Jinsi ya kuhack administrator ukiwa kwenye guest account(for xp only)

Admin wengi hawatumii user name ya administrator.
Any way, XP inatumika na wanafunzi zaidi. hata kwenye market sidhani kama bado ipo.

Ipo mkuu inatumika sana kuliko Hizo Win Vista au 7, Labda wewe hujawahi kufanya kazi kwenye Makampuni makubwa, kuna makampuni mengine bado wanatumia Win 98 najua huwezi kuamini. Kampuni ninayofanya Kazi wako wateja wetu wengi wanatumia Win Xp kuliko Win 7 au Vista.
To upgrade from Win Xp to Win 7 its cost a lot kwenye makampuni makubwa kwa hiyo wengi wana-avoid spending cost and its not easy task as you think. XP its still one of the best OS ya Microsoft since Win 98.
 
Ipo mkuu inatumika sana kuliko Hizo Win Vista au 7, Labda wewe hujawahi kufanya kazi kwenye Makampuni makubwa, kuna makampuni mengine bado wanatumia Win 98 najua huwezi kuamini. Kampuni ninayofanya Kazi wako wateja wetu wengi wanatumia Win Xp kuliko Win 7 au Vista.
To upgrade from Win Xp to Win 7 its cost a lot kwenye makampuni makubwa kwa hiyo wengi wana-avoid spending cost and its not easy task as you think. XP its still one of the best OS ya Microsoft since Win 98.
kweli labisa...XP naamini is the BEST WINDOWS EVER...hizi nyingne mbwembwe tu nyingi na ukiangalia sana unakuta mambo mengi ni kama kuongezea juu yake tu ila msingi ni uleule...hamna jipya!
 
Ipo mkuu inatumika sana kuliko Hizo Win Vista au 7, Labda wewe hujawahi kufanya kazi kwenye Makampuni makubwa, kuna makampuni mengine bado wanatumia Win 98 najua huwezi kuamini. Kampuni ninayofanya Kazi wako wateja wetu wengi wanatumia Win Xp kuliko Win 7 au Vista.
To upgrade from Win Xp to Win 7 its cost a lot kwenye makampuni makubwa kwa hiyo wengi wana-avoid spending cost and its not easy task as you think. XP its still one of the best OS ya Microsoft since Win 98.

Nimekusoma mkuu.
XP ni bonge la OS kutoka MS lakini sidhani kama inafunika Win 7.
Na support ya win XP nadhani inaisha around 2012, siko sure.
So ni lazima makampuni yata upgrade penda wasipende.
Mwenyewe napenda Ubuntu zaidi kuliko MS.
 
nadhani hiyo ndefu sana.
1.bonyeza 'start'
2. Chagua 'run'
3. Andika 'cmd'
4. Then itatokea dialog box nyeusi (ambayo ndio command prompt).
6. Andika 'net user xxxx'. Kwenye user andika jina la administrator account ( mara nyingi hii huwa inaitwa 'administrator' lakini kuna watu hubadilisha jina na kuipa majina yao).kwenye xxx andika password unayoitaka.
7. Logout au restart.
8. Chagua administrator account halafu andika password uliyoichagua.
8. Umemaliza.



Zingatia: Njia hii siyo nzuri kwa sababu itabidi ubadilishe password ya admininistrator. Hivyo kama akitaka kulogin password yake ikikataa atagundua kuna mtu kabadilisha and that's not a good hacking leaving traces behind. Njia nzuri ni keylogging ambapo unaweza kupata password yoyote kama faceboook, twitter, myspace, jamiiforums (ndio hata jf), yahoo, gmail, zozote! Unachohitaji ni uwe na access na computer ya unayetaka password yake.
ebu darasa lako zuri lakini ebu nenda taratibu nimekuwa nataka kujifunza kuwa haka kwa nini kwasababu napenda
 
Sasa ukitaka ku-hack password ya mtu kwenye computer yake unafanyaje?,tushushie steps tafadhali itakua njema sana.

Mkuu njia ni hizo kwenye post yangu ya kwanza. Hiyo ni kubadilisha kabisa. Lakini kama unataka KUJUA password anayotumia basi tumia Keyloggers (hii inahitaji uwe karibu sana na computer ya victim wako).
 
kaka will this change the administrator password? is it possible to reverse it back to normal? and do u have any idea concerning window 7?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom