HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Kuna ma player wengi tu ambao performance zao ni zero...wewe hulikuwa hausikilizi story za kina dada nini? Kuna kijana tulikuwa tunasoma nae college baba yake alikuwa milionea...alikuwa anabadili mabinti ili hali ana kibamia...
Mabwenini alikuwa ni gumzo, lakini ni player.
Hao ni wachache kati ya walio wengi ...