rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,540
- 42,093
Hatari sanaa...! Bank nao kama.kaushaa damu tu siku hiziii.. Ubaya wanakata kiasi cha helaa hawawezi kata zaidi ya sheria inavyotakaa ndo maana inabdi upewe Muda mrefu wa kulipa denii humo ndo unajikuta unalipa Mara 3 ya deni.biashara kichaa hii. Anakatwa 383000 kwa miezi 84, sawa na mil32 ili apewe mil16!!!