sawa mkuu mimi nipo teyal kwa lolote lile ili mradi simdhuru mtu mwingineSio Kwenda Kwa Watu Kwa Nafsi Zilizopo Huko...
Rakims
kuwa jasiri baba utaweza tu ,mimi mwenyew mwanzoni iliniwia vigumu lakini sikukata tamaa hatimae nikawezaDaa hili zoezi linahitaji uvumilivu na nidhamu ya halo ya juu!!
Nimefatilia huu Uzi kwa miezi kadhaa sasa, nilijifunza meditation na kufikia hatua flani ambapo nilihisi sipo, yaani sikuhisi kama Nina mwili wangu!! Nikaishia hapo, ukweli ni kwamba nilijisikia vizur sana siku ile hasa kimawazo nilikuwa calm! Nilijihisi tofauti kabisa na usingizi ulikuwa bomba. Nilianza zoezi SAA 4, ghafla nimekuja kushtuka ilikuwa SAA 7!
Pia nilijaribu hatua ya pili yaani OBE, sikuona ugumu wowte, kwa sabab hatua ya kwanza niliifanya Mara kadhaa; lakini bado sijafanikiwa kutoka!
Nimefanikiwa kufikia ganzi, lakini kuna siku nikiwa nimelala chali nilijaribu na kufika hatua ambayo niliparalise then nikahisi mwili umeshrink na kuwa mwepesi kama unyoya nikahisi naelea kama 20cm above, woga ukaniingia, ikabidi nijisalimishe mwilini.
Nilifanya zoez hili kila week, ilitegemea na mood niliyonayo kwa siku hiyo. Kuna positive outcomes nimeona kwangu, ni vema kama hujui uulize kuliko kukejeli.
Naamini IPO siku nitatoka out na Ku enjoy na wadau humu! Mleta Uzi endelea kutupa ujuzi, wanafunzi tupo wengi tunafatilia.
Big up!!!!!
nataka mwishoni mwa mwezi huu, nijaribu kwenda night club yenye totoz za kutosha alaf nijaribu kuzamia na kwenda kunywa bia za bure kama nitawezaDaa hili zoezi linahitaji uvumilivu na nidhamu ya halo ya juu!!
Nimefatilia huu Uzi kwa miezi kadhaa sasa, nilijifunza meditation na kufikia hatua flani ambapo nilihisi sipo, yaani sikuhisi kama Nina mwili wangu!! Nikaishia hapo, ukweli ni kwamba nilijisikia vizur sana siku ile hasa kimawazo nilikuwa calm! Nilijihisi tofauti kabisa na usingizi ulikuwa bomba. Nilianza zoezi SAA 4, ghafla nimekuja kushtuka ilikuwa SAA 7!
Pia nilijaribu hatua ya pili yaani OBE, sikuona ugumu wowte, kwa sabab hatua ya kwanza niliifanya Mara kadhaa; lakini bado sijafanikiwa kutoka!
Nimefanikiwa kufikia ganzi, lakini kuna siku nikiwa nimelala chali nilijaribu na kufika hatua ambayo niliparalise then nikahisi mwili umeshrink na kuwa mwepesi kama unyoya nikahisi naelea kama 20cm above, woga ukaniingia, ikabidi nijisalimishe mwilini.
Nilifanya zoez hili kila week, ilitegemea na mood niliyonayo kwa siku hiyo. Kuna positive outcomes nimeona kwangu, ni vema kama hujui uulize kuliko kukejeli.
Naamini IPO siku nitatoka out na Ku enjoy na wadau humu! Mleta Uzi endelea kutupa ujuzi, wanafunzi tupo wengi tunafatilia.
Big up!!!!!
Jifunze kutoka kwanza, hayo mengine yatafatia mkuu.nataka mwishoni mwa mwezi huu, nijaribu kwenda night club yenye totoz za kutosha alaf nijaribu kuzamia na kwenda kunywa bia za bure kama nitaweza
nataka mwishoni mwa mwezi huu, nijaribu kwenda night club yenye totoz za kutosha alaf nijaribu kuzamia na kwenda kunywa bia za bure kama nitaweza
kutoka nshaweza kakaJifunze kutoka kwanza, hayo mengine yatafatia mkuu.
Hukumwona mtu yeyote huko ulikoenda?kutoka nshaweza kaka
Mengine siri yangu kakaHukumwona mtu yeyote huko ulikoenda?
OkMengine siri yangu kaka
Vuta Jani kidogo ufanye tena alafu ulete mrejeshoAaaah! Nyi wadau mnaosema mmewez hii kitu mnanipanikish kinoma, yaaan m nshajarb mara kibao but unfortunately naishia kwny paralysis tu na one day mpk nilivibrate lkn nikashindwa kutoka. Kwakwel I wish to Do something big which can change my life ... Aaarrrg ntawez tu.
daah aisee iyo itakuwa bomba sana tena hiyo nitaifanya kwa kiwango kikubwa mpaka nimfikie billigates
kumbuka kuvisualize mwili wa pili kila unapopata vibrationAaaah! Nyi wadau mnaosema mmewez hii kitu mnanipanikish kinoma, yaaan m nshajarb mara kibao but unfortunately naishia kwny paralysis tu na one day mpk nilivibrate lkn nikashindwa kutoka. Kwakwel I wish to Do something big which can change my life ... Aaarrrg ntawez tu.
Vip kuhusu ushaur wa kutumia jani kama ndugu yang apo juu alivoshauri, unaongeza nini apo mkuu ?kumbuka kuvisualize mwili wa pili kila unapopata vibration
Rakims