Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Inasemekana kutokana na sie wabongo kuwa na roho za korosho Maulana hatokuwa na haja ya kuweka mlinzi wa kulinda mlango wa motoni,kwa sababu ukitaka kuchomoka tuu,mbongo anakudaka mkono na kukurudisha kundini,si unajua jinsi wabongo tunavyojua kubaniana