Nikhil
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 361
- 116
Habari za Asubuhi Wadau "Please nahitaji msaada wenu madaktari kwani nataka kufaulu mitihani yangu ya chuo lakini mambo ni mengi ya kusoma " Nahitaji kuongeza uwezo wa kuelewa na Cremming ability! NISAIDIENI kama ni jamii ya chakula chochote au else great thinkers niko level ya diploma nasoma Law.