jinsi ya kumfanya mwanamke adumu katika ndoa

Unapoamua kuolewa ni jambo jema. Ila kuna mambo lazima uyajue mapema na ya sikupe pressure ya kuahirisha ndoa au kukataa tamaa. Kuna usemi usemao wanaume mama yao mmoja, huu usikusumbue kabisa. Si lazima awe malaaya, mlevi, mpigaji nk
Kila Mmoja ana hulka zake. Vitu vya kuangalia, anajua kumake love- kusex, anakusikiliza, anajali. Kama anazo sifa kuu tatu inatosha sana na ni mwanzo mzuri. Ila kama sifa hizi tatu hana wewe jiandae kuteseka na ndoa

Kuna baadhi ya wanaume wanatatizo la kutojua kumake love or kusex. Na hii hukufanya hamu yako ya mapenzi isitimie. Madhara yake ni hasira, kutojiamini na kukupelekea kukumbuka wapenzi wa zamani au kutafuta wapya. Pia utamdharau sana mumeo

Kama hakusikilizi basi utahisi kudharauliwa siku zote na kujiona mnyonge. Ni vizuri ukaona unasikilizwwa kwwenyye michango yako ya kifamilia na upenzi. Pia kama anakusikiliza kwa kila kitu na kisha hakujali pia itakuumiza. Ni vizuri akajali kwa kukuonyesha upenzi. Haya ndio mapeenzi ya dhati
weekend njema

Smile ............you got it all wrong baby........la kwanza ni utii, la pili usafi na la tatu ni mapishi....................ahata ujue kukikata kiuno vipi kama ni mjeuri bado itakula kwako.......................kama siyo msafi basi utaona cha mtema kuni....................................kama mapishi hujui au unaKASIMU kwa binti wa kazi basi ni vyema ukaKASIMU na kitanda piA...........
 
Last edited by a moderator:
Smile ............you got it all wrong baby........la kwanza ni utii, la pili usafi na la tatu ni mapishi....................ahata ujue kukikata kiuno vipi kama ni mjeuri bado itakula kwako.......................kama siyo msafi basi utaona cha mtema kuni....................................kama mapishi hujui au unaKASIMU kwa binti wa kazi basi ni vyema ukaKASIMU na kitanda piA...........

I think u r the one who got it wrong this time!
Smile anataja vitu ambavyo mwanaume awe navyo; who said mwanamke hawezi weka vigezo vya kuchagua pia!
 
Last edited by a moderator:
Dada yangu all you say is good, SEX, KUKUKUSIKILIZA NA KUJALI, hapa nafikiri umeelezea tabia yako zaidi ya kuwa neutral Maana watu wanatofautiana, imagine umeolewa na mtu mweye sifa zote hizi, then anapata ajali, SEX part inapunguwa and not as good as before, (Kuna baadhi ya wanaume wanatatizo la kutojua kumake love or kusex. Na hii hukufanya hamu yako ya mapenzi isitimie. Madhara yake ni hasira, kutojiamini na kukupelekea kukumbuka wapenzi wa zamani au kutafuta wapya. Pia utamdharau sana mume) That means utatoka nje ya ndoa na kumdharau, wanawake wote hawako hivi hata siku moja, na huu ni ubinafsi.


Unapoamua kuolewa ni jambo jema. Ila kuna mambo lazima uyajue mapema na ya sikupe pressure ya kuahirisha ndoa au kukataa tamaa. Kuna usemi usemao wanaume mama yao mmoja, huu usikusumbue kabisa. Si lazima awe malaaya, mlevi, mpigaji nk
Kila Mmoja ana hulka zake. Vitu vya kuangalia, anajua kumake love- kusex, anakusikiliza, anajali. Kama anazo sifa kuu tatu inatosha sana na ni mwanzo mzuri. Ila kama sifa hizi tatu hana wewe jiandae kuteseka na ndoa

Kuna baadhi ya wanaume wanatatizo la kutojua kumake love or kusex. Na hii hukufanya hamu yako ya mapenzi isitimie. Madhara yake ni hasira, kutojiamini na kukupelekea kukumbuka wapenzi wa zamani au kutafuta wapya. Pia utamdharau sana mumeo

Kama hakusikilizi basi utahisi kudharauliwa siku zote na kujiona mnyonge. Ni vizuri ukaona unasikilizwwa kwwenyye michango yako ya kifamilia na upenzi. Pia kama anakusikiliza kwa kila kitu na kisha hakujali pia itakuumiza. Ni vizuri akajali kwa kukuonyesha upenzi. Haya ndio mapeenzi ya dhati
weekend njema
 
HorsePower sikusikia wito wako kabla, na nilipenda kuwa msomaji zaidi kwenye Uzi huu kwa sababu kuna vitu vingi viko kimitazamo tu. Kuna vichache ni fact ngoja nijaribu.

