Chimbekeha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2018
- 1,193
- 2,163
Wewe mbona kama wakuitwa B halafu x wako ndo yule Mr. K nimekushtukia umekuja kulilia huku.
Nishaelewa mkuu! Usirudie kupenda tena kiwango hicho, you can't just love a fella to that extent, leave a room just in case....!Mkuu let me not answer this question here
Ahsante now siwezi mbembeleza tena, i played my part but didn't work outUsiende kumbembeleza atavimba kichwa end of ze dei atazidi kukuumiza Zaid kwkuw anajua we colon lake. Muombe Mungu wako atakusaidia
Kila kitu kina kiasi mkuuKwamba ni ajabu mtu kumuomba msamaha mpenzi wake ili wasonge mbele?
He knows maana nilimuomba sana msamaha na kumsihi asiniache.
Nimejifunza kutokua mnyonge mkuu! 👏Uli fail sana mkuu. Ndio maana umeachika.. hutakiwi kuwa mnyongee ivyo kwenye mapenzi. Kama yako ni yako na kama sio yako sio yako. Ebu sogea hapa kwangu
No si mimi mkuuWewe mbona kama wakuitwa B halafu x wako ndo yule Mr. K nimekushtukia umekuja kulilia huku.
Tatizo lako unashinda sana jamii face the reality and move the fuk away from that toxic so called relationship.Habari wakuu!
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu
Naelewa situation unayopitia mkuu Pole sana unajua watu hawaelewi kuna soulmate akikukaa amekukaa hatoki moyoni hata udate na wengine wangapi bado hawawezi replace hiyo nafasi yake though unakuta ni mtu wa kawaida sana mapenzi huwa hayaoniI wish ungejua my situation huenda ungesema chochote ili nipone hadi nafikia kuandika humu ujue nipo serious mkuu sipo sawa.
Unapitia kama ninayoptia mimi ila jipe moyo,
Haya sasa kutaneni pm, bahati hiyoThank you mkuu and i tried several times but nashindwa. Ntajitahidi zaidi👏
Mtoto wa watu hajui matusi muacheTangu muachane ulishawahi kunjunjana na mwingine?
Aaaah wapi!!Mtoto wa watu hajui matusi muache
Akinjunjana ndiyo ataweza ku move on?
Daaaah sitaki kuamini wee cc ndo unateseka na mapenzi kiasi hicho, nwei poleeeh saana.
JAH atakusaidia utapona.
Inaonekana alikukamata kwelikweliHabari wakuu!
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu
Nahisi sikuumbwa kwa ajili ya kuwa kwenye mapenzi,Mapenzi chombo cha moto, yanahitaji lesseni kama kwenye udereva wa magari, pikipiki, ndege n.k
Sometimes, love is a loaded gun.
Nahisi sikuumbwa kwa ajili ya kuwa kwenye mapenzi,
Ila imetokea tu nikawepo.
We mtu upoooo?!Nashukuru Mungu kwenye mapenzi alinipaga moyo mwepesi wa ku let go, hata niumie kiasi gani, arooo hata wiki haiishi naendelea na maisha mengine.