Jinsi ya kuangalia channel za ving'amuzi vyote Tz

yeah, it WORKS!!

Tu hakikisha power button ya kingamuzi ile ya nyuma, iko off,
halafu bonyeza power button ya remote ile nyekundu mara 5,
Subiri kama sekunde 3 kingamuzi kinawaka na kuonyesha neno OTA
then kwa chini kuna kibox, weka ile code, 671 futa ile ya 506

hivyo tu, mie changu ni cha **times cha antena kimekubali na sijalipia tangu may

Now najaribu cha **ing ntaleta feeds
 
yeah, it WORKS!!

Tu hakikisha power button ya kingamuzi ile ya nyuma, iko off,
halafu bonyeza power button ya remote ile nyekundu mara 5,
Subiri kama sekunde 3 kingamuzi kinawaka na kuonyesha neno OTA
then kwa chini kuna kibox, weka ile code, 671 futa ile ya 506

hivyo tu, mie changu ni cha **times cha antena kimekubali na sijalipia tangu may

Now najaribu cha **ing ntaleta feeds
Aza*** je
 
yeah, it WORKS!!

Tu hakikisha power button ya kingamuzi ile ya nyuma, iko off,
halafu bonyeza power button ya remote ile nyekundu mara 5,
Subiri kama sekunde 3 kingamuzi kinawaka na kuonyesha neno OTA
then kwa chini kuna kibox, weka ile code, 671 futa ile ya 506

hivyo tu, mie changu ni cha **times cha antena kimekubali na sijalipia tangu may

Now najaribu cha **ing ntaleta feeds
Mkuu ya kweli haya
 
yeah, it WORKS!!

Tu hakikisha power button ya kingamuzi ile ya nyuma, iko off,
halafu bonyeza power button ya remote ile nyekundu mara 5,
Subiri kama sekunde 3 kingamuzi kinawaka na kuonyesha neno OTA
then kwa chini kuna kibox, weka ile code, 671 futa ile ya 506

hivyo tu, mie changu ni cha **times cha antena kimekubali na sijalipia tangu may

Now najaribu cha **ing ntaleta feeds
Kiongozi cwezi sema hapana au ndio coz mzinduaji wa hichi kitu ni ww so kama nikweli njoo inbox nikulipe unifanyie hy huduma 0659865639 np dar
 
Tunafeli kwa kuogopa kuthubutu..... Tunakosoa tusiyoweza kuyahoji.....huku tukiuliza maswali tusiyotaka majibu take. Wewe unayesubiri mrejesho kwa mini usiwe wewe wakuurejesha....
 
Wapenda vya bure utasikia ngoja nijaribu... Mara yangu mbona haikubali??... Mwingine atauliza nikwa wenye dish tuu?? Mpeni kaisari yaliyo yake.. Mi ntawapa siri ya kutodaiwa kodi kwa mliopanga..... Mkae buree maana ndo mnapenda..
Aliyeanzisha huu uzi baadae atawaletea mbinu nyingine ya kuendesha magar yenu bila mafuta. Mi sitaki hata kujaribu rahisi inaumiza ving'amuzi vina namba huo ni wizi haina tofauti na kuiba umeme.. Staki kesi
Kama tatzo ni pesa ya kulipia king'amuzi taarif ya habari ntasikiliza kwenye redio.
Goodday...
 
nina swali moja hivi mfano nikibadilisha satelite namba mfano ( eutelsat 7b) nikaweka ya dish nyingine kuna uwezekano wa kupata channel zingine? Au LBN FREQ. 9750-10600
 
yeah, it WORKS!!

Tu hakikisha power button ya kingamuzi ile ya nyuma, iko off,
halafu bonyeza power button ya remote ile nyekundu mara 5,
Subiri kama sekunde 3 kingamuzi kinawaka na kuonyesha neno OTA
then kwa chini kuna kibox, weka ile code, 671 futa ile ya 506

hivyo tu, mie changu ni cha **times cha antena kimekubali na sijalipia tangu may

Now najaribu cha **ing ntaleta feeds
Kuna shida hapa sasa ile switch ya nyuma si ndio inayo ruhusu umeme ku flow kwa circuit ya king'amuzi sasa ukizima hiyo ota itaonekana kupitia umeme gani? Au kuna power backup ndan ya king'amuzi? Ninamashaka makubwa hapa.
 
nina swali moja hivi mfano nikibadilisha satelite namba mfano ( eutelsat 7b) nikaweka ya dish nyingine kuna uwezekano wa kupata channel zingine? Au LBN FREQ. 9750-10600
Hiyo itakuwa ngumu kiwezekana sababu kila satellite ina position yake katika kuset hivyo ukibadilisha kwenye king'amuzi let say ukatoa eutelsat7b ukaweka amos au itelsat maana yake hata uelekeo wa dish pia utakuwa tofauti ,lakin pia hata decoder haitakuwa compatible na satellite husika hivyo itashindwa ku decode.
 
Wapenda vya bure utasikia ngoja nijaribu... Mara yangu mbona haikubali??... Mwingine atauliza nikwa wenye dish tuu?? Mpeni kaisari yaliyo yake.. Mi ntawapa siri ya kutodaiwa kodi kwa mliopanga..... Mkae buree maana ndo mnapenda..
Aliyeanzisha huu uzi baadae atawaletea mbinu nyingine ya kuendesha magar yenu bila mafuta. Mi sitaki hata kujaribu rahisi inaumiza ving'amuzi vina namba huo ni wizi haina tofauti na kuiba umeme.. Staki kesi
Kama tatzo ni pesa ya kulipia king'amuzi taarif ya habari ntasikiliza kwenye redio.
Goodday...
Uoga wako ndo umaskini wako.

Jaribu wakizingua hamia kwa agent wengine.
 
Wapenda vya bure utasikia ngoja nijaribu... Mara yangu mbona haikubali??... Mwingine atauliza nikwa wenye dish tuu?? Mpeni kaisari yaliyo yake.. Mi ntawapa siri ya kutodaiwa kodi kwa mliopanga..... Mkae buree maana ndo mnapenda..
Aliyeanzisha huu uzi baadae atawaletea mbinu nyingine ya kuendesha magar yenu bila mafuta. Mi sitaki hata kujaribu rahisi inaumiza ving'amuzi vina namba huo ni wizi haina tofauti na kuiba umeme.. Staki kesi
Kama tatzo ni pesa ya kulipia king'amuzi taarif ya habari ntasikiliza kwenye redio.
Goodday...
Uoga wako ndo umsikini wako.
 
yeah, it WORKS!!

Tu hakikisha power button ya kingamuzi ile ya nyuma, iko off,
halafu bonyeza power button ya remote ile nyekundu mara 5,
Subiri kama sekunde 3 kingamuzi kinawaka na kuonyesha neno OTA
then kwa chini kuna kibox, weka ile code, 671 futa ile ya 506

hivyo tu, mie changu ni cha **times cha antena kimekubali na sijalipia tangu may

Now najaribu cha **ing ntaleta feeds
we wacha masikhara! wengine kulipia sasa imekuwa ugwadu tunakula TBC bila kupenda!
 
Back
Top Bottom