kantalambazi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 2,011
- 650
Kuna kande aina 2 ya mahindi na maharage mabichi au ya mahindi makavu(yaliyokobolewa) na maharage makavu.Mahindi na maharage kwa kesi zote 2 huwekewa jikoni wakati mmoja.
Kuboresha weka nazi,karoti,nyanya, vitungui,h oho,njegere kidogo,mengine wataongezea.
Kuboresha weka nazi,karoti,nyanya, vitungui,h oho,njegere kidogo,mengine wataongezea.