Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,670
- 22,262
"kama kutumia zawadi", hebu fafanua hili, kati ya wewe na yeye nani hajui namna ya kutumia zawadi.Habari.
Naomba kuuliza asee hivi ni jinsi Gani watu hufanya Hadi wanakuwa na marafiki wazungu ambao Hadi Huwa wanawasaidia kwenye baadhi ya mambo, kama kutumia zawadi mbalimbali.
Inatakiwa ufanyeje Ili uwapate hao watu au uipate hiyo connection.
Naomba kujuzwa