wanakuja P.M mkuu, hawaleti feedbak hadharani fanya wewe ulete hapa
Naona hiz spell utakuwa nazo nyingi sana. Sasa binafsi naitaji spell ya vital body energy activation kama unayo nisaidieWapi mkuu, sorry for late reply
Kaka sasa me nipo SA natumia rand nifanyaje hapo kwenye kiasi!Bakuli la kigai cheupe na shilingi zinatakiwa ziwe 100,200,500 ziwe elfu 12 na rose water recomanded kale kadogo, best time usiku, ukiwa peke yako na utulize mawazo na akili bila woga wala fikra zingine mkuu, fanya hivyo you will donate 100 bucks for me too
Rakims
Alikujibu??Naona hiz spell utakuwa nazo nyingi sana. Sasa binafsi naitaji spell ya vital body energy activation kama unayo nisaidie
HHapana
Zikiwa coin kwa idadi ya witiri unatumia coin zozote lakini most powerful ni coin za kijerumani zile za zamani kama kuna mtu atapata basi hiyo ukiwa nayo tu umemalizaKaka sasa me nipo SA natumia rand nifanyaje hapo kwenye kiasi!