Chloe 92
JF-Expert Member
- Aug 7, 2018
- 568
- 816
Yaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.
Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh
Loh...si upike mwenyeweloh!
Miongoni mwa vyakula navyopenda ni kande...basi tu sijapata mtu wa kunipikia
Mmatemwe gani anayependa sembe tena na madagaa loh!! Ungesema mchuzi wa maji na pembe hapo sawaHahahaaa
Mie mmatemwe nimeshazoea sembe na dagaa tonge makande, Viazi na ndizi. Hapana