguvu zao. Lakini watu wote wanaamini kwamba daraja zao zinaendana kutokana na nguvu zao na umri wao. Ili kufahamu zaidi hii ni orodha ya baadhi ya Majini na uwezo wao,na jinsi ya kuweza kumdhibiti jini huyo kwa kutumia pete ambayo imefukizwa mafusho yake husika na kumtumia katika mambo yako mbalimbali kupitia pete hiyo uliyovaa kidoleni.

AINA YA MAJINI
Kuna aina tatu za majini:
(1) majini ambao huruka angani
(2) Majini ambao maumbo yao ni kama majoka na mbwa.
(3) majini ambao huishi sehemu moja na kuhama hama.



MAKUNDI YA MAJINI
Kuna makundi mengi ya majini:-
(a) Majini ambao huishi na binadamu huitwa ‘Amir.
(b)Majini ambao hushambulia watoto wa kiume huitwa Ruh (arwaah).
(c) Majini ambao wenye nia mbaya na wenye kiburi huitwa shaytwan.
(d) Majini wenye nguvu kuliko mashetani wanaitwa Marid.
(e) Majini wenye nguvu kuliko marid wanaitwa Ifrit.”


1. JINNI JANN

Jann ni majini wadogo, wenye hadhi ya chini na wasiokuwa na nguvu.
Umbo lao ni kama binadamu na huonekana warefu ila macho yao huwa yanawaka waka na kutoa mwanga wa ajabu.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete yenyewe ni ya jiwe la turqoise na katikati ya pete hiyo ndiyo kuna nguvu za kumdhibiti jini huyu.
Pete yenyewe imezungukwa na mawe manne madogo ambayo kazi zake ni:-
(1) Jiwe la kwanza ni la kukuletea utajiri, heshima na utukufu.
(2) jiwe la pili linakupa mvuto wa kimapenzi na uzuri
(3) Jiwe la tatu linakuletea bahati na kukuondolea matatizo.
(4) jiwe la nne linakupa uwezo wa kumrubuni mtu yeyote unayeongea nae.



2.JINNI DJINN


Djinn majini hawa wana urefu mara mbili zaidi ya mwanadamu ingawa sehemu yake ya chini huwa kama moshi na upepo
majini hawa ni wengi lakini baadhi yao hawana nguvu, kazi yao ni kutisha watu kwa raha zao wenyewe.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete ya kumdhibiti jini huyu ni ya shaba yenye kito cha sapphire ya njano, kazi yake kubwa ni kukuwezesha kushinda michezo kama vile kamari, bahati nasibu na kukushauri sehemu ya kuwekeza kibiashara.


3.JINNI AFRIT

Afrit Minal jini ni Majini wanaojulikana kwa nguvu zao na ujanja.
Jini huyu mwenye umbo la kiume ana ngozi nyororo macho yanayo fuka moshi na pembe ndogo nyeusi. Hutokwa na moshi wa mviringo kutoka mwilini mwake.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete ya kumdhibiti jinni huyu ni ya shaba na kito cha rangi ya blue, Pete hiyo itakusaidia katika Michezo ya bahati nasibu, kukuletea bahati, utajiri, mafanikio katika kazi na biashara zako pamoja na bahati katika masuala ya mapenzi.



4.JINNI MARIDA

Jini Huyu ana sura ya kufanana na Jitu kubwa lenye nguvu, ngozi yake ya mwili ina rangi ya bluu na kijani.

Majini haya ya Marida ni yenye nguvu na uwezo mkubwa sana na huwa wanatumiwa kwalinda na kuwasaidia Wafalme, Matajiri wakubwa, marais na Viongozi wakubwa serekalini. Majini hawa huishi kati ya miaka 2000 na 2500)
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete hii ya shaba na kito cha quartz itakusaidia kudhibiti watu, kuheshimiwa, watu kukuogopa, kuwa na mvuto katika jamii, kujua mambo yatakayokukuta huko unakoelekea, kinga na kukusaidia katika mambo mengi ya kiutawala.
pete ifukizwe mafusho husika kabla ya kuivaa



Ukiwa na Maswali au shida yoyote unawezakunitafuta kwa kubonyez hapa.Mawasiliano Au Piga Simu hizi hapa Kwa Doctor Ally chambas

0653 532036
0764 995259
Umeanza usanii. Unaweza kutudhibitishia pasipo shaka kuwa majini yapo?
 
Usipo kuwa na Mungu au shetani dunia hii huwezi kuwa na maisha yenyewe ukwasi wa kutosha.

Wote Wana masharti yao ama afuate masharti yao ule raha au ukatae uangamie. Matajiri wote wanafanya biashara kwanza rohoni baadaye mwilini

A neutral person hawezi win kamweeeèeeeeeeè.
 
Hahahahahahahaa daaaah. Mada kama hizi ni za aibu kwa great thinker kujadili
Aibu kwako wewe Mtoto mdogo usie juwa dunia jinsi ilivyo kwangu mimi ni jambo kubwa sana wewe bado bwana mdogo hujajuwa Dunia jinsi inavyoendeshwa na viumbe wa giza nenda shule ukajifunze au waulize watu wazima waliokuzidi umri utaambiwa.
 
JINSI YA KUWADHIBITI MAJINI HAWA WANNE NA KUWATUMIA KUPITIA PETE


Jinni ni jina waliyopewa majini wote. Kuna habari nyingi zinazotafautiana kuhusu vyeo vya majini kutokana na nguvu zao. Lakini watu wote wanaamini kwamba daraja zao zinaendana kutokana na nguvu zao na umri wao. Ili kufahamu zaidi hii ni orodha ya baadhi ya Majini na uwezo wao,na jinsi ya kuweza kumdhibiti jini huyo kwa kutumia pete ambayo imefukizwa mafusho yake husika na kumtumia katika mambo yako mbalimbali kupitia pete hiyo uliyovaa kidoleni.

AINA YA MAJINI
Kuna aina tatu za majini:
(1) majini ambao huruka angani
(2) Majini ambao maumbo yao ni kama majoka na mbwa.
(3) majini ambao huishi sehemu moja na kuhama hama.



MAKUNDI YA MAJINI
Kuna makundi mengi ya majini:-
(a) Majini ambao huishi na binadamu huitwa ‘Amir.
(b)Majini ambao hushambulia watoto wa kiume huitwa Ruh (arwaah).
(c) Majini ambao wenye nia mbaya na wenye kiburi huitwa shaytwan.
(d) Majini wenye nguvu kuliko mashetani wanaitwa Marid.
(e) Majini wenye nguvu kuliko marid wanaitwa Ifrit.”


1. JINNI JANN

Jann ni majini wadogo, wenye hadhi ya chini na wasiokuwa na nguvu.
Umbo lao ni kama binadamu na huonekana warefu ila macho yao huwa yanawaka waka na kutoa mwanga wa ajabu.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete yenyewe ni ya jiwe la turqoise na katikati ya pete hiyo ndiyo kuna nguvu za kumdhibiti jini huyu.
Pete yenyewe imezungukwa na mawe manne madogo ambayo kazi zake ni:-
(1) Jiwe la kwanza ni la kukuletea utajiri, heshima na utukufu.
(2) jiwe la pili linakupa mvuto wa kimapenzi na uzuri
(3) Jiwe la tatu linakuletea bahati na kukuondolea matatizo.
(4) jiwe la nne linakupa uwezo wa kumrubuni mtu yeyote unayeongea nae.



2.JINNI DJINN


Djinn majini hawa wana urefu mara mbili zaidi ya mwanadamu ingawa sehemu yake ya chini huwa kama moshi na upepo
majini hawa ni wengi lakini baadhi yao hawana nguvu, kazi yao ni kutisha watu kwa raha zao wenyewe.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete ya kumdhibiti jini huyu ni ya shaba yenye kito cha sapphire ya njano, kazi yake kubwa ni kukuwezesha kushinda michezo kama vile kamari, bahati nasibu na kukushauri sehemu ya kuwekeza kibiashara.


3.JINNI AFRIT

Afrit Minal jini ni Majini wanaojulikana kwa nguvu zao na ujanja.
Jini huyu mwenye umbo la kiume ana ngozi nyororo macho yanayo fuka moshi na pembe ndogo nyeusi. Hutokwa na moshi wa mviringo kutoka mwilini mwake.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete ya kumdhibiti jinni huyu ni ya shaba na kito cha rangi ya blue, Pete hiyo itakusaidia katika Michezo ya bahati nasibu, kukuletea bahati, utajiri, mafanikio katika kazi na biashara zako pamoja na bahati katika masuala ya mapenzi.



4.JINNI MARIDA

Jini Huyu ana sura ya kufanana na Jitu kubwa lenye nguvu, ngozi yake ya mwili ina rangi ya bluu na kijani.

Majini haya ya Marida ni yenye nguvu na uwezo mkubwa sana na huwa wanatumiwa kwalinda na kuwasaidia Wafalme, Matajiri wakubwa, marais na Viongozi wakubwa serekalini. Majini hawa huishi kati ya miaka 2000 na 2500)
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete hii ya shaba na kito cha quartz itakusaidia kudhibiti watu, kuheshimiwa, watu kukuogopa, kuwa na mvuto katika jamii, kujua mambo yatakayokukuta huko unakoelekea, kinga na kukusaidia katika mambo mengi ya kiutawala.
pete ifukizwe mafusho husika kabla ya kuivaa



Ukiwa na Maswali au shida yoyote unawezakunitafuta kwa kubonyez hapa.Mawasiliano Au Piga Simu hizi hapa Kwa Doctor Ally chambas

0653 532036
0764 995259



hawa majinni wako mbona weupe hakuna weusi???
su ndo pics za google!
 
Back
Top Bottom