Why does one get married? Sex drive, needs to start a family au? either way sex lazima iwe involved (kama hakuna tatizo la kimaumbile)!

Now tukija kwenye how much sex is enough sex; hapo inategemea mtu na mtu au couple na couple sidhani kama tunaweza bishana hapa. Tukubaliane tu kwamba enough sex ni muhimu.

Ndoa (mahusiano) yanakamilishwa na sex peke yake; l strongly disagree, there is more to ndoa zaidi ya sex; na finance ni muhimili muhimu katika family. Hivyo we got to work lkn with a balance. Don't spend too much energy in looking for money kwani baadaye utatumia too much money kudeal na afya yako both physically na psychologically.

Wanawake na kutoridhishwa sexually, hii haina tofauti na wanaume kutoridhishwa sexually na pia si kigezo pekee kinachofanya wanawake au wanaume watoke nje ya ndoa. Kunakutothaminiwa, kudharauliwa, kutokidhiwa mahitaji, kukumbwa na visiawishi na kuamua tu; hizo pia ni baadhi ya sababu zinazofanya both men & women kutoka/kusaliti/kukimbia ndoa zao.

Mwisho nafikiri ni muhimu kujua nini unachotaka kwenye mahusiano wewe binafsi na kujua mwenzio anataka nini; halafu muone kama mnaweza kumeet some of the important expectations ninyi waTATU (Mungu included)

Thanks, nakubaliana na wewe!
 
Bibie, hilo la kujua kunanihii hata sio la msingi. Kama anakupenda na anakujali, mbona utamuelekeza dereva wako mwenyewe? Ukinunua gari huhitaji liwe linajua nyumba,lol! Ila kama ni mtu wa 4WD, hapo inabidi interview.

Hivi naongea nini hapa? Ngoja nikazimue kwanza.
 
Smile yupo sawa ila bado nakuunga mkono.....

maana ndoa hujengwa na vitu vingi sana.........

mwanaume ajitahidi kubalance na mwanamke pia ujue kumsupport mumeo......

sex sio kila kitu ingawa inanafasi kubwa pia.....kumbuka mwanamke kuinjoy hiyo sex inabidi kuwe na vitu vingi vipo mswano......





mwanamme abalansi vitu vyote kwa kiasi chake.

Kitanda tu hakitoshi.
 
Last edited by a moderator:
Chanzo cha migogoro mingi ya ndoa ni sex mkubali mkatae.

Ila watu wanakuwa shy kusema ukweli...ndio maana wakienda kusuluhishwa wanatoa sababu nyingine...oooh ananidharau; ooh ananipiga.

Hivi mkiwa mnaweza kupagawishana kunako 6X6 dharau ina nafasi? kupigana kuna nafasi? Umasikini una nafasi?

Hamjuhi power ya tendo la ndoa nyie.
 
Smile asante kwa somo..kweli ndoa ni zaidi ya niisikiavyo!! unaolewa lini shosty? swali la uchokozi
 
Last edited by a moderator:
Cha muhuimu cha kwanza ni amani ndani ya nyumba kuhurumiana na kuheshimiana ili kuonyeshana upendo (peace of mind) cha pili usafi na mapishi, kumake love ni mungonzo ndani ya maumbile kila muda unavyokwenda mtafundishana mautundu kitandani, mwanake kujua kumake love peke yake haitoshi, Mwanamke hatakiwi kuwa mchafu ananuka kikwapa, ananuka mdomo lazima itakuwa kero usafi muhimu.
 
Unapoamua kuolewa ni jambo jema. Ila kuna mambo lazima uyajue mapema na ya sikupe pressure ya kuahirisha ndoa au kukataa tamaa. Kuna usemi usemao wanaume mama yao mmoja, huu usikusumbue kabisa. Si lazima awe malaaya, mlevi, mpigaji nk
Kila Mmoja ana hulka zake. Vitu vya kuangalia, anajua kumake love- kusex, anakusikiliza, anajali. Kama anazo sifa kuu tatu inatosha sana na ni mwanzo mzuri. Ila kama sifa hizi tatu hana wewe jiandae kuteseka na ndoa

Kuna baadhi ya wanaume wanatatizo la kutojua kumake love or kusex. Na hii hukufanya hamu yako ya mapenzi isitimie. Madhara yake ni hasira, kutojiamini na kukupelekea kukumbuka wapenzi wa zamani au kutafuta wapya. Pia utamdharau sana mumeo

Kama hakusikilizi basi utahisi kudharauliwa siku zote na kujiona mnyonge. Ni vizuri ukaona unasikilizwwa kwwenyye michango yako ya kifamilia na upenzi. Pia kama anakusikiliza kwa kila kitu na kisha hakujali pia itakuumiza. Ni vizuri akajali kwa kukuonyesha upenzi. Haya ndio mapeenzi ya dhati
weekend njema
ni mwanzo mzuri sana ila na pochi iweko zaidi ya sana jamani mana tutakula nn
 
Cha muhuimu cha kwanza ni amani ndani ya nyumba kuhurumiana na kuheshimiana ili kuonyeshana upendo (peace of mind) cha pili usafi na mapishi, kumake love ni mungonzo ndani ya maumbile kila muda unavyokwenda mtafundishana mautundu kitandani, mwanake kujua kumake love peke yake haitoshi, Mwanamke hatakiwi kuwa mchafu ananuka kikwapa, ananuka mdomo lazima itakuwa kero usafi muhimu.
Ritz
leo umenena vema mkuu
 
mhhhh!!!! haya mambo ya mapolisi kuua huko moro na iringa yananikosesha uhondo.....mungu amenisaidia mi nina sifa zooote hizo,
 
Chanzo cha migogoro mingi ya ndoa ni sex mkubali mkatae.

Ila watu wanakuwa shy kusema ukweli...ndio maana wakienda kusuluhishwa wanatoa sababu nyingine...oooh ananidharau; ooh ananipiga.

Hivi mkiwa mnaweza kupagawishana kunako 6X6 dharau ina nafasi? kupigana kuna nafasi? Umasikini una nafasi?

Hamjuhi power ya tendo la ndoa nyie.
teh wamwagie power ya tendo la ndoa nyumba kubwa...mwaga mipoint
 
Last edited by a moderator:
Cha muhuimu cha kwanza ni amani ndani ya nyumba kuhurumiana na kuheshimiana ili kuonyeshana upendo (peace of mind) cha pili usafi na mapishi, kumake love ni mungonzo ndani ya maumbile kila muda unavyokwenda mtafundishana mautundu kitandani, mwanake kujua kumake love peke yake haitoshi, Mwanamke hatakiwi kuwa mchafu ananuka kikwapa, ananuka mdomo lazima itakuwa kero usafi muhimu.
nimesema hizo sifa ni nzuri kwa kuanzia@Ritz...kwa kuanzia!
 
Yani we unataka kuwambia wanawake wote watest kwanza mwanaume kabla ya kuolewa....Yani wafanye nao sex ili wajue kama wanajua sex au vipi.

Smile unaonaje ni kuweke kwenye list ya wale nao taka kuwajaribu kusex nao :bounce:
 
Unapoamua kuolewa ni jambo jema. Ila kuna mambo lazima uyajue mapema na ya sikupe pressure ya kuahirisha ndoa au kukataa tamaa. Kuna usemi usemao wanaume mama yao mmoja, huu usikusumbue kabisa. Si lazima awe malaaya, mlevi, mpigaji nk
Kila Mmoja ana hulka zake. Vitu vya kuangalia, anajua kumake love- kusex, anakusikiliza, anajali. Kama anazo sifa kuu tatu inatosha sana na ni mwanzo mzuri. Ila kama sifa hizi tatu hana wewe jiandae kuteseka na ndoa

Kuna baadhi ya wanaume wanatatizo la kutojua kumake love or kusex. Na hii hukufanya hamu yako ya mapenzi isitimie. Madhara yake ni hasira, kutojiamini na kukupelekea kukumbuka wapenzi wa zamani au kutafuta wapya. Pia utamdharau sana mumeo

Kama hakusikilizi basi utahisi kudharauliwa siku zote na kujiona mnyonge. Ni vizuri ukaona unasikilizwwa kwwenyye michango yako ya kifamilia na upenzi. Pia kama anakusikiliza kwa kila kitu na kisha hakujali pia itakuumiza. Ni vizuri akajali kwa kukuonyesha upenzi. Haya ndio mapeenzi ya dhati
weekend njema
asa kama hajui kumake love simtafundisha tu jaman afu atajua hayo maujanja hakuna aliyezaliwa anajua kila kitu si eti ,
 
Kula 5 mwanangu..hyo ya kumake love ni muhimu saana. Usipopata hiyo kitu kwa usahihi mbona utakufa kwa mawazo ..tehe tehe

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
I think u r the one who got it wrong this time!
Smile anataja vitu ambavyo mwanaume awe navyo; who said mwanamke hawezi weka vigezo vya kuchagua pia!

Kaunga...........................kuwachagul;lia vidume kipi wathamini inapanda kweli?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom