Umesahau kufungua code ya jinsi ulivyotoka kuwa mzee wa sekunde kadhaa mpaka kuwa the best on bed....! Fungua code vijana tupate madiniMnaendeleaje wadau, shule imebana .
Mwenye swali lolote, uliza nikujibu. Karibuni.
Umesahau kufungua code ya jinsi ulivyotoka kuwa mzee wa sekunde kadhaa mpaka kuwa the best on bed....! Fungua code vijana tupate madiniMnaendeleaje wadau, shule imebana .
Mwenye swali lolote, uliza nikujibu. Karibuni.
Brother uko vizuri sana ushauri huu nimzuri kwa bwana insidermanSipingi mawazo Yako lakini unalichukulia hili jambo kwa wepesi sana, tunaoshauri hapa wengine tumeshapitia mambo mazito maishani ni vile tu hatuwezi kuandika Kila kitu hapa, tunauzoefu na haya mambo chini ya mwenyekiti wetu wa kudumu Watu8
Usifikiri Mama J kuambiwa mapema ni suluhisho la uhakika, anaweza akaambiwa, akavunga amelipokea Kwa moyo mkunjufu bila kinyongo na ndoa ikafungwa lakini atakachokuja kukifanya huko mbeleni anakijua mwenyewe moyoni mwake ( na hii haijalishi ni Mchaga, mmatumbi au kabila Gani)
Kumbuka tayari Mama J ana wasiwasi mzito sana na mashaka juu ya Iryn, Sasa kupata uthibitisho wa hili jambo kutoka Kwa INSIDER MAN itaurarua moyo wake na kuleta chuki isiyo na maelezo.
Unavyoona tunasema ndoa ifungwe kwanza hayo mambo mengine yatajisumbukia huko mbeleni sio kwamba hatumpendi Iryn na mtoto wake, tunaangalia namna ya kupunguza athari na uharibifu zaidi ya Hali ilivyo Sasa.
Linaweza kuibuka varangati hata jamaa yetu shule isisomeke, kazi zikavurugika na hata mawasiliano ya Siri kati yake na Iryn yakaingia dosari kuelekea asimuone Tena Binti Yao.
Kumbuka Iryn nae ni binadamu ana hisia, likiibuka varangati itabidi aiponye nafsi yake na ya mtoto wake hata kama itabidi kumkwepa Insider.
Ndoa italeta Imani Kwa Mama J na kujihakikishia hati miliki na nafasi yake ya main wife. Danadana zingine ataona kama mizengwe ya kutaka kupigwa chini.
Naomba nieleweke pia nilisema hata jambo la kutambulishwa Iryn na mtoto lisubiri kwanza, sijasema wasipelekwe kabisa Kwa wazazi. Mtoto/watoto lazima wajulikane lakini sio Kwa wakati huu.
Kila maamuzi tunayofanya kwenye maisha, yanagharana zake, ziwe chanya au hasi lakini Yana athiri Kwa namna Moja au nyingine maisha yetu.
Kwa Nini umefunga pm yako hujui Kama mtu anaweza kuwa huru kule kukuulizia au kukuelezea jambo kwa uhuru kuliko hapa na hata Kama Hilo swali huralipenda si utalijibu tu bila shida...naomba unijibuMnaendeleaje wadau, shule imebana .
Mwenye swali lolote, uliza nikujibu. Karibuni.
Mbona umekazana na PM yake,,,,story kaiweka public,nawe fanya public,,,,tuheshimu privacy ya INSIDER MANKwa Nini umefunga pm yako hujui Kama mtu anaweza kuwa huru kule kukuulizia au kukuelezea jambo kwa uhuru kuliko hapa na hata Kama Hilo swali huralipenda si utalijibu tu bila shida...naomba unijibu
Umesahau kufungua code ya jinsi ulivyotoka kuwa mzee wa sekunde kadhaa mpaka kuwa the best on bed....! Fungua code vijana tupate madini
Kwa Nini umefunga pm yako hujui Kama mtu anaweza kuwa huru kule kukuulizia au kukuelezea jambo kwa uhuru kuliko hapa na hata Kama Hilo swali huralipenda si utalijibu tu bila shida...naomba unijibu
Sasa kwa Kweli unako elekea siko unatamani uone picha ya mwanmke mwezio ili ikusadie nn ktk maisha yakoKwanini hutaki kutuonesha picha ya Iryn hata kiwiliwili tu????
Kuna kitu nilisahau kumuuliza Insider. kuhusu mke wa Mzee Pama .Je alipogundua Mumewe kamjengea mchepuko Nyumba na mimba juu mapokeo yake yalikuwa tu positive mpaka mgawanto wa Mali keep sa ru yupo kwa Will au ilikuwaje?Mana Insider umepotray as if Yule ma
Hakuna lililomshtua Tena michepuko miwili Je hali.ilikuwaje na Kama alikuwa poa tu why? Mana nakumbuka aliwahi kukuita kuhusu ni muda gn umefahaniana na Jane
Kichwa yako imebeba meno.....huna akiliUshauri mbaya huu Iryne awe mke mama J awe Bonus
Yaani unaushia kusema mengi tu hutaji nimambo gani umejifunza kupitia hii story au ndio kufata mkumbo wawatu.Kuna mambo
Mengi sana ya kujifunza ikiwa hujapata lolote wewe sio chochote yaani Ni empty mind
,kusema ukweli hii nisimulizi nzuri sana sibishi ila nakiri kusema labda wenye interest na biashara ya uber ndio watakua wamechukua nondo zakufa mtu hapa lkn hii ni personal life experiences tu ambapo kamwe hatuwezi kupitia wote kama insderman, never ever hata kama uki-imitate each and everything alivyosimulia hapa huwezi kua kama yy.kila mtu ananjia yak,na experiences zake,maisha ni hadithi tu(refer mzee alli hassan Mwinyi).Humbleness
Fighting spirit
Self confidence
Risk taking
Essence of being a man of people
Amesahau na akina rwanda magere mkuu..Hujasoma zote mkuu. Hatusemi sio nzur lkn kuna story maridade sana.
Flow ya wakina UMUGHAKA13 , BM X6 Singano jr nk nk
True,amekazana tu lohMbona umekazana na PM yake,,,,story kaiweka public,nawe fanya public,,,,tuheshimu privacy ya INSIDER MAN
Nmeku pm mkuuIpo wazi karibu, but niliweka Email
Hahahaa! Hapa ni kukomaa mpaka kieleweke , ni mwendo wa kuvumilia na kusikilizia mdogo mdogo...Ngoja nitulie hapa naweza kumwona boss lady na mama Ariana usiku huu
Hapa hata mimi nimekubali.Nimepata picha ya Iryn chotara wa kizungu na kihabeshi. Nimetumia mbinu za kijasusi kuipataView attachment 2789035
Alcohol(yaani pombe zote) ni aphrodisiac i.e zinaongeza hamu ya kufanya mapenziHeineken inauhusiano gani na kupandisha nyege maana kuna sehemi Insider amesema hii bia inanyege, ni kwann na kivipi kwa anaefahamu
Wasifu wa Iryn ni kwamba pamoja na kuwa mrembo mwenye ukwasi mwingi, lakini pia yuko intelligent mwenye IQ kubwa lakini pia very aggressive ukimzingua! Mara ngapi anamchenjia Insider man mpaka anaomba poo! Mwanamke wa jinsi hii ukimtazama hawezi kuwa na sura ya kindezi kama hiiHapa hata mimi nimekubali.
Kati ya picha zote za mchongo za kum-imagine Iryn,hii ndo ya viwango vya juu A+