e2themiza
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 974
- 563
Habari zenu wana jamii.. i hope weekend imeanza vyema? Nilikuwa na maswali kadhaa juu la hilo jambo na wenye uelewa au
walioshafanya hii kitu.. nilikuwa najua nahaitaji kufanya nini na inacost kujiunga na ni shilingi ngap?.. Pia nikienda ofisi zao wao ndo
watanionganishia na paypal.. na kila ntakapo nunua kitu online kuna malipo mengine yatakatwa katika account yangu na CRDB.. vile
vile service zao zikoje ni nzuri na kuridhisha hizo service za benki na paypal?
Thanks, Nawasilisha...
walioshafanya hii kitu.. nilikuwa najua nahaitaji kufanya nini na inacost kujiunga na ni shilingi ngap?.. Pia nikienda ofisi zao wao ndo
watanionganishia na paypal.. na kila ntakapo nunua kitu online kuna malipo mengine yatakatwa katika account yangu na CRDB.. vile
vile service zao zikoje ni nzuri na kuridhisha hizo service za benki na paypal?
Thanks, Nawasilisha...