kitungusha
Member
- Jan 1, 2014
- 18
- 4
hahahahaaaa haya bwana! Nicheke mie..!
shukrani nitakutafuta kkwa muda wangu :A S wink::wink2: kwa sasa hivi just enjoy popcornopcorn:Wabheja saanaa ng'wanawanee
shukrani nitakutafuta kkwa muda wangu :A S wink::wink2: kwa sasa hivi just enjoy popcornopcorn:
Ebanae Uskariri sana kwani wanawake wanatofautiana kwa hzo arausal zones.sio ww ksa mpenz wako ukmtach sehem flani anastimulate ndo utuambie ss je kama ss hawako hvyo,kingine kamanda hujatuonesha ni sehemu ngap huska ziguswe umesema tu achezewe kvp sasa? amekuwa ball?
plz specify briefly and accordingly,ok!!.
Thubutu!
Hata uwe fundi vipi bila hela ni kazi bure
Mpe hela tu ata enjoy kwenye mapenzi
Thubutu!
Hata uwe fundi vipi bila hela ni kazi bure
Upendo kwanzaa kama mwanamke hakupendi hata ubinuke sarakasi kwenye k yake hutamridhisha ng'ooo
Ndio maana tunashauriwa tutunze bikraa ili tukiolewaa tusiwe na pa kulinganishaa
Mbona umepaniki hivo. Hauko poa kitandani nn... au kokoriko hawiki?
na mie mme wa mtu.Kwani nna deni na wewee???unantafutia nin mie mke wa mtuuu
Umenena vema,natamani wadada/wamama siku moja nao wawawekee wenzao namna ya kuwafurahisha wapenzi wao.Eeeehhh,..ama kweli ukubwa RrrraAhaaa...na kuwa mwanmke raha zaid...'priciate all guys mnaojitahd kuwa'please warembo wenu,huwa tunafurahi
tendo la mapenzi inabidi minimum uchukue lisaa limoja! from romance to actual intercourse na 10 mins kumalizia. Kama mnaharaka. Kama ni mke wako kabisa lazima once a week ufanye ile marathon service inayo anzaga kuanzia kutoka out usiku wa ijumaa hava a good time mkirudi saa 7 au 8 ni mna doo hadi 11 unaamka tena saa 1 hivi, unaendelea nae hadi 2 na nusu unapumzika kidogo unamletea breakfast kwa kitanda, then saa 4 au 5 hivi unapiga ingine ya kusimamia kucha. Baada ya hapo unaondoka na kuendelea na shughuli zingine. Hehehe! Lazima utumiwe msgs siku nzima na ukirudi hio juma1 jioni mnapumzika tu na story za hapa na pale!
Kumridhisha mwanamke ni psychological approach as much as the physical act!