KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Weka njugu na karanga au korosho.Waungwana,
Nina hamu na makande na ninataka kuyapika.
Je niweke vitu gani ili msosi unoge? Pia, maharagwe na mahindi nayaweka pamoja au nasubirisha kuweka maharagwe?