miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
atakauwa anaandika bandikoNaona mikwara imezidi kabla hata ya dili kaamua kuingia mitini, ama ndo anaandaa bandiko...
atakauwa anaandika bandikoNaona mikwara imezidi kabla hata ya dili kaamua kuingia mitini, ama ndo anaandaa bandiko...
I think you have shared enough photos, I understand you are so excited, just calm down we just don't want you to end up loosing your concealed identity.Hahahaaa Strive Masiyiwa is my personal mentor, hata trh 12 April nitaenda kwake SA kwaajili ya consultation. Kama unamfatilia vzr Dr. Strive basi lazima utakuwa unanifahamu.
Huyu jamaa ni role model wa 'back child' yeyote Africa mwenye ambition ya kuwa successful kwenye biashara.
Ukisikia mtima nyongo ndio huo.Nina uhakika utakuwa masikini wewe,uzi mzuri kama huu umeacha kuchukua yale yenye faida ukajifunza kwayo umekalia kumjadili aliyeleta mada na maisha yake binafsi.acha roho mbaya mshamba wewe,wenye akili na busara wala hawana haja ya kumjua huyo ontario ni nani personaly wanadurusu uzi tu.This is a damn online forum for christ sake.mi mwenyewe nimeshangaa hiyo award mbona sijawahi kuisikia? mjasiriamali bora chini ya miaka 22..? halafu mwanachuo..? na asijulikane kabisa? mbona wajasiriamali vijana waliopata award akina Ngowi na MO walitangazwa sana? hahahah..very interesting
Open English classes Mr I'm ready to be your first student.Pretty impressive and quite inspirational. At 22, I couldn't even stand before my classmates during presentation with a straight face. At 26, I was still living off my old folks' grace, driving around and proudly impressing girls. Chasing the 30's now, what makes me happy is going to work and face the people, log-in my accounts and take a few cracks at ******* and his uncle.
Different goals, for different folks. Different approaches/paths, toward different goals.
Love your story telling skills, a little bit envious I feel.
Fictitious!mwanafunzi wa chuo ukachaguliwa mjasiriamali bora wa Africa chini ya miaka 22....! hahahaha very interesting chuo chenyewe UDSM mnaoshinda pale Mlimani City na vismartphone vyenu ...hongera sana mkuu
Hey Jamii forums, nahisi huu uzi kuanzia page ya 5 umeunganishwa na uzi mwingine ambao either hauMake sense ama haukoRelated. Do something please!!
Jamaa nimemfuatilia ni Mtunzi mzuri wa Stori soma hii pia huyu ni story writer mzurimwanafunzi wa chuo ukachaguliwa mjasiriamali bora wa Africa chini ya miaka 22....! hahahaha very interesting chuo chenyewe UDSM mnaoshinda pale Mlimani City na vismartphone vyenu ...hongera sana mkuu
Hey bruh! Where's your point?! Don't entrepreneurs have social life, affairs, relationship?! Please don't hate what you don't understand.Be Careful A boy blessed on Writing fictitious Stories (Jamaa Unajua Kutunga Stori Hauandiki Vitabu mkuu nije kununua)
Nimependa hii Kazi yako
I never thought it'd come a day that....
Tatizo lako njaa inakugonga ukiamini huko Lumumba watakupa pesa za bure bure na wewe uishi vizuri mjini..mwanafunzi wa chuo ukachaguliwa mjasiriamali bora wa Africa chini ya miaka 22....! hahahaha very interesting chuo chenyewe UDSM mnaoshinda pale Mlimani City na vismartphone vyenu ...hongera sana mkuu