Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Wewe ni muongo hicho kipaji chako cha kutunga history za uongo kipeleke grobal publisher watakusaidia

Acha kuropoka.......i know the Man in person na nmesoma nae UDSM, haitoshi rum mate wangu wa HALL SIX MAIN CAMPUS amesoma nae advance afu akaenda nae JKT kambi flani hivi. So nna mjua vizur sana

Kama wewe huamini katika mafanikio kutokana na ukilaza wako na uzembe wako wa kufikiri, acha kupinga vitu usivovijua
 
Naombeni kuuliza kuhusu plosija za kuagiza trekta kutoka nje,maushuru yakoje,nimeshakutana nayo kwenye yard za huku ila sababu sikuwa na ishu nayo sikufuatilia hata bei,ila kwa sasa nmepata interest,naomba kujua bei za matrektor used na pia kuhusu ushuru kama ukiamua kuleta kutoka nje (i.e hong kong ).cc ONTARIO na wenye uzoefu.
 
Hahahaaa!!

Saa 10 nimejibu huu uzi nikiwa active kabisa. Mimi siku yangu inaanza saa 9 usiku nakuwa active hadi saa 12 ndio nalala upya hadi saa 3 asubuhi
Kaka ONTARIO naomba kuuliza swali dogo sana ila kwangu litanisaidia. So ulipokuwa unampata mteja wakumlimia ekari kama izo 170 mfano ulikuwa unajiridhisha kwaza kuzipima kama kweli ni ekari hizo alizotaja au ulikuwa unachukua jukumu la kulima tu na kumuamini mteja aliposema ni hekari 170? Maana nimeona kama ni changamoto kwangu nikianza kitu kama hicho ukapata mtu akakwambia nna hekari mia tatu nilimie af kumbe ziko zaidi. Naomba nijibu ulikuwa unafanyaje
 
Naombeni kuuliza kuhusu plosija za kuagiza trekta kutoka nje,maushuru yakoje,nimeshakutana nayo kwenye yard za huku ila sababu sikuwa na ishu nayo sikufuatilia hata bei,ila kwa sasa nmepata interest,naomba kujua bei za matrektor used na pia kuhusu ushuru kama ukiamua kuleta kutoka nje (i.e hong kong ).cc ONTARIO na wenye uzoefu.
Nenda beforwad kila kitu kipo wazi
 
Kaka ONTARIO naomba kuuliza swali dogo sana ila kwangu litanisaidia. So ulipokuwa unampata mteja wakumlimia ekari kama izo 170 mfano ulikuwa unajiridhisha kwaza kuzipima kama kweli ni ekari hizo alizotaja au ulikuwa unachukua jukumu la kulima tu na kumuamini mteja aliposema ni hekari 170? Maana nimeona kama ni changamoto kwangu nikianza kitu kama hicho ukapata mtu akakwambia nna hekari mia tatu nilimie af kumbe ziko zaidi. Naomba nijibu ulikuwa unafanyaje
Mkubwa kwenye suala la vipimo nipo strict sana. Sitaki mchezo kabisa.

Kabla trekta haijaanza kazi tunajiridhisha kwa kuhesabiana hatua. Na mara nyingi wateja walikuwa wanadanganya, mtu anakwambia ninazo heka 45, mkianza kupima zinafika 50 na kitu.

Na pia kuna hesabu ya mafuta, heka 1 inakunywa kati ya lita 4 hadi 5, zikizidi hapo basi either kuna tatizo la kiufundi ama shamba hilo lina utata wa vipimo.
 
Mkubwa kwenye suala la vipimo nipo strict sana. Sitaki mchezo kabisa.

Kabla trekta haijaanza kazi tunajiridhisha kwa kuhesabiana hatua. Na mara nyingi wateja walikuwa wanadanganya, mtu anakwambia ninazo heka 45, mkianza kupima zinafika 50 na kitu.

Na pia kuna hesabu ya mafuta, heka 1 inakunywa kati ya lita 4 hadi 5, zikizidi hapo basi either kuna tatizo la kiufundi ama shamba hilo lina utata wa vipimo.
Asante, so kuna namna mbili yakujua ,moja ni kuangalia chombo chako kina kula mafuta lita ngapi kwa eka, pili ni kupima mwenyewe tu, nadhani ndio umemaanisha bro

Sent from my TECNO L6 using JamiiForums mobile app
 
Asante, so kuna namna mbili yakujua ,moja ni kuangalia chombo chako kina kula mafuta lita ngapi kwa eka, pili ni kupima mwenyewe tu, nadhani ndio umemaanisha bro

Sent from my TECNO L6 using JamiiForums mobile app
Ndivyo hivyo kiongozi. Lakini kipimo reliable zaidi ni kupima kwa hatua. Ukichukua mita imekula kwako. Pia kuna njia nyingine ya kienyeji watu wa pwani wanaita 'Nzera/Nzela', yani kinakatwa kijiti, kisha mtu anapanua mikono (tuseme kama yesu msalabani) kisha hicho kijiti kinapitwa kuanzia mwanzo wa mkono mmoja hadi mwisho. Sasa nzera 35 ni heka 1. Pia ukitumia hii njia inakula kwako, tumia hatua ndio utaona faida.
 
Nimesoma hii thread yote , hakika sijajuta hata kuifungua na kuisoma aisee.
Laiti wote humu JF wangeisoma hakika imesheheni maarifa!!
 
Kuna mtu alinipa,akanambia mlisoma wote mbagala,katika pics ulizotuma ni mradi wa kuku ndo uliongelewa sana..unless otherwise niwe nimechanganya..lakini kwa descriptions zote na aina hii ya audacity itakua ni wewe tuu.correct me kama siko sawa

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Dah!!! Kama hata na mie nshaanza kumfahamu huyu jamaa kuna article kuhusu yeye pia nilishawahigi kusoma kwenye gazeti fulani. Inahusiana na issue hiyo hiyo ya Kuku... Hongera sana Ontario
 
Mkubwa kwenye suala la vipimo nipo strict sana. Sitaki mchezo kabisa.

Kabla trekta haijaanza kazi tunajiridhisha kwa kuhesabiana hatua. Na mara nyingi wateja walikuwa wanadanganya, mtu anakwambia ninazo heka 45, mkianza kupima zinafika 50 na kitu.

Na pia kuna hesabu ya mafuta, heka 1 inakunywa kati ya lita 4 hadi 5, zikizidi hapo basi either kuna tatizo la kiufundi ama shamba hilo lina utata wa vipimo.
Ontario ila kwa level na uelewa wako bana sidhan kama njia ya kupima shamba kwa hatua ni sahihi kwako maana haupati kitu sahihi.

Labda kama ni umetumia akili ya kazi ili uwe unalima mashamba ambayo hayafiki eka 1
 
Back
Top Bottom