Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kwa upande wangu hii Arosto na huu ukimya Mkuu unatupoteza kabisa ukizingatia na hii hali ya hewa hata wewe mleta uzi kwa upande wako tuangalie na sie kwa hili na hili na kwa upande wa Wajumbe wenzangu humu ndani
 
EPISODE 14

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Nikamshukuru Iryn kwa out then nikawasha gari tuondoke tukalale, wakati tumevuka geti la Kidimbwi kuna gari ilikuja kwa spidi sana na ikatugonga “BOOM”. Ilisikika sauti ya Iryn “Mamaaaa…….”.

TUNAENDELEA…………….

Lilikua ni tukio la fasta sana ambalo lilitupa mshtuko kupelekea Iryn kutoa sauti ya nguvu. Jamaa alitugonga kwa nyuma na kwa spidi sana, palepale ilibidi nishuke na watu walikua wameanza kusogea pale kwa kasi.

Muda huu magari ndo yalikua yanaingia kwa kasi na kutoka, Uber ndo zilionekana kuwa busy sana hili eneo.

Eneo ambalo jama alitugonga ilikua ni kabla hujafika kwenye corner ya kwanza inayokata kushoto kama umetoka kidimbwi.

Baada ya kushuka niliangalia gari upande wa nyuma nikaona jamaa alikua amevunja bampa la nyuma, taa zote mbili za nyuma na sehemu ya nyuma ya boneti ilikua imebonyea.

Jamaa gari yake ilikua ni Prado zile za zamani ila ilikua na ngao mbele. Jamaa alikua bado hajashuka kwenye gari ikabidi nimgongee dirishani atokee nje, ili tuongee.

Baada ya kumgongea dirishani lakini jamaa hakutoka ni kama alikua na dharau, hichi kitendo kilizidi kunipa hasira sana. Na muda huo askari mgambo wanaolinda eneo hili walikua wameshafika eneo la tukio.

Kwa upande mwingine foleni ilizidi kuwa kubwa sana maana hakuna gari zilizokuwa zinatoka wala kuingia pale Kidimbwi. Na muda huo Iryn alikua kashatoka kwenye gari, akaja akanishika mkono.

Kwa tukio liliokuwa limetokea pale mwenye kosa alikua ni jamaa, maana yeye ndo alinigonga kwa nyuma, napia sheria ziko wazi hivyo hakukuwa na haja ya kumtafuta mchawi ni nani.

“Huyu fala anadharau sana, anamakosa ila hataki kutoka nje. Watu kama hawa ndo wakuwatia makofi”. Ilisika sauti ya dereva wa bodaboda aliyekuwa kwenye bodaboda yake.

Watu walizidi kumiminika hasahasa madereva wa magari walikua wamefika kuona nini tatizo, na wengi walikuwa wanapatwa na hasira kuona jamaa hataki kutoka kwenye gari.

Jama alikuwa na demu wake ambaye alikuwa amekaa upande wa mbele, dem alikuwa kama anamwomba jamaa atoke nje. Kwa upande mwingine Mgambo walikua wamemgongea jamaa ashuke na madereva pia walikua wameanza kumgongea kwa fujo, maana jamaa alikuwa anafanya mambo ya kizamani sana, afu pia ya kishamba.

Baada ya muda jamaa akashuka na alionekana mtu ambaye amelewa hakuwa na akili zake.

“We ms*** unazingua baada ya hili suala mlimalize mapema wewe unaleta mapozi, acha ufala sisi madereva hatuko hivo.” Hii ilikua ni sauti ya jamaa ambaye alikua ni dereva akimwambia jamaa.

Foleni ilizidi kuwa kubwa na kupelekea watu kuzidi kumiminika pale, maana hakukua na gari inayotoka wala kuingia.

MGAMBO: “Bro siku nyingine usifanye ujinga kama huu hili kosa ni lako, ulipaswa kushuka na myajenge haraka.”

JAMAA : “Samahani bro! Tunaweza ongea kuhusu hili private?”

Jamaa alikua akiniomba tuongee private.

MGAMBO : “Hakuna haja kuongea private, cha msingi tumsikilize jamaa hapa atasemaje”

Palepale alitokea jamaa ambaye ni dereva wa Uber na akatoa hesabu na gharama za vifaa na utengenezaji.

“Hii ni IST ya 2006 taa za nyuma moja ni 180,000/= kwa mbili ni 360,000/=. Bampa hilo halifai tena gharama zake ni 250,000/=, kunyoosha hio boneti na kupaka rangi hapo andaa 100,000 kwa jumla hapa ni 710,000/=. Kama jamaa atakuchaji na usumbufu juu yake ila gharama za hapo ni uhakika. Hii gari kali sana bado mpya naona umeshaitia ngeu tayari.”

Muda huu pia Iryn alionekana kunionea huruma sana maana alikua anajua gari itakua ya boss, hakuwai kuuliza kama gari ni yangu au laah! na mimi pia nilikuaga siwaambii wateja kama gari yangu.

IRYN : “Insider unafanyaje sasa?, I can feel you, I’m really sorry.”

MIMI: “Jamaa kama atatoa hizo cost no problem tutatamaliza”

IRYN: “Atakubali sasa?”

Muda huo Mgambo akawa amekuja upande wangu akiniuliza maamuzi yangu ni nini juu ya hili jambo. Upande mwingine madereva walitamani sana hili jambo liishe mapema maana tungesema tusubir traffic kwa muda ule isingekua rahisi kwa Traffic kufika mapema.

Nikamuuliza jamaa alokua anatoa hesabu za matengenezo kama anauhakika na zile bei alizotaja, na madereva wengi wa Uber walikuwepo pale wakasema ni sahihi.

MIMI: “Kama jamaa atakua tayari kutoa hizo gharama sina shida naye anipe 750,000/=. Hio 40,000 iwe kama usumbufu wa kunipotezea muda kwenda garage.”

Kwa upande wa jamaa aliyenigonga ni kama hakua tayari maana alisema hana hela na hicho kiasi ni kikubwa sana kwa upande wake.

DEREVA UBER: “Hivi wewe jamaa una akili kweli? Mshukuru hata jamaa ni mwelewa na mstaarabu sana, kwanza hapo umelewa tukiita traffic hapa unakesi nyingi sana, kama unayo hio amount mpe jamaa tuondoke foleni imeshakua kubwa sana.”

Na muda huu uongozi wa Kidimbwi ulikua umefika pale kutoa usuluhishi.

JAMAA: “Hiki kiasi cha Pesa kwa sasa sina, mpaka niongee na Mzee au tutatumia Bima ya gari, bima yake ni kubwa.”

DEREVA UBER: “Bro embu kuwa serious Kama ni Bima ya gari inamaana tusubiri traffic waje kupima? na Bima inachukua muda mrefu kutoa majibu, jamaa asubiri majibu ya Bima?, hata mimi siwezi kukubalia.”

Kulikua na kelele za madereva wengi walikua ni Uber na walionekana kuwa na hasira sana huu usiku.

MIMI: “Kama jamaa anataka Bima ndo itahusika, bhasi anipe gari yake nimwachie hili akatengeneze, gari ikikamilika na mimi nitakukabidhi lako unaonaje mzee?”

Watu walionesha kufurahishwa na hii kauli yangu na waliiunga mkono. Jamaa baada ya kusikia hii kauli ni kama alishindwa cha kusema.

Uongozi wa pale Kidimbwi, Mgambo walikua wakiongea namna ya kupata solution, palepale Iryn akaanza kuongea.

IRYN: “Bro haya ni maisha tu, leo inaweza kuwa kwako, kesho ikawa kwetu. Hili suala tunataka liishie kirafiki ili kila mtu akaendelee na maisha yake. Hatuwezi kupelekana police kwa jambo dogo kama hili, ukisema utumie Bima kwanza itachukua muda mrefu sana, pili sisi tutaendelea kukusubiri mpaka bima itakapokuwa tayari?. Kwanza hapo umelewa, Traffic wata recommend wewe ndo mwenye makosa do you really think bima watapitisha claim yako?, hata kama ni Comprehensive kwa Tanzania hii sio rahisi. Na huo muda ambao unafuatilia upo tayari kutulipa muda wetu wa kusubiri?, naona unaleta masikhara kwenye vitu serious.”

Iryn aliongea na kila mtu aliona dada kaongea point sana,

JAMAA: “Nimeelewa ila sasa nitapataje hii pesa kwa sasa na muda huu ni usku hata kuwapigia wazazi ni ngumu kwa muda huu.”

IRYN : “Ni simple tu, unatumia simu gani?”

JAMAA : “Iphone”

IRYN : “Ilete tuione”.

Na muda huo dem wa jamaa alikua kashuka kwenye gari. Jamaa alikwenda kwenye gari na akatoka na simu

IRYN : “Hii ni iphone 12 Pro. Unaweza kuweka bond hapa afu kesho ukipata hio hela unapewa simu yako, simple like that.”

Watu walioneshwa kuyakubali mawazo ya Iryn na waliunga mkono hoja kwa 100%. Jamaa alisogea pembeni na demu wake ni kama walikua wanajadili kuhusu hili jambo, baada ya dakika 2 wakarudi.

JAMAA: “Bhasi sawa haina shida acha niweke simu Bond”

IRYN : “Itabidi tuandikishiane”

Palepale zikatafutwa karatasi na peni sijui zilitokea wapi kwa muda mle, jamaa mmoja alikua ameleta notebok na peni. Iryn akaomba leseni zetu za gari, mimi nikaitoa kwenye gari lakini jamaa alikua hana leseni, ikabidii tumwombe NIDA.

Tuliandikishiana pale makubaliano baina yetu na upande wa mashahidi “Mimi nilikua na Iryn, jamaa alikua na demu wake, Mgambo 1, na Dereva wa Uber aliyekuwepo pale kama shahidi”.

“Simu yako utawasiliana na jamaa asubuhi au utawasiliana na mimi kwa namba hizo, Jitahidi uwe mkweli maana ikipita kesho tutakwenda Police maana ushahidi wa Picha na haya makubaliano upo.”

Baada ya kuandikishiana kila mtu alisaini na jamaa akatoa line kwenye simu yake akatukabidhi simu, akapiga picha yale makubaliano kupitia simu ya demu wake na mashahidi wengine wakafanya hivyo, na mchezo ukaisha kihivyo kwa ule usiku.

Ilituchukua kama dakika 45 kutoka eneo la Kidimbwi kutokana na ile foleni kubwa. Tulivyofika kwa Zena pale nikafanya kurequest usafiri kwa ajili ya Iryn, na nikapata Uber pale chap, tukaagana na Mimi nikarudi home kulala.

*********

Asubuhi niliamka mapema sana ili kuwapa taarifa wateja zangu “Maggy na Mama 2” kuhusu ajali niliyopata na wakanielewa. Wakati naongea na Mama wa2 akaomba badae tuonane jioni pale Rainbow.

Saa 2 asubuhi Iryn alinipigia simu kujua maendeleo yangu na pia aliuliza kama jamaa kanicheki na nikamwambia jamaa hajanicheki bado.

Saa4 Jamaa ndo alinipigia simu na saa 6 mchana tukakubaliana tuonane pale Morocco. Jamaa aliomba tuonane pale sababu yeye alikua anakaa Magomeni. Baada ya muda huo tulionana na jamaa na akanikabidhi kiasi changu cha Pesa 750,000/=, nilizihesabu zile Pesa na zilikua zimetimia.

Palepale nilitoa karatasi nikaandika kwa nyuma kuonesha tumekabidhiana tayari. Mimi nikaondoka na uelekeo wa Gerezani kutengeneza gari, sababu nilijua pale Gerezani mimi ni mwenyeji hata sitapata shida kwenye kutengeneza gari.

Baada ya kuachana na jamaa nilimpigia simu Iryn nikamwambia nimeshaonana na jamaa na amenipa pesa tayari, akanambia nipitie kwake navyorudi.

Nilifika pale Gerezani nikamtafuta fundi wangu ambaye nilikuaga nafanya naye kazi kwenye ofisi yangu kipindi kile. Jamaa baada ya kuiona gari akanambia hapa chap leoleo tunaimaliza kazi.

Huyu Fundi wangu ni mtaalam sana kwenye masuala ya upakaji rangi yuko vizuri sana. Tulinunua taa za nyuma OG za mtumba pale Ilala pamoja na bampa ya nyuma.

Nakumbuka taa 2 tulilipia 320,000/= na bampa tulilipia 220,000/=. Mpaka jioni gari ilikua imeshakamilika tayari utafikir sio ile ambayo ilikua imebondwa nyuma.

Baada ya kutoka Gerezani moja kwa moja nilikwenda kwa Iryn maana alinambia nipitie kwake navyotoka mjini. Nilipitia pale Namanga madukani nikanunua mtindi maziwa litre 3, Iryn alinambiaga anapenda sana mtindi, hivyo nikafanya kumsaprizi.

“Nilikua nafanya haya ili kuendelea kumvuta Iryn karibu yangu, maana nilikua naingiza pesa nyingi sana kupitia yeye. Iryn alikua tayari mtu muhimu sana kwangu, nilikua namuheshimu sana.”

Nilifika kwake usiku tayari ulikuwa nikaingiza gari ndani, bhasi na yeye alikua katoka tayari na alikua amezunguka upande wa nyuma kulitizama gari.

Na mimi nilikua nimeshuka na dumu la mtindi, Iryn baada ya kugundua ni mtindi alifurahi sana. Bhasi tukaanza kuondoka kuelekea ndani huku tunapiga story.

IRYN: “Gari imependeza sana utafikiri haikugongwa jana Insider.”

MIMI: “Umeona eeh, jamaa nilompelekea alikuaga Fundi wangu ni mtaalamu”

IRYN: “Kwani ulishawai kuwa na Garage?”

MIMI: “Hapana ilikua kama workshop flani hivi , nilikua napiga piga rangi na kupolish magari.”

IRYN: “Sasa ilikuaje mpaka ukaifunga?”

MIMI: “Nimefunga kwa muda but nitarud tena kwenye business. Nilipisha ujenzi wa barabara”

IRYN: “Pole, unaona sasa una mambo mengi ila hujawai nishirikisha kabisa”

MIMI: “Ndomana hata yule Muajemi niligundua atakuja kuwa asset hapo baadae maana anadili na Lubricants atanisadia huko mbeleni.”

Muda huu tulikua tuko seblen tunaendelea na maongezi…..

IRYN: “So Bossy wako umempa taarifa kuhusu gari?”

MIMI: “Hapana sijamwambia kabisa, kuna vitu unavunga tu. Hata ningemwambia asingekua na msaada angeishia kupata presha tu.”

Iryn alikua hajui kama hii ni gari yangu pia usajili wa gari nilitumia jina la wife. Na mimi sikuwai kumwambia gari kama yangu.

IRYN: “Okay nice, ni uamuzi mzuri. Insider una ni hide mambo yako ujue.”

Muda huu alikua kama amenuna, na mimi ikabidi nimsogelee karibu.

IRYN : “Insider niache bhana..”

MIMI : “Sikia kama unataka kujua kuhusu mimi, nitakwambia tena kwa vitendo sawa?, aya nambie umepika nini?”

Iryn baada ya kusikia maneno hayo aliishia kutabasamu.

IRYN: “Twende jikoni ukaone.”

Alikua amepika tambi na Kuku, kwenye suala la mapishi dada pia alikua yuko vizuri sana. Mimi nikapakua nikaanza kula maana nilikua nina njaa sana, sikula mchana.

IRYN: “Insider unakumbuka kesho?”

MIMI: “Yeah si tunakwenda kwa mama Janeth?”

IRYN : “kumbe unakumbuka”

Na muda huu simu ilianza kuita, kucheki alikua ni mama wa2, nikapokea tukaanza kuongea pale. Mama wa2 alikua ananiuliza niko wapi maana anaona kimya simtafuti. Na mimi nikamwambia ndani ya nusu saa nitakua pale, na yeye akasema nitamkuta Rainbow

IRYN: “Insider huyo nani?”

MIMI: “Mteja wangu huyu”

IRYN: “Seems like mna appointment usikuu huu”

MIMI: “Yeah anataka kunilipa pesa zangu za mshahara huwa namchukua asubuhi kila siku”

IRYN: “Sasa kwanini asikupe hiyo kesho?, mpaka akupe usiku?”

MIMI: “Yuko likizo ndomana, pia amenambia kuna kazi ya kufanya naye tukabargain”

IRYN: “Mmh sawa, watu na appointment zenu za usiku”

Muda huu tena simu yangu ilianza kuita na mama yangu mzazi ndo alikua anapiga simu, sababu nilijua mama atakua anapiga simu kuhusu suala la Mama J sikutaka kuipokea simu yake. Nikasema nitaongea naye nikianza kutoka kwa Iryn, nilijua mama lazima anipe vichambo.

IRYN : “Naona anakupigia tena simu na hutaki kupokea, pokea tu.”

Mimi sikumjibu kitu niliamua kunyamaza, wakati huu nilikua niko busy na msosi. Yeye akaamua kuivuta simu aangalie ni nani anayenipigia.

Sasa Iryn alivyoona Mama ndo anapiga ni kama alipatwa na ka aibu, mawazo yake yote yalikua ni atakua Mama wa2 niliyetoka kuongea naye muda sio mrefu.

IRYN: “Kwanini humpokelei mama simu.?”

MIMI: “Mama kuna kazi alinipa sasa sijaifanikisha ndo nawaza hapa jibu la kumpa, maana hatonielewa kabisa.”

IRYN: “Mmhh sawa bhana, sio vizuri huwezi jua anakupigia akwambie nini.”

MIMI: “Nitampigia soon.”

Nilitoka pale kwa Iryn nikamwaga na yeye alitoka kunifungulia geti, tukakubaliana kesho mchana tukutane kwaajili ya kwenda Masaki.

Muda huo niliendesha gari kwa kasi sana kuelekea pale Rainbow Mbezi Beach. Nilifika pale na nilimkuta akinywa Savannah kama kawaida yake.

MIMI : ”Nakuona Mama mkwe unakimbiza taratibu”

MAMA WA2: “Ndo nini kuniweka hivi utafikiri namsubiri Mr.”

MIMI: “Samahani, hesabu zangu kidogo zilifeli ila sijakuweka sana hata hivyo, nitakuongezea Savannah moja ya kukusubilisha.”

MAMA WA2 : “Insider bhana unajua wewe unavituko sana alokwambia mimi nahitaji Savannah ni nani?”

MIMI : “Sasa unataka nini? Maana kuwa mkwe wako umenikazia”

MAMA WA2 : “Mwanangu mdogo yule wewe ukome.”

MIMI: “Afu sijawai mwona embu nioneshe hata picha ili nianze kuandaa hata posa.”

Mama wa2 akatoa simu akanionesha picha za Bint yake ambaye ndo mtoto wake wa kwanza wa kike. Na huyu mtoto wake alikua Advance form 5. Tuseme Mama wa2 amebarikiwa kuwa na watoto wazuri sana, afu wote baba zao ni tofauti.

MAMA WA2 : “Insider mwanangu mpaka amalize chuo ndo hapo mambo mengine yatafata. Hata wewe huyu sio size yako.”

MIMI: “Sema hutaki kuona bint yako anaolewa na Dereva wa Uber, huyo ni size yangu kabisa”

Muda huo dada alikua kaja pale kunisikiliza bhasi nikamnong’oneza aje na Savanna 2 na Heineken 1.

MAMA WA2 : “Insider unafikir sitamani kuwa na Mkwe kama wewe?, napenda upapambanaji wako. Najua hapo una elimu yako nzuri tu ila uneamua kupambana na Plan B hujataka kuajiriwa kama sisi.”

MIMI: “Unafikiri sipendi kuajiriwa? Sema sina connection tu.”

MAMA WA2 : “Umesomea nini?”

MIMI : “Uchumi”

MAMA WA2 : “Nikikutafutia connection upo tayari kufanya kazi?”

MIMI: “Why not, nikamkonyeza” na yeye akatabasamu.

Na muda huu dada alikua kaleta vinywaji, sasa Mama wa2 alishangaa kuona Savannah 2 kwaajili yake napia kuona mimi nimeagiza Heineken.

MAMA WA2 : “Kwahiyo kweli umeamua kuagiza Savannah?”

MIMI : “Yeah kwani nimefanya vibaya?”

MAMA WA2 : “Ahsante nilijua unanidanganya, na wewe pia kumbe ni mtumiaji wa pombe?”

MIMI : “Hapana leo nimeamua kunywa kwa ajili yako, seems like you don’t need my company here.”

MAMA WA2 : “No I’m happy, hata hivyo nilikua nishakunywa 2 tayari. Nikinywa nyingi zitaenda kunisumbua tu.”

MIMI : “Umeniitia nini kwanza nje na mshahara wangu,?”

MAMA WA2 : “Insider jumamosi nataka unipeleke Bagamoyo kabla sijamaliza likizo yangu.”

MIMI : “Bagamoyo unaenda kula bata?”

MAMA WA2 : “Nataka nikapunguze stress za maisha kule.”

MIMI : “Kwahiyo na mimi niandae pamba?, ili ukanilishe bata.?”

MAMA WA2 : “Ndo maana yake unafikiri nitakwenda na nani? Kama sio wewe?.”

MIMI : “Sawa imeisha hio, Bossy wangu.”

MAMA WA2 : “ I am not your Bossy”

MIMI : “Bhasi mama mkwe wangu kipenzi”

MAMA WA2 : “Gari umefanikiwa kuitengeneza?”

MIMI : “ Yeah muda sana si unajua ile ni ofisi siwezi kuchukua muda mrefu, nitakula wapi?”

MAMA WA2 : “Pole sana, so kesho kama kawaida asubuhi?”

MIMI : “Ndo maana yake, kesho asubuhi nitapita asubuhi kumchukua mtoto.”

Tulikaa na mama wa2 pale, akanikabidhi malipo yangu na mimi nikaondoka kurudi home kulala.

Wakati niko njiani nilimpigia simu mama na tukaongea kuhusu suala la Mama J. Nikamweleza mama ishu ilivyokua na mama aliishia kunilaumu sana kwa lile tukio na kunikanya nisurudie tena ule upumbavu. Akaomba nifanye juu chini tuyamalize mapema maana haileti picha nzuri kabisa. Nilimuahidi mama nitahakikisha tunayamaliza na Mama J na muda huo nilikua nimewasili home tayari.

Baada ya kuingia ndani kama kawaida yangu niliingia kuoga baada ya hapo nikasema acha nimpigie simu Prisca nimjulie hali maana toka jana sijaongea naye na yeye alikua hajanitafuta kabisa.

Nilimpigia simu baada ya kuita kwa sekunde kadhaa akawa amepokea;

PRISCA: “Hi Insider, naona umeamua kunipigia”

MIMI: “Hapana mrembo, Samahani nilikua nimebanwa sana na jana nilipata ajali.”

PRISCA: “Ajali ya nini? Mbona sikuelewi?”

MIMI : “Ya gari ila nishasovu tayari kuna mtu alinigonga kwa nyuma”

PRISCA: “Oohh I am really sorry”

MIMI : “How are you feeling today?”

PRISCA : “Kinda good, Insider do you love me?”

MIMI : “Yes I do, why?”

PRISCA : “I think you do not, nimekwambia jana naumwa but you don’t even care. Uko busy na mambo yako.”

MIMI : “I care about you, kesho nitakuja chuo kukuona sawa?”

PRISCA: “Okay, Goodnite byee”

Muda huu nilikua nawaza kumfanya Prisca kuwa kamchepuko kangu lakini nilibaini huyu mtoto angenisumbua sana. Prisca ni aina ya wale wanawake wanaopenda sana kudekezwa na kupetiwa petiwa, na pia ni aina ya wanawake ambao wakipenda wanapenda kweli.

Sasa mimi wanawake wa dizaini hii siwawezi kwakweli kwenye historia ya maisha yangu. Suala la kumbembeleza na kumdekeza mwanamke kama movie za Kikorea mimi siwezi.

Sasa nilikua nawaza kwa upande mwingine Mama J toka ajifungue ilikua miezi 9 tayari ila kuna muda nilikua sipati mahitaji yangu ya kitandani. Sometimes nilikua namwonea huruma na malezi ya mtoto alikua anachoka sana na ukizingatia Junior alikua analipenda sana nyonyo. Nikawaza nimfanye Prisca kma mchepuko ila nitamwambia ukweli aamue mwenyewe kama yuko in or out.

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Nakuja
 
EPISODE 14

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Nikamshukuru Iryn kwa out then nikawasha gari tuondoke tukalale, wakati tumevuka geti la Kidimbwi kuna gari ilikuja kwa spidi sana na ikatugonga “BOOM”. Ilisikika sauti ya Iryn “Mamaaaa…….”.

TUNAENDELEA…………….

Lilikua ni tukio la fasta sana ambalo lilitupa mshtuko kupelekea Iryn kutoa sauti ya nguvu. Jamaa alitugonga kwa nyuma na kwa spidi sana, palepale ilibidi nishuke na watu walikua wameanza kusogea pale kwa kasi.

Muda huu magari ndo yalikua yanaingia kwa kasi na kutoka, Uber ndo zilionekana kuwa busy sana hili eneo.

Eneo ambalo jama alitugonga ilikua ni kabla hujafika kwenye corner ya kwanza inayokata kushoto kama umetoka kidimbwi.

Baada ya kushuka niliangalia gari upande wa nyuma nikaona jamaa alikua amevunja bampa la nyuma, taa zote mbili za nyuma na sehemu ya nyuma ya boneti ilikua imebonyea.

Jamaa gari yake ilikua ni Prado zile za zamani ila ilikua na ngao mbele. Jamaa alikua bado hajashuka kwenye gari ikabidi nimgongee dirishani atokee nje, ili tuongee.

Baada ya kumgongea dirishani lakini jamaa hakutoka ni kama alikua na dharau, hichi kitendo kilizidi kunipa hasira sana. Na muda huo askari mgambo wanaolinda eneo hili walikua wameshafika eneo la tukio.

Kwa upande mwingine foleni ilizidi kuwa kubwa sana maana hakuna gari zilizokuwa zinatoka wala kuingia pale Kidimbwi. Na muda huo Iryn alikua kashatoka kwenye gari, akaja akanishika mkono.

Kwa tukio liliokuwa limetokea pale mwenye kosa alikua ni jamaa, maana yeye ndo alinigonga kwa nyuma, napia sheria ziko wazi hivyo hakukuwa na haja ya kumtafuta mchawi ni nani.

“Huyu fala anadharau sana, anamakosa ila hataki kutoka nje. Watu kama hawa ndo wakuwatia makofi”. Ilisika sauti ya dereva wa bodaboda aliyekuwa kwenye bodaboda yake.

Watu walizidi kumiminika hasahasa madereva wa magari walikua wamefika kuona nini tatizo, na wengi walikuwa wanapatwa na hasira kuona jamaa hataki kutoka kwenye gari.

Jama alikuwa na demu wake ambaye alikuwa amekaa upande wa mbele, dem alikuwa kama anamwomba jamaa atoke nje. Kwa upande mwingine Mgambo walikua wamemgongea jamaa ashuke na madereva pia walikua wameanza kumgongea kwa fujo, maana jamaa alikuwa anafanya mambo ya kizamani sana, afu pia ya kishamba.

Baada ya muda jamaa akashuka na alionekana mtu ambaye amelewa hakuwa na akili zake.

“We ms*** unazingua baada ya hili suala mlimalize mapema wewe unaleta mapozi, acha ufala sisi madereva hatuko hivo.” Hii ilikua ni sauti ya jamaa ambaye alikua ni dereva akimwambia jamaa.

Foleni ilizidi kuwa kubwa na kupelekea watu kuzidi kumiminika pale, maana hakukua na gari inayotoka wala kuingia.

MGAMBO: “Bro siku nyingine usifanye ujinga kama huu hili kosa ni lako, ulipaswa kushuka na myajenge haraka.”

JAMAA : “Samahani bro! Tunaweza ongea kuhusu hili private?”

Jamaa alikua akiniomba tuongee private.

MGAMBO : “Hakuna haja kuongea private, cha msingi tumsikilize jamaa hapa atasemaje”

Palepale alitokea jamaa ambaye ni dereva wa Uber na akatoa hesabu na gharama za vifaa na utengenezaji.

“Hii ni IST ya 2006 taa za nyuma moja ni 180,000/= kwa mbili ni 360,000/=. Bampa hilo halifai tena gharama zake ni 250,000/=, kunyoosha hio boneti na kupaka rangi hapo andaa 100,000 kwa jumla hapa ni 710,000/=. Kama jamaa atakuchaji na usumbufu juu yake ila gharama za hapo ni uhakika. Hii gari kali sana bado mpya naona umeshaitia ngeu tayari.”

Muda huu pia Iryn alionekana kunionea huruma sana maana alikua anajua gari itakua ya boss, hakuwai kuuliza kama gari ni yangu au laah! na mimi pia nilikuaga siwaambii wateja kama gari yangu.

IRYN : “Insider unafanyaje sasa?, I can feel you, I’m really sorry.”

MIMI: “Jamaa kama atatoa hizo cost no problem tutatamaliza”

IRYN: “Atakubali sasa?”

Muda huo Mgambo akawa amekuja upande wangu akiniuliza maamuzi yangu ni nini juu ya hili jambo. Upande mwingine madereva walitamani sana hili jambo liishe mapema maana tungesema tusubir traffic kwa muda ule isingekua rahisi kwa Traffic kufika mapema.

Nikamuuliza jamaa alokua anatoa hesabu za matengenezo kama anauhakika na zile bei alizotaja, na madereva wengi wa Uber walikuwepo pale wakasema ni sahihi.

MIMI: “Kama jamaa atakua tayari kutoa hizo gharama sina shida naye anipe 750,000/=. Hio 40,000 iwe kama usumbufu wa kunipotezea muda kwenda garage.”

Kwa upande wa jamaa aliyenigonga ni kama hakua tayari maana alisema hana hela na hicho kiasi ni kikubwa sana kwa upande wake.

DEREVA UBER: “Hivi wewe jamaa una akili kweli? Mshukuru hata jamaa ni mwelewa na mstaarabu sana, kwanza hapo umelewa tukiita traffic hapa unakesi nyingi sana, kama unayo hio amount mpe jamaa tuondoke foleni imeshakua kubwa sana.”

Na muda huu uongozi wa Kidimbwi ulikua umefika pale kutoa usuluhishi.

JAMAA: “Hiki kiasi cha Pesa kwa sasa sina, mpaka niongee na Mzee au tutatumia Bima ya gari, bima yake ni kubwa.”

DEREVA UBER: “Bro embu kuwa serious Kama ni Bima ya gari inamaana tusubiri traffic waje kupima? na Bima inachukua muda mrefu kutoa majibu, jamaa asubiri majibu ya Bima?, hata mimi siwezi kukubalia.”

Kulikua na kelele za madereva wengi walikua ni Uber na walionekana kuwa na hasira sana huu usiku.

MIMI: “Kama jamaa anataka Bima ndo itahusika, bhasi anipe gari yake nimwachie hili akatengeneze, gari ikikamilika na mimi nitakukabidhi lako unaonaje mzee?”

Watu walionesha kufurahishwa na hii kauli yangu na waliiunga mkono. Jamaa baada ya kusikia hii kauli ni kama alishindwa cha kusema.

Uongozi wa pale Kidimbwi, Mgambo walikua wakiongea namna ya kupata solution, palepale Iryn akaanza kuongea.

IRYN: “Bro haya ni maisha tu, leo inaweza kuwa kwako, kesho ikawa kwetu. Hili suala tunataka liishie kirafiki ili kila mtu akaendelee na maisha yake. Hatuwezi kupelekana police kwa jambo dogo kama hili, ukisema utumie Bima kwanza itachukua muda mrefu sana, pili sisi tutaendelea kukusubiri mpaka bima itakapokuwa tayari?. Kwanza hapo umelewa, Traffic wata recommend wewe ndo mwenye makosa do you really think bima watapitisha claim yako?, hata kama ni Comprehensive kwa Tanzania hii sio rahisi. Na huo muda ambao unafuatilia upo tayari kutulipa muda wetu wa kusubiri?, naona unaleta masikhara kwenye vitu serious.”

Iryn aliongea na kila mtu aliona dada kaongea point sana,

JAMAA: “Nimeelewa ila sasa nitapataje hii pesa kwa sasa na muda huu ni usku hata kuwapigia wazazi ni ngumu kwa muda huu.”

IRYN : “Ni simple tu, unatumia simu gani?”

JAMAA : “Iphone”

IRYN : “Ilete tuione”.

Na muda huo dem wa jamaa alikua kashuka kwenye gari. Jamaa alikwenda kwenye gari na akatoka na simu

IRYN : “Hii ni iphone 12 Pro. Unaweza kuweka bond hapa afu kesho ukipata hio hela unapewa simu yako, simple like that.”

Watu walioneshwa kuyakubali mawazo ya Iryn na waliunga mkono hoja kwa 100%. Jamaa alisogea pembeni na demu wake ni kama walikua wanajadili kuhusu hili jambo, baada ya dakika 2 wakarudi.

JAMAA: “Bhasi sawa haina shida acha niweke simu Bond”

IRYN : “Itabidi tuandikishiane”

Palepale zikatafutwa karatasi na peni sijui zilitokea wapi kwa muda mle, jamaa mmoja alikua ameleta notebok na peni. Iryn akaomba leseni zetu za gari, mimi nikaitoa kwenye gari lakini jamaa alikua hana leseni, ikabidii tumwombe NIDA.

Tuliandikishiana pale makubaliano baina yetu na upande wa mashahidi “Mimi nilikua na Iryn, jamaa alikua na demu wake, Mgambo 1, na Dereva wa Uber aliyekuwepo pale kama shahidi”.

“Simu yako utawasiliana na jamaa asubuhi au utawasiliana na mimi kwa namba hizo, Jitahidi uwe mkweli maana ikipita kesho tutakwenda Police maana ushahidi wa Picha na haya makubaliano upo.”

Baada ya kuandikishiana kila mtu alisaini na jamaa akatoa line kwenye simu yake akatukabidhi simu, akapiga picha yale makubaliano kupitia simu ya demu wake na mashahidi wengine wakafanya hivyo, na mchezo ukaisha kihivyo kwa ule usiku.

Ilituchukua kama dakika 45 kutoka eneo la Kidimbwi kutokana na ile foleni kubwa. Tulivyofika kwa Zena pale nikafanya kurequest usafiri kwa ajili ya Iryn, na nikapata Uber pale chap, tukaagana na Mimi nikarudi home kulala.

*********

Asubuhi niliamka mapema sana ili kuwapa taarifa wateja zangu “Maggy na Mama 2” kuhusu ajali niliyopata na wakanielewa. Wakati naongea na Mama wa2 akaomba badae tuonane jioni pale Rainbow.

Saa 2 asubuhi Iryn alinipigia simu kujua maendeleo yangu na pia aliuliza kama jamaa kanicheki na nikamwambia jamaa hajanicheki bado.

Saa4 Jamaa ndo alinipigia simu na saa 6 mchana tukakubaliana tuonane pale Morocco. Jamaa aliomba tuonane pale sababu yeye alikua anakaa Magomeni. Baada ya muda huo tulionana na jamaa na akanikabidhi kiasi changu cha Pesa 750,000/=, nilizihesabu zile Pesa na zilikua zimetimia.

Palepale nilitoa karatasi nikaandika kwa nyuma kuonesha tumekabidhiana tayari. Mimi nikaondoka na uelekeo wa Gerezani kutengeneza gari, sababu nilijua pale Gerezani mimi ni mwenyeji hata sitapata shida kwenye kutengeneza gari.

Baada ya kuachana na jamaa nilimpigia simu Iryn nikamwambia nimeshaonana na jamaa na amenipa pesa tayari, akanambia nipitie kwake navyorudi.

Nilifika pale Gerezani nikamtafuta fundi wangu ambaye nilikuaga nafanya naye kazi kwenye ofisi yangu kipindi kile. Jamaa baada ya kuiona gari akanambia hapa chap leoleo tunaimaliza kazi.

Huyu Fundi wangu ni mtaalam sana kwenye masuala ya upakaji rangi yuko vizuri sana. Tulinunua taa za nyuma OG za mtumba pale Ilala pamoja na bampa ya nyuma.

Nakumbuka taa 2 tulilipia 320,000/= na bampa tulilipia 220,000/=. Mpaka jioni gari ilikua imeshakamilika tayari utafikir sio ile ambayo ilikua imebondwa nyuma.

Baada ya kutoka Gerezani moja kwa moja nilikwenda kwa Iryn maana alinambia nipitie kwake navyotoka mjini. Nilipitia pale Namanga madukani nikanunua mtindi maziwa litre 3, Iryn alinambiaga anapenda sana mtindi, hivyo nikafanya kumsaprizi.

“Nilikua nafanya haya ili kuendelea kumvuta Iryn karibu yangu, maana nilikua naingiza pesa nyingi sana kupitia yeye. Iryn alikua tayari mtu muhimu sana kwangu, nilikua namuheshimu sana.”

Nilifika kwake usiku tayari ulikuwa nikaingiza gari ndani, bhasi na yeye alikua katoka tayari na alikua amezunguka upande wa nyuma kulitizama gari.

Na mimi nilikua nimeshuka na dumu la mtindi, Iryn baada ya kugundua ni mtindi alifurahi sana. Bhasi tukaanza kuondoka kuelekea ndani huku tunapiga story.

IRYN: “Gari imependeza sana utafikiri haikugongwa jana Insider.”

MIMI: “Umeona eeh, jamaa nilompelekea alikuaga Fundi wangu ni mtaalamu”

IRYN: “Kwani ulishawai kuwa na Garage?”

MIMI: “Hapana ilikua kama workshop flani hivi , nilikua napiga piga rangi na kupolish magari.”

IRYN: “Sasa ilikuaje mpaka ukaifunga?”

MIMI: “Nimefunga kwa muda but nitarud tena kwenye business. Nilipisha ujenzi wa barabara”

IRYN: “Pole, unaona sasa una mambo mengi ila hujawai nishirikisha kabisa”

MIMI: “Ndomana hata yule Muajemi niligundua atakuja kuwa asset hapo baadae maana anadili na Lubricants atanisadia huko mbeleni.”

Muda huu tulikua tuko seblen tunaendelea na maongezi…..

IRYN: “So Bossy wako umempa taarifa kuhusu gari?”

MIMI: “Hapana sijamwambia kabisa, kuna vitu unavunga tu. Hata ningemwambia asingekua na msaada angeishia kupata presha tu.”

Iryn alikua hajui kama hii ni gari yangu pia usajili wa gari nilitumia jina la wife. Na mimi sikuwai kumwambia gari kama yangu.

IRYN: “Okay nice, ni uamuzi mzuri. Insider una ni hide mambo yako ujue.”

Muda huu alikua kama amenuna, na mimi ikabidi nimsogelee karibu.

IRYN : “Insider niache bhana..”

MIMI : “Sikia kama unataka kujua kuhusu mimi, nitakwambia tena kwa vitendo sawa?, aya nambie umepika nini?”

Iryn baada ya kusikia maneno hayo aliishia kutabasamu.

IRYN: “Twende jikoni ukaone.”

Alikua amepika tambi na Kuku, kwenye suala la mapishi dada pia alikua yuko vizuri sana. Mimi nikapakua nikaanza kula maana nilikua nina njaa sana, sikula mchana.

IRYN: “Insider unakumbuka kesho?”

MIMI: “Yeah si tunakwenda kwa mama Janeth?”

IRYN : “kumbe unakumbuka”

Na muda huu simu ilianza kuita, kucheki alikua ni mama wa2, nikapokea tukaanza kuongea pale. Mama wa2 alikua ananiuliza niko wapi maana anaona kimya simtafuti. Na mimi nikamwambia ndani ya nusu saa nitakua pale, na yeye akasema nitamkuta Rainbow

IRYN: “Insider huyo nani?”

MIMI: “Mteja wangu huyu”

IRYN: “Seems like mna appointment usikuu huu”

MIMI: “Yeah anataka kunilipa pesa zangu za mshahara huwa namchukua asubuhi kila siku”

IRYN: “Sasa kwanini asikupe hiyo kesho?, mpaka akupe usiku?”

MIMI: “Yuko likizo ndomana, pia amenambia kuna kazi ya kufanya naye tukabargain”

IRYN: “Mmh sawa, watu na appointment zenu za usiku”

Muda huu tena simu yangu ilianza kuita na mama yangu mzazi ndo alikua anapiga simu, sababu nilijua mama atakua anapiga simu kuhusu suala la Mama J sikutaka kuipokea simu yake. Nikasema nitaongea naye nikianza kutoka kwa Iryn, nilijua mama lazima anipe vichambo.

IRYN : “Naona anakupigia tena simu na hutaki kupokea, pokea tu.”

Mimi sikumjibu kitu niliamua kunyamaza, wakati huu nilikua niko busy na msosi. Yeye akaamua kuivuta simu aangalie ni nani anayenipigia.

Sasa Iryn alivyoona Mama ndo anapiga ni kama alipatwa na ka aibu, mawazo yake yote yalikua ni atakua Mama wa2 niliyetoka kuongea naye muda sio mrefu.

IRYN: “Kwanini humpokelei mama simu.?”

MIMI: “Mama kuna kazi alinipa sasa sijaifanikisha ndo nawaza hapa jibu la kumpa, maana hatonielewa kabisa.”

IRYN: “Mmhh sawa bhana, sio vizuri huwezi jua anakupigia akwambie nini.”

MIMI: “Nitampigia soon.”

Nilitoka pale kwa Iryn nikamwaga na yeye alitoka kunifungulia geti, tukakubaliana kesho mchana tukutane kwaajili ya kwenda Masaki.

Muda huo niliendesha gari kwa kasi sana kuelekea pale Rainbow Mbezi Beach. Nilifika pale na nilimkuta akinywa Savannah kama kawaida yake.

MIMI : ”Nakuona Mama mkwe unakimbiza taratibu”

MAMA WA2: “Ndo nini kuniweka hivi utafikiri namsubiri Mr.”

MIMI: “Samahani, hesabu zangu kidogo zilifeli ila sijakuweka sana hata hivyo, nitakuongezea Savannah moja ya kukusubilisha.”

MAMA WA2 : “Insider bhana unajua wewe unavituko sana alokwambia mimi nahitaji Savannah ni nani?”

MIMI : “Sasa unataka nini? Maana kuwa mkwe wako umenikazia”

MAMA WA2 : “Mwanangu mdogo yule wewe ukome.”

MIMI: “Afu sijawai mwona embu nioneshe hata picha ili nianze kuandaa hata posa.”

Mama wa2 akatoa simu akanionesha picha za Bint yake ambaye ndo mtoto wake wa kwanza wa kike. Na huyu mtoto wake alikua Advance form 5. Tuseme Mama wa2 amebarikiwa kuwa na watoto wazuri sana, afu wote baba zao ni tofauti.

MAMA WA2 : “Insider mwanangu mpaka amalize chuo ndo hapo mambo mengine yatafata. Hata wewe huyu sio size yako.”

MIMI: “Sema hutaki kuona bint yako anaolewa na Dereva wa Uber, huyo ni size yangu kabisa”

Muda huo dada alikua kaja pale kunisikiliza bhasi nikamnong’oneza aje na Savanna 2 na Heineken 1.

MAMA WA2 : “Insider unafikir sitamani kuwa na Mkwe kama wewe?, napenda upapambanaji wako. Najua hapo una elimu yako nzuri tu ila uneamua kupambana na Plan B hujataka kuajiriwa kama sisi.”

MIMI: “Unafikiri sipendi kuajiriwa? Sema sina connection tu.”

MAMA WA2 : “Umesomea nini?”

MIMI : “Uchumi”

MAMA WA2 : “Nikikutafutia connection upo tayari kufanya kazi?”

MIMI: “Why not, nikamkonyeza” na yeye akatabasamu.

Na muda huu dada alikua kaleta vinywaji, sasa Mama wa2 alishangaa kuona Savannah 2 kwaajili yake napia kuona mimi nimeagiza Heineken.

MAMA WA2 : “Kwahiyo kweli umeamua kuagiza Savannah?”

MIMI : “Yeah kwani nimefanya vibaya?”

MAMA WA2 : “Ahsante nilijua unanidanganya, na wewe pia kumbe ni mtumiaji wa pombe?”

MIMI : “Hapana leo nimeamua kunywa kwa ajili yako, seems like you don’t need my company here.”

MAMA WA2 : “No I’m happy, hata hivyo nilikua nishakunywa 2 tayari. Nikinywa nyingi zitaenda kunisumbua tu.”

MIMI : “Umeniitia nini kwanza nje na mshahara wangu,?”

MAMA WA2 : “Insider jumamosi nataka unipeleke Bagamoyo kabla sijamaliza likizo yangu.”

MIMI : “Bagamoyo unaenda kula bata?”

MAMA WA2 : “Nataka nikapunguze stress za maisha kule.”

MIMI : “Kwahiyo na mimi niandae pamba?, ili ukanilishe bata.?”

MAMA WA2 : “Ndo maana yake unafikiri nitakwenda na nani? Kama sio wewe?.”

MIMI : “Sawa imeisha hio, Bossy wangu.”

MAMA WA2 : “ I am not your Bossy”

MIMI : “Bhasi mama mkwe wangu kipenzi”

MAMA WA2 : “Gari umefanikiwa kuitengeneza?”

MIMI : “ Yeah muda sana si unajua ile ni ofisi siwezi kuchukua muda mrefu, nitakula wapi?”

MAMA WA2 : “Pole sana, so kesho kama kawaida asubuhi?”

MIMI : “Ndo maana yake, kesho asubuhi nitapita asubuhi kumchukua mtoto.”

Tulikaa na mama wa2 pale, akanikabidhi malipo yangu na mimi nikaondoka kurudi home kulala.

Wakati niko njiani nilimpigia simu mama na tukaongea kuhusu suala la Mama J. Nikamweleza mama ishu ilivyokua na mama aliishia kunilaumu sana kwa lile tukio na kunikanya nisurudie tena ule upumbavu. Akaomba nifanye juu chini tuyamalize mapema maana haileti picha nzuri kabisa. Nilimuahidi mama nitahakikisha tunayamaliza na Mama J na muda huo nilikua nimewasili home tayari.

Baada ya kuingia ndani kama kawaida yangu niliingia kuoga baada ya hapo nikasema acha nimpigie simu Prisca nimjulie hali maana toka jana sijaongea naye na yeye alikua hajanitafuta kabisa.

Nilimpigia simu baada ya kuita kwa sekunde kadhaa akawa amepokea;

PRISCA: “Hi Insider, naona umeamua kunipigia”

MIMI: “Hapana mrembo, Samahani nilikua nimebanwa sana na jana nilipata ajali.”

PRISCA: “Ajali ya nini? Mbona sikuelewi?”

MIMI : “Ya gari ila nishasovu tayari kuna mtu alinigonga kwa nyuma”

PRISCA: “Oohh I am really sorry”

MIMI : “How are you feeling today?”

PRISCA : “Kinda good, Insider do you love me?”

MIMI : “Yes I do, why?”

PRISCA : “I think you do not, nimekwambia jana naumwa but you don’t even care. Uko busy na mambo yako.”

MIMI : “I care about you, kesho nitakuja chuo kukuona sawa?”

PRISCA: “Okay, Goodnite byee”

Muda huu nilikua nawaza kumfanya Prisca kuwa kamchepuko kangu lakini nilibaini huyu mtoto angenisumbua sana. Prisca ni aina ya wale wanawake wanaopenda sana kudekezwa na kupetiwa petiwa, na pia ni aina ya wanawake ambao wakipenda wanapenda kweli.

Sasa mimi wanawake wa dizaini hii siwawezi kwakweli kwenye historia ya maisha yangu. Suala la kumbembeleza na kumdekeza mwanamke kama movie za Kikorea mimi siwezi.

Sasa nilikua nawaza kwa upande mwingine Mama J toka ajifungue ilikua miezi 9 tayari ila kuna muda nilikua sipati mahitaji yangu ya kitandani. Sometimes nilikua namwonea huruma na malezi ya mtoto alikua anachoka sana na ukizingatia Junior alikua analipenda sana nyonyo. Nikawaza nimfanye Prisca kma mchepuko ila nitamwambia ukweli aamue mwenyewe kama yuko in or out.

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Narud
 
EPISODE 16

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”


Wakati nikiongea na Iryn kwa upande mwingine Mary naye alikua anapiga simu, nilitumia kama dakika 30 kumaliza mazungumzo na Iryn. Baada ya kumaliza mazungumzo naye, ikabidi nimpigie simu Mary Asap,

MARY : “Insider unaongea na nani usiku huu?”

MIMI : “Mama yangu”

MARY: “At this time of night?”

MIMI: “Ndio, kwani kuna time limit ya kuongea na mzazi?

MARY: “Siamini”

MIMI: “Niambie ulifanikisha?”

MARY: “Yeah, thank you. Insider can I ask you?”

MIMI: “Nakusikiliza Mary”

MARY: “What’s really going on between you and Prisca?”

MIMI: “Nothing, why are you asking me?”

MARY: “Naona ukaribu wenu unazidi kukua day after day.”

MIMI: “Mary bhana sasa si nilikuja kumwona Prisca alinambia anaumwa, ujue nyinyi ni Familia tayari afu nawachukulia kama washikaji zangu.”

MARY: “Insider Prisca kaondoka Ijumaa na hakurudi, amerudi jumamosi jioni anaumwa, kuna dalili zinaonesha mlikua pamoja.”

MIMI: “Mary unajua sikuelewi unachoongea, mimi nilikua na Prisca kivipi.”

MARY: “Prisca ni mdogo wangu na nina mjua vizuri sana, mimi na yeye tunashare mambo mengi sana ila kuhusu wewe amekua mgumu sana kushare na sio kawaida yake.”

MIMI: “Kama mnashare mambo mengi na mpaka sasa hajasema kitu, si manake mimi na yeye hakuna kinachoendelea.”

MARY : “Insider Prisca kaondoka Ijumaa na wewe ndo ulokuja mfata, baadae ananitumia message kwamba hatorudi home atalala hostel, Prisca halalagi Hostel weekend, na yule jamaa yake wameshaachana muda. Prisca Ijumaa alikua na wewe, maana nikijaribu kuunganisha hizi doti wewe ndo mwanaume kwa sasa ambaye unamchanganya Prisca.”

MIMI: “Mary mimi naona kama unajaribu kufanya guessing, na una uhakika gani kwamba Prisca wameachana na jamaa yake?”

MARY: “Prisca kaachana na jamaa yake kwasababu yako labda tu nikwambie hivo, she’s in love with you. Natoka Prisca arudi jumamosi usiku, amekua mtu wa kulalamika sana kuhusu wewe, you guys mlikua na usiku mzuri sana Ijumaa.”

MIMI: “Mary mimi nafikiri muulize Prisca vizuri alikua na nani maana mimi Ijumaa nimeshinda kwa Mamdogo wangu alikua anaumwa.”

MARY: “You guys mpo kwenye Mahusiano but you’re trying to sneak around”

MIMI: “Mary kama mimi natoka na Prisca hata nisingekuficha, kwanza ningependa kuwa na shemeji mzuri kama wewe.”

MARY: “Mmh mmmh sawa, unafanya nini?”

MIMI: “Naongea na mrembo Mary”

MARY: “Hahahaa Insider bhana”

MIMI: “Leo nitalala vizuri maana sauti yako ni nzuri sana.”

MARY: “Wanaume mnasifiaga hata kama kitu kibaya”

MIMI: “So you don’t trust me?”

MARY: “Alright nashukuru kama kweli”

MIMI: “Bye mimi nalala uwe na usiku mwema.”

MARY: “And you too.”

Muda ule nilikaa nikawaza kama Mary ameshajua mimi nimemla Prisca, amejuaje?, nikajiuliza au Aliona chats zetu na Prisca?. Lakini pia nikawaza Mary ni kama anatafuta ukweli kuhusu kinachoendelea mimi na Prisca. Mary pia alinekana ni kama mtu ambaye alipatwa na kawivu hivi.

Usiku huu pia nilichat sana na Prisca kupitia whatsapp na akawa ananitumia Picha zake alizopiga recently, nikawa namsifia sifia pale na nikalala zangu.

Nilichokifanya kwa sasa kwenye upande wa whatsapp nilifanya setting ambapo hata nikidownload picha inabaki mlemle kwenye whatsapp haijisave kwenye “camera roll”. Na pia nilikua nafuta chats palepale, nilijifunza kutokana na makosa.

*********

Asubuhi nilikua naamka 06:00 mapema kila siku, hii ndo ilikua time table yangu,nilikua naset na alarm kabisa. Na nilikua natumia dk15 kujiandaa na kutoka pale home na mara nyingi 06:30 ilikua inanikutia kwa Mama wa2. Nilikua namchukua Mama wa2 na mwanae then nitamdrop mwanae pale Mikocheni shule, then nitamchukua Maggy na kuwapeleka Posta.

Hizi ndo zilikua ratiba zangu za kila siku na hawa watu nilikua nimeingia nao mikataba hivyo nilikua sifanyi makosa.

Hii siku ilikua ni jumatano na niliamka mapema sana na nikaenda kumchukua mtoto wa mama 2 na baada ya kumuacha pale shuleni, nikaelekea kumchukua Maggy. Nilimpigia simu Maggy akanambia leo atachelewa kidogo, sababu nilikua sina jinsi ikabidi niende kwake kumsubiri.

Nilifika pale kwenye apartment anayoishi na muda huo Maggy alitoka kunifungulia geti, alionekana ni mtu ambaye ametoka kuamka muda huo.

MAGGY: “Insider samahani sana, jana nimetoka usiku sana ofisini, leo nitachelewa kuingia ofisni mpaka saa 3”

MIMI: “Sawa haina shida, acha nikusubirie tu.”

Mimi sikuwa na tatizo na akaomba nikamsubilie seblen kwake.

MIMI: “So hapa unaishi peke yako?”

MAGGY: “Ndio nitaishi na nani sasa?”

MIMI: “Hata na shemeji sio mbaya.”

MIMI: “Hahahaa Insider bhana, acha nikuandalie chai then tuondoke.”

MIMI: “Mimi sioni sababu ya kunywa chai asubuhi yote hii, wewe nenda kalale mimi nitakusubir hapa.”

MAGGY: “Nimeshamka hapa unafikir na usingizi tena?, ngoja nikukaangie hata mayai bhasi haitakua busara nikuweke bila kitu.”

Muda huo Maggy alikwenda jikoni na mimi nilikua niko seblen nimekaa. Na ndani ya muda mfupi alirudi na mayai ya kukaanga kwenye sahani na maziwa kwenye kikombe, akanipa na yeye akasema anakwenda kuoga.

“Maggy ni mwanamke ambaye tuseme ni wa kawaida yaani ana sura ya kawaida ila ana mahips , tuseme anafaa kuliwa vizuri kabisa.”

Na muda ule wakati Maggy akijiandaa nilimpigia simu Muajemi lakini hakuweza kupokea simu yangu, nikarudia tena ila hakuupokea. Nilitaka kumpa Muajemi taarifa mapema za kujiandaa na date.

Maggy alitoka akiwa amevaa surual ya kitambaa nyeusi na shati nyeupe alionekana kupendeza sana, na ilimchora Mahips yake, na mimi bila ya uchoyo nikampa sifa zake.

Mara nyingi tukiwa na Maggy story zetu nyingi sana zinakuwaga za maisha, Maggy ni aina ya wale wanawake ambao hawana mambo mengi na wako busy na mambo yao.

Nilimdrop pale ofisini kwake na muda huo ilikua saa4 asubuhi, nikatoka hapo nikaenda kupark gari pale pa sikuzote na nikawa nimeset destination ya kwenda Masaki.

Sasa nikiwa pale kijiweni tukiendelea na story na madereva wa Uber, story kubwa ilikua ni kuhusu Uber kutaka kufunga ofisi zao Tanzania. Sasa hapa kuliwa na pande mbili ambazo wanaunga hoja na wasio unga hoja.

“Uber wanaringa sana wanafikiri hata wakiondoka sisi tutalala njaa??, kamisheni yenyewe wanakata 25% hakuna tunachopata sisi.”

“Bolt ipo kwanza na wako tayari kupunguza kamisheni zao, Uber tumeichoka sisi kwanza Bolt ndo inawateja wengi kwa sasa.”

“Wewe fala unasema nini? Mimi nikipiga trip zangu ndefu 5 za Uber na pesa ya kutosha, huyo Bolt anawateja sababu anashusha sana nauli na tunaoumia ni sisi Madereva.”

“Sasa kwa taarifa yako nakwambia Uber wakifunga ofisi utaona jinsi Bolt watakavyoanza kuzingua, kwanza hawatujali Madereva kabisa.”

“Uber mimi imenipa connection sana asee naiheshimu, wateja wa Bolt ni maskini wanalia njaa sana.”

Yalikua ni mabishano ya madereva wa Uber na mimi nilikua nikichangia mada lakini nilikua upande wa Uber. Baada ya lisaa nilipata request ya mteja na alikua anakwenda pale Coco plaza.

Mteja alikua pale Exim Bank HQ, nikamchukua na tukaelekea Masaki na nikamdrop pale Coco plaza, mara nyingi sana wateja wa Bank huwa wanatumia card kwenye malipo.

Na mimi chap nilitoka nakwenda kuwachukua madogo ili niwapeleke majumbani kwao, ilikua ni kazi flani ya kitumwa lakini ndo mkono ulikua unakwenda kinywani kupitia hii kazi.

Wakati niko njiani Mzee wangu alinipigia simu kupitia Whatsapp call na akaniambia ananitumia namba za rafiki yake wa Dodoma ili tuwasiliane. Mzee akanambia ni rafiki yake sana hana shida na atanisaidia kwa kila hatua, na akanitoa wasiwasi. Baada ya mazungumzo na muda huohuo alikua kanitumia contact ikiwa inasomeka “Engineer Mollel”.

Na muda huo nilikua niko shuleni pale nimefika na nikawachukua watoto nakuanza safari ya kuondoka. Hawa watoto walikua wananipenda sana, wakiniona tu utaskia “Uncle Insider” where have you been?, sasa na mimi nilikuaga nawanunulia pipi, biscuits nawapa, walikua wananipenda sana.

Nilikua nawatoto wanne (4) ambao watatu walikua wakiume na mmoja wa kike. Kama kawaida niliwashusha wote akabaki mmoja ni wakike ambaye nilikua namshusha pale nyuma ya Budget kwa sikuzote.

Nikashuka kwenye gari nikagonga geti na akatoka dada mgeni ambaye nilikua namwona kwa mara ya kwanza.

Baada ya kufungua geti tukasalimiana pale,

DADA: “wewe ndo Insider?”

MIMI: “Ndo mimi kwema?”

“Dada Emmy huyu ndo Uncle Insider”

DADA: “Haya nenda ndani kabadilishe nguo nakuja. Kwema pole na kazi.”

MIMI: “Ahsante ndo nakuona leo wewe ndo dada na Caroline?” (Yule mtoto)

DADA: “Mimi ndo dada yake wa kwanza. Mama alikua anahitaji kuonana na wewe weekend, alinambia ukija nikwambie, pia alikua anahitaji namba yako ya simu.”

MIMI: “Yule dada anayefunguaga geti kila siku mbona anayo?”

DADA: “Yule kaondoka toka Jumapili, juzi na jana wewe hujaja, Carol alikuwa analetwa na mtu mwingine.”

MIMI: “Yeah sure, yule ni ndugu yangu hana shida. Gari yangu ilipata ajali ndomana sikuweza kuja.”

DADA: “Pole sana”

Nikampa namba yangu ya simu pale na sikujua Mama yake Carol alikua anataka kuongea nini. Na muda huo Iryn alikua akinipigia simu na palepale nikapokea,

MIMI: “Nambie Bossy wangu.”

IRYN: “Poa, upo wapi?”

MIMI: “Niko Bahari beach”

IRYN: “Nakusubiri uje tufanye ile kazi”

MIMI: “Soon nitakuwa hapo.”

IRYN: “Okay”

Muda huo ilikua saa 7 mchana hivyo niliamua kutoka pale na kwenda kwa Iryn. Nilitumia kama dk45 kufika pale, na yeye nilimkuta akiwa seblen na zile form akizipitia.

Nilikwenda jikoni kuangalia alichopika, nilikua na njaa sana na alikua kapika wali kwa kutumia rice cooker na mboga za majani na nyama. Nikapakua chakula nikaanza kula na muda huo alikua ananiangalia sana.

MIMI: “Vipi unanifananisha au?”

IRYN: “Unaonekana ulikua na njaa sana.”

MIMI: “Ndomana unaona nilipitiliza jikoni, kwa haya mapishi matamu unayopika unanishawishi nikuoe.”

IRYN: “Seriously? mapishi ndo yanakufanya unioe?”

MIMI: “Wewe unafikiri mimi naweza kumwoa Bossy wangu?”

IRYN: “Mapenzi ni upofu”

MIMI: “Yeah sure ila kuna vitu haviwezekani automatically.”

IRYN: “Impossible is Nothing, unaonekana hujiamini”

MIMI: “Umezipitia form zote tayari?”

IRYN: “Baadhi ndo nimezipitia hasa hizo za kampuni. Hizi zingine zinahitaji umakini nilikua nakusubiri wewe.”

MIMI: “Ngoja nimalizie kula, tuanze kazi.”

IRYN: “Hivi Insider una elimu gani?”

MIMI: “Bachelor ya Uchumi & Takwimu”

IRYN: “Nilihisi tu, maana kichwa chako kiko smart sana, watu wanaojua hesabu sikuzote utawajua tu.”

MIMI: “Hiki kichwa kina mambo mengi, hakina usmart wowote.”

IRYN: “No comment.”

Baada ya kumaliza kula tulianza kazi ya kuzipitia zile forms. Kwa ufupi, Mama yake alianza kazi na hii Organization “X” mwaka 1991 Ethiopia, mwaka 1992 ndo alihamishiwa Tanzania. Mwaka 2000 ndo alipewa parmanent contract na hii organization na alikua chini ya Idara ya Social protection.

Na kipindi hicho alikua analipwa mshahara wa $45,000 kwa mwaka. Lakini mshahara ulikua unapanda kila mwaka, ilivyofika mwaka 2012 ndo alipanda cheo na kuwa Coordinator wa Idara na mpaka anapatwa na umauti alikua analipwa $232,000 na point kadhaa kwa mwaka. Ukii Exchange hio amount na ukagawanya kwa 12 unapata mshahara wa si chini ya 45million kwa mwezi. Na pia nilishangaa wafanyakazi wa hii Organization hawalipi kodi wala hawana makato yoyote kwenye mishahara yao.

Nje na hapo nilikuja kujua mama yake alikua ni mtu mkubwa sana kwani kafanya na kuzisimamia project nyingi sana hapa Tanzania, East Africa na Africa kwa Ujumla, mpaka worldwide. Kufanya kazi na Organization kwa zaidi ya miaka 25 na kupewa Parmanent contract sio jambo rahisi kwa ile Organization.

Pia nikajua Mama yake alikua ni mwenyekiti wa hii Organization kwa upande wa Africa Mashariki kwenye mambo ya Social protection.

Tulipiga zile hesabu na mwisho wa siku tulipata kiasi ambacho kilikua sahihi kabisa na hesabu zao exactly. Nikajisemea ingekua Bongo ungekuta wahuni washapindisha hesabu muda mrefu sana.

Kwa zile hesabu niishie kusema Iryn alikuwa na uhakika wa kuingiziwa Pesa nyingi sana na yeye pekee ndo alitajwa kama mrithi wa kunufaika na mafao ya mama yake.

Mama yake pia alikua na mkopo Bank binafsi aliokuwa amekopa na ilionekana umebaki kama $191,000 kitu kama hicho ilikua around humo nakumbuka.

Tulimaliza lile zoezi na Iryn aliendelea kuzipitia zile documents za kampuni ambapo nilimwacha aendelee mimi kama dizaini zilikua hazinihusu.

Sikukaa sana pale nikamwaga mimi naondoka akanambia kesho saa4 asubuhi niwe pale ili twende kwa Mama Janeth, na mimi nikaondoka.

Niliwasha App nikaendelea na kazi yangu ya Uber kama kawaida. Sikupiga trip nyingi sana sababu ya muda na nilirudi home saa 1 usiku.

Na muda ule Muajemi alinipigia simu, nikapokea simu yake, (Maongezi yetu yalikua ni kwa kiingereza.)

MUAJEMI: “Bro mambo vipi.”

MIMI: “Salama Bossy wangu”

MUAJEMI: “Samahani sana ulinipigia simu asubuhi ila nilikua nimebanwa sana nikashindwa kukurudia ontime.”

MIMI: “Haina shida Bro!, nilitambua hilo”

MUAJEMI: “Nambie Bro!, sijui ulikua na habari gani.”

MIMI: “Jambo lako limekamilika Bro, ulinipa kazi nimeikamilisha.”

MUAJEMI: “Seriously?, Bro umenifurahisha sana kwa hizi habari.”

MIMI: “Nilikwambia siku ile mambo mazuri hayataki haraka, hutakiwi kuforce suala kama hili, acha aamue mwenyewe.”

MUAJEMI: “Kaka umetisha sana, nakupa respect kwa hili.”

MIMI: “Hata hivyo haikua kazi rahisi kaka, nimetumia mbinu nyingi sana mpaka kakubali yule mrembo.”

MUAJEMI: “Kaka nitakuongezea dau usijali, kwa hili umetisha sana.”

MIMI: “Sasa kesho ndo inatakiwa muonane Bro!, ikishindikana kesho kupata chance nyingine itakua ngumu sana, so do you have to do kesho muonane.”

MUAJEMI: “Bro kwa kesho timetable yangu iko vizuri tu kuanzia jioni, Bro siwezi fanya makosa yaani umehangaika kote umenipa assist then nishindwe kufunga goli?, siwez Bro! ninahamu sana na kesho ifike.”

MIMI: “Ok kesho asubuhi nitakupa timetable Bossy, ila naomba nikwambie jambo.”

MUAJEMI: “Jambo gani Bro.”

MIMI: “Iryn ni Mwanamke ambaye hana shida na Pesa, kama pesa anazo hivyo hakikisha unazungumza naye masuala ya Business, hakikisha unamfanya akuone wewe kama connection yake hasa huko dubai, ana mipango mingi sana ya biashara hakikisha unaifungua hii CODE ili akufungukie. Ukiweza ku-win hapa naamini yule Mrembo utampata.”

MUAJEMI : “ Kaka Ahsante sana kwa kunipa Mwanzo mzuri hilo kwangu ni suala dogo na nina kuhakikishia huyo mtoto nampata.”

MIMI: “Don’t force her, acha afanye maamuzi mwenyewe, kwa heri Bro! tutaonana kesho.”

MUAJEMI: “Ahsante kaka, nikimpata uyo mrembo utaishi maisha mazuri hapa mjini.”

MIMI: “Hayo ni wewe Kaka, kazi yangu nimemaliza uliyonipa sasa kazi imebaki kwako.”

Ilikua ni week kadhaa zimekata toka Muajemi anipe kazi, kwa upande mwingine niliwaza, Muajemi anatoa ahadi sababu anahitaji kumpata Iryn, hivyo amejua mimi ndo kama CODE ya kumpata. Ok nikasema sikuzote kwenye fursa ndo kuna fursa, cha muhimu nimepata kibunda changu hakuna shida, mimi najali Maokoto tu.

Nilimpigia simu Engineer Mollel wa Dodoma na tukaongea sana, tukakubaliana hii mipango ni bora kuipanga face to face. Na pia akanambia natakiwa kwenda Dodoma nikamwonyeshe kiwanja ili aweze kufanya estimation cost za ujenzi. Nikamwambia Jumapili nitakwenda kwaajili ya hilo swala, na akasema ramani tayari anayo akikiona kiwanja siku hiyohiyo atatoa hesabu.

***********

Alhamisi ilifika na baada ya kumalizana na kina Maggy, nilikwenda kwa Iryn na saa3 asubuhi nilikua pale kwake na nilimkuta alikua bado hajaamka. Nikampigia simu akaja fungua mlango,

MIMI: “Mpaka sasa hujaamka vipi unaumwa?

IRYN: “Insider jana nimechelewa kulala nilikua naangalia movie.”

Mimi nilikwenda jikoni kuandaa chai na yeye alikwenda kujiandaa, baada ya muda mfupi alitoka akiwa amevaa “skin jeans ya blue, kishati cha maroon na miwani, chini alivaa viatu skuna “muundo huu” na alikuwa kawaka sana.

IRYN: “Mbona unaniangalia hivyo?”

MIMI: “Kwamba umeanza kupoteza confidence kwangu?”

IRYN: “Insider mimi kama mwanamke pia na aibu, hayo macho yako yanafanya nikose kujiamini. Vipi nimezingua kuvaa hivi?”

MIMI: “Embu geuka nyuma nikuone, ewaaah umependeza sana kuliko siku zote.”

Ile skin ilikuwa imemkamata kisawasawa na ilikua imechora shepu yake.

Tulikunywa chai baada ya hapo tukaanza safari ya kwenda Masaki kwa Mama Janeth. Saa 4 asubuhi tulikua pale na tulikaribishwa ndani seblen. Mama Janeth alikua hajatoka muda huo alikua bado ndani, baada ya muda dada alileta korosho tukawa tunakula pale huku tukimsubiri Mama Janeth.

Baada ya dakika 10 mama Janeth alitoka akiwa ameshika funguo ya gari, akatusalimia.

MAMA JANETH: “Nafikiri tuanze Kigamboni afu tumalize na Masaki.”

IRYN: “Vyovyote tu sawa”

Na muda huo tulitoka nje Mama Janeth akasema tutumie gari yake “Audi Q7” na akanipa mimi funguo niendeshe, yeye alisema anataka atumie muda mwingi kuongea na Iryn.

Mimi nilipokea funguo japo sikuwai kuwa na historia ya kuendesha Audi nikasema leo niatendesha tu. Baada ya kuingia kwenye gari mama Janeth alikua bado kama anatoa maagizo kwa dada wa kazi, na muda huo nilitumia muda mchache sana kuisoma gari na nikawa nimeimasta.

Baada ya muda mfupi Iryn na Mama Janeth waliingia na wakakaa siti za nyuma ya gari, hao tukaondoka kuelekea Kigamboni.

Niseme tu Audi ni bonge la gari aisee, kuna gari unaendesha huku ukisikia raha kudrive, inakufanya usahau shida za dunia hii, gari inanukia vizuri afu inakiyoyozi flani hivi amazing. Hii Dunia kuna watu wanaishi asee na ile gari Mama Janeth aliinunua “0 km” yaani ni Brand new, afu ni new model.

Tulikwenda Kigamboni tukitumia Barabara ya Kilwa na tulipita pale darajani, muda huo Iryn na Mama Janeth waalikua busy sana wakiongea.

Tulikwenda mpaka Kigamboni kisiwani ambapo Mama Iryn alikua amejenga. Kwenye zile apartments kulikua na Mlinzi baada ya kumwona Mama Janeth alifungua geti na tukaingia ndani. Walizunguka kuzitazama zile apartments zote na kulikuwa na utulivu wa hali ya juu sana.

Zilikua ni Apartments tano (5) nzuri sana, apartments zenye vyumba vitatu zilikua 2 na apartment zenye vyumba viwili zilikua 3.

Kwa upande wa Iryn yeye ilikua ndio mara yake ya kwanza kufika kwenye hizi apartments. Na wakati wakiendelea na ukaguzi wao kuna sehem kulikua na garden mimi nikaenda kukaa pale, nikiwasubiri.

Baada ya kumaliza ukaguzi wa nyumba na kuzunguka kote mpaka nje, walikuja pale garden na mazungumzo yao yaliendelea.

IRYN: “Mama alianza kujenga lini hapa?”

MAMA JANETH: “Hizi apartments ujenzi ulianza 2019 na 2020 Februari watu walianza kuingia hapa.”

IRYN: “Baba alikua anajua kama mama anafanya hii Project?”

MAMA JANETH: “Hapana Baba yako hajui, Mama yako alifanya siri.”

IRYN: “Mama aliwezaje kuficha hili?”

MAMA JANETH: “Iryn unajua kuna mambo mengi yalikua yanatokea kati ya Mama na baba yako kipindi uko masomoni. Mama yako alihisi kuna mambo hayako sawa kwa upande wa Baba yako ndomana hakutaka kumshirikisha mambo yake.”

IRYN: “Bado una mawasiliano na Baba?”

MAMA JANETH: “Huwa tunawasiliana kwa nadra sana, tukifika home tutaongea vizuri mwanangu, tutakuwa na mazungumzo private”

Muda huu Mama Janeth aliniomba nikachukue bahasha kwenye gari ambayo ilikua ina mikataba ya wapangaji.

IRYN: “Hii ndo mikataba ya wapangaji.”

MAMA JANETH: “Hio ndo mikataba yao, na hizi apartments zote wanakaa foreigners.”

IRYN: “Ahsante Mama kwa yote.”

MAMA JANETH: “Iryn wewe ni kama bint yangu, Mama yako alikua ni more than friend, sometimes namkumbuka sana. Mimi na yeye tulikua na combination nzuri sana kazini na nyumbani.”

IRYN: “Mwanao Janeth anamaliza lini chuo.”

MAMA JANETH: “Janeth ndo kwanza yuko mwaka wa 1, yuko Scotland kwa sasa, nitampa namba yako akutafute uwe unampa ushauri kama dada yake.”

IRYN: “Kipindi kile alikua mdogo sana”

MAMA JANETH: “Na picha nyingi mlizopiga pamoja, utanikumbusha nikupe.”

Tulitumia kama masaa 3 pale na tuliondoka kurudi Masaki, tulipitia pale Ferry na Mama Janeth alinunua Samaki wabichi.

Tulipitia pale Dar Free market na tuliingia kwenye mgawaha kwaajili ya kupata lunch. Tulitoka pale na tulielekea nyumba ya pili, hii nyumba ilikua kama unatokea na “Samaki Samaki” kwenda “Village Market” kwa mbele kidogo kuna njiapanda, na ukifika pale njiapanda kuna baraba inakwenda kushoto na kulia. Barabara ya kushoto ndo inakwenda UN, na ya kulia unaweza itumia kwenda Coco Beach, ukishaingia hiyo ya kulia kwa mbele kidogo kulikua na hio nyumba.

Tulifika pale getini tukapiga honi na mlinzi alivyoiona gari akafungua tukaingia ndani.
Ulikua ni bonge la Mjengo wa ghorofa 1, nyumