mchumia tumbo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 1,457
- 471
Labda ilikuwa zamani,si sasa.
Basi akakae benk akaangali wanaotoa hela awaombe wamuoe
Mtaka yote kwa pupa hukosa yote, Ama na wewe ni miongoni mwao nini?
Pochi lako likiwa hivi hakuna mwanamke duniani ambae hatokupenda:
A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man. - Lana Turner
Kama unabisha muulize MadameX.
Labda ilikuwa zamani,si sasa.
Hii ndo imefanya siku hizi wanawake wawe ni watu wa kuchezewa tu na kulalamika kua wanaume wa kuoa hawapo, mi najua kabisa umenipendea pesa na nimeshakuonja yaanini niendelee kua na wewe wakati kuna wenzio wazuri kushinda wewe na wenyewe wanahitaji pesa watoe mambo!!
Wakina nani?
Hakuna hata m1 alyenionesha dalili hzo!
mh, mimi sinaga hizo, napenda kimoyo moyo tu!
Haya mambo bana wala hayana formula kama mnavyotaka kutuaminisha..