Wasichana wote Dar, unaenda kwa machangu! stupidity period!
pia ukome....you are lucky, angewaleta njemba zake wazame chumvini kwako.
Imenukuliwa kutoka katika utafiti wa 'saidia jamii' unaoendelea Dar.
*************************************************
Mimi ni mfanya biashara hapa jijini Dar. siku moja nilipotoka katika mauzo niliamua kwenda kujipongeza na kisha niliamua kupitia 'changudoa' kwani ninaishi mwenyewe nyumbani!
Baada ya kufika nae nyumbani nilimkaribisha vizuri. Niliandaa vinywaji ambavyo nilikuwa navyo katika friji na tukanywa!
Kama unavyojua tena muda wa kula tunda ulipofika tulianza kama desturi ya 'walaji matunda' kwa kuumana midomo n.k
Niliendelea kwa kumnyonya 'manyonyo' yake na wakati zoeti la kunyonya manyonyo likiendelea nilihisi kizunguzungu! Changudoa huyo kuona hivyo akanilazimisha nizame chumvini!!!!!
Nilipokuwa nikielekea huko uvinza nikashindwa hata kufanya kazi husika na hatimaye nilijikuta nipo kitandani peke yangu na ni asubuhi yapata saa tatu hivi.
Baada ya kupata fahamu nikajua tu hapa nimeingizwa 'mjini'....Kweli nilipokimbilia katika droo yangu nikakuta kiasi cha pesa taslimu Tshs 1M zilizokuwa katika droo zimeyeyuka na kuota mbawa! Pia kuna baadhi ya makaratasi yangu ya kibiashara hayaonekani, sasa sijui ni yeye ameyakwapua?
Nilimpigia simu daktari wangu nikamweleza mkasa wote na alikuja akachukua 'sample ya vinywaji' na majibu yaliyotoka maabara ni kwamba havikuwa na dawa yeyote!
Daktari aliniambia kwamba inawezekama changu huyo alijipaka dawa hizo katika mwili wake.....
Je, wadau hivi siku hizi hawa 'viumbe' ndiyo wameamua kutuibia kwa style hii? Na je nini kifanyike kukabiliana nao?
Je, nikaripoti polisi tukio hili? (labda ninaweza kukutana naye huyo changu kwani mpaka sasa simjui anatoka wapi na wala anaishi wapi!).
@mchango wako unahitajika (true story)
imenukuliwa kutoka katika utafiti wa 'saidia jamii' unaoendelea dar.
*************************************************
mimi ni mfanya biashara hapa jijini dar. Siku moja nilipotoka katika mauzo niliamua kwenda kujipongeza na kisha niliamua kupitia 'changudoa' kwani ninaishi mwenyewe nyumbani!
baada ya kufika nae nyumbani nilimkaribisha vizuri. Niliandaa vinywaji ambavyo nilikuwa navyo katika friji na tukanywa!
kama unavyojua tena muda wa kula tunda ulipofika tulianza kama desturi ya 'walaji matunda' kwa kuumana midomo n.k
niliendelea kwa kumnyonya 'manyonyo' yake na wakati zoeti la kunyonya manyonyo likiendelea nilihisi kizunguzungu! Changudoa huyo kuona hivyo akanilazimisha nizame chumvini!!!!!
nilipokuwa nikielekea huko uvinza nikashindwa hata kufanya kazi husika na hatimaye nilijikuta nipo kitandani peke yangu na ni asubuhi yapata saa tatu hivi.
baada ya kupata fahamu nikajua tu hapa nimeingizwa 'mjini'....kweli nilipokimbilia katika droo yangu nikakuta kiasi cha pesa taslimu tshs 1m zilizokuwa katika droo zimeyeyuka na kuota mbawa! Pia kuna baadhi ya makaratasi yangu ya kibiashara hayaonekani, sasa sijui ni yeye ameyakwapua?
nilimpigia simu daktari wangu nikamweleza mkasa wote na alikuja akachukua 'sample ya vinywaji' na majibu yaliyotoka maabara ni kwamba havikuwa na dawa yeyote!
daktari aliniambia kwamba inawezekama changu huyo alijipaka dawa hizo katika mwili wake.....
je, wadau hivi siku hizi hawa 'viumbe' ndiyo wameamua kutuibia kwa style hii? Na je nini kifanyike kukabiliana nao?
je, nikaripoti polisi tukio hili? (labda ninaweza kukutana naye huyo changu kwani mpaka sasa simjui anatoka wapi na wala anaishi wapi!).
@mchango wako unahitajika (true story)
wat?u pape?demmmmmmmmmmmm,so bad,anwei wat u c is wat u get,u deserve it bro
hahahaaaa, hii ni spesho kwa ajili yakE, I SAID IT B4!.Hongera Mkuu,
Hiyo Avatar yako nimeipenda, iko relevant sana kwa Geoff, bibi kapata bwana, bwana kapata bibi.
Du yaani unazama chumvini mpaka kwa machangu, too bad man-utakuja pata fungus za ulimi na koo!.
mmmmh hii nayo ki kali ya mwaka...Lakini wakuu tuache utani, hii mbinu ya kupaka madawa ya kulevya kwenye manyonyo ni kweli machangu wanayo. Mshkaji wangu mmoja alinisimulia yalimkuta Kigali Rwanda. Ni mwandishi wa habari, alisafiri huko kikazi akafikia hoteli moja nzuri tu inaonekana kama ya kitalii hivi. Akiwa anatizama TV ukumbini jioni, akazoeana na msichana flani ambaye kwa maelezo yake alikuwa ametokea Uganda na alikuwa mpangaji mwenzie pale hotelini. Mazoea yakawapeleka kwenye primus (bia) moja baada ya nyingine, hadi kualikana chumbani na kuanza ka romance flani, demu akadai ye huwa zinampanda zaidi akinyonywa chuchu. Basi jamaa akachangamkia chuchu kama ametumwa vile, yaani alikuwa anazinyonya kama mtoto mchanga. Network ilikatikia hapo, akaja kuzinduka saa nne asubuhi kichwa kinamuuma, kachelewa conference aliyokuwa anayoripotia, na vidola vyake vyote na laptop vimekombwa!
Eeee, tena ukiendelea itakuwa ya karne. Huyo mdudu ni mpuuzi sana na anawadhalilisha sana wanaume wenzake.mmmmh hii nayo ki kali ya mwaka...