Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
Yeh,naona wameeka ant-531, nasearch kwa kutumia 531 lakini automatically inasearch 530Mhz, pambaaaaaaaf!Kwa hiyo wataweka Ant-531 au Ant-570?
Yeh,naona wameeka ant-531, nasearch kwa kutumia 531 lakini automatically inasearch 530Mhz, pambaaaaaaaf!Kwa hiyo wataweka Ant-531 au Ant-570?
sio kwenye remote,OSD ktk screen:Bofya MENU,chagua hiyo OSD transparency100%
Mkuu wasikudanganye haikubali, inasearch mwisho inabaki vile vile.MM BADO INAGOMA,
inasema search finish cnabak vilevile.
Mbona inakataa mkuu au kuna mbinu yoyote ya ziada?ingia kwenye serching kisha ingiza code number 531 chanel zitaonekana usicheze na wabongo ukianza tu tunamaliza
Kwahiyo unaangalia ukutani au!! huu muda uliopost wengi ndio huwa wanarudi kunywa viroba naomba unijibu kesho.ingiza code hizi hapa 935 kuangalia star times bila tv
Wakuu mi chanel ten inakamata na redio, yani magic fm pia inasikika, nifanyaje kuitoa hiyo redio?
Nakula channel zangu 13 bila malipo kwa raaaaaaaaha kbs,Abarikuwe aliebuni hii ishu, ila Mungu amjuze zaidi ili tupate channel zaidi ya hizi