Ukiona kaweka pesa mbele jua ww uliingia kipesa...
Kwa wadada wa kizazi hiki, pesa mbele kama tai. Wengi tena wanakuwa very honest, "do you have cash?"
huku hamna kusaidiwa kuosha vyombo kama kwa figganiggaUkiona kila demu anakutangulizia pesa ujue hauuziki..Wajanja tunawapanga sana awa viumbe na atuwaonyeshi pesa wala nini unyamwezi tu
Ukiona kila demu anakutangulizia pesa ujue hauuziki..Wajanja tunawapanga sana awa viumbe na atuwaonyeshi pesa wala nini unyamwezi tu
Yan wanawake wa type hyo ndio wanadharaulika sanaaa. Si ajabu ndio hao wanagonga 40 hawajaolewa. Mwanamke wa hivyo hela ntampa ndio ila baada ya game hzo dharau ntakazo mpa, atajuta maisha yake yote. Nahisi ataacha na tabia hzo ya kuomba omba hela.
kumbe mpenzi tu nilifikiri wa kuoa kabisa.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4