Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kichwa yako imebeba meno.....huna akili
Katika episodes zote ulizosoma kama conclusion yako ndo hii kwa uhalisia wa situation ilivyo itoshe kusema huna maana
Haaaaa haaaaaaa kumbe mama J yupo humu ndani na hamsemi?natania bana
 
Inawezekana kirahisi?mbona aliwahi kumuuliza Insider Kama memjuaje Jane na Mambo kadhaa wewe ni hatari

Kama umesoma stori yote utakuwa uliona namna ambavyo Jane alipewa urithi wake kama wosia wa Mzee Pama ulivyotaka, na mama Pama hakuwa na kipingamizi...

Sehemu nyingine, mzee Juma alipowaalika wageni nyumbani kwake aliwaalika Jane pamoja na mama Pama, hii ni kuonesha hakukuwa na bifu...
 
Sasa ninaweza kuchangia baada ya kumaliza kusoma kipande cha ziada...

Kwenye ibara zetu za katiba huwa tunasimama na wahenga ya kwamba "kitanda hakizai haramu"...

Lakini kwenye situation ya bazazi mwenzetu INSIDER MAN aliboronga mahali pamoja hapo nyuma kwa kuwafanya Mama J na Iryn kuwa marafiki kwa kiwango cha kuwafanya wajione ni mtu na dadaye, hata uwe bazazi sugu kiasi gani usiruhusu mchepuko ukawa rafiki na 'maza hausi'...

Ushauri:
1. Suala la mahusiano yake na Iryn liendelee kuwa siri kwa sasa, la sivyo hiyo ndoa anayotarajia na Mama J haitakuja kutokea, kama ni kumpa taarifa iwe ni miaka ijayo huko...

2. Nimeona kuna mahali jamaa kaandika ana mpango wa kumpeleka mtoto na Iryn nyumbani kwa wazazi, hii naona haitakuwa busara kwamba wazazi wajue lakini mwanamke aliyesalitiwa hajui chochote, itakuwa kama 'zereu' fulani hivi...

3. Aendelee kumjali Mama J na kumuhudumia kama mke kwa kiwango kisichomithilika, hii itafanya siku atayovunja habari kwa Mama J huenda moyo wa mwanamke huyu wa kichaga utakubali matokeo...
Dada zetu ukiwa na maokoto haondoki kwako...hilo liko kwenye damu
 
Back
Top Bottom