flowerss
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 640
- 590
Inawezekana kirahisi?mbona aliwahi kumuuliza Insider Kama memjuaje Jane na Mambo kadhaa wewe ni hatariAlielezea kwamba huyo maza hakuwa na noma...
Inawezekana kirahisi?mbona aliwahi kumuuliza Insider Kama memjuaje Jane na Mambo kadhaa wewe ni hatariAlielezea kwamba huyo maza hakuwa na noma...
Haaaaa haaaaaaa kumbe mama J yupo humu ndani na hamsemi?natania banaKichwa yako imebeba meno.....huna akili
Katika episodes zote ulizosoma kama conclusion yako ndo hii kwa uhalisia wa situation ilivyo itoshe kusema huna maana
Mbona keshafungua Pm na nimesema nilichotaka .Acheni Makasiriko walioweka Pm walikuwa naa maana kubwa Acheni kuumiaTrue,amekazana tu loh
Kuna watu hawataki TuMpm Insider sijui kwa Sababu gani.Au Kuna ubaya kumpa mtu kule unakuwa huru zaidi maana Wanazengo tunawajuaNmeku pm mkuu
Kweli kabisa mwanaume gani hapa Duniani apindue kwa Irene?kila kitu anacho.mwache Mama J abane bane Irene yupo availableUjio wa Iryn ktk maisha ya Insider ndio mwisho wa mama J. Ila jamaa anajua kutuweka sawa. Inahitaji utulivu sana wa akili kujua mama J alijichenga.
Ukijibiwa niite mbwa niko paleMkuu haujibu kabisa, nimekutumia email
Episode zimeisha! Mnamtakia nini Insider?Hodi wakuu
Ndugu yetu Insider ametupia uzi wowote?? Hata wa kuliwa kwa vicky au Marry?
Mkuu umeweka email lakini mbona huzijibu??Ipo wazi karibu, but niliweka Email
Ukijibiwa mbwa atapiga mswakiMkuu umeweka email lakini mbona huzijibu??
kuna edna wa roma ramonkwahiyo huyu Iryn na Khumbu wa Konda Msafi ni ipi pisi kali?
Inawezekana kirahisi?mbona aliwahi kumuuliza Insider Kama memjuaje Jane na Mambo kadhaa wewe ni hatari
Dada zetu ukiwa na maokoto haondoki kwako...hilo liko kwenye damuSasa ninaweza kuchangia baada ya kumaliza kusoma kipande cha ziada...
Kwenye ibara zetu za katiba huwa tunasimama na wahenga ya kwamba "kitanda hakizai haramu"...
Lakini kwenye situation ya bazazi mwenzetu INSIDER MAN aliboronga mahali pamoja hapo nyuma kwa kuwafanya Mama J na Iryn kuwa marafiki kwa kiwango cha kuwafanya wajione ni mtu na dadaye, hata uwe bazazi sugu kiasi gani usiruhusu mchepuko ukawa rafiki na 'maza hausi'...
Ushauri:
1. Suala la mahusiano yake na Iryn liendelee kuwa siri kwa sasa, la sivyo hiyo ndoa anayotarajia na Mama J haitakuja kutokea, kama ni kumpa taarifa iwe ni miaka ijayo huko...
2. Nimeona kuna mahali jamaa kaandika ana mpango wa kumpeleka mtoto na Iryn nyumbani kwa wazazi, hii naona haitakuwa busara kwamba wazazi wajue lakini mwanamke aliyesalitiwa hajui chochote, itakuwa kama 'zereu' fulani hivi...
3. Aendelee kumjali Mama J na kumuhudumia kama mke kwa kiwango kisichomithilika, hii itafanya siku atayovunja habari kwa Mama J huenda moyo wa mwanamke huyu wa kichaga utakubali matokeo...
Tayari mbona Mkuu....tunasubiri season two huko mbeleniMara ya mwisho humu ndani ni Nov 3. Naomba kujua kama episode ya 70 tayari
😂😂😂😂👐🏃🏿🏃🏿MNAOMANGAMANGA NA KUZURURA KWENYE UZI HUU NI NINI KINGINE MNATAFUTA?.
STORY IMESHAISHA TAFUTENI VITU VYA KUFANYA.
MSIWE VIAZI NAMNA HII
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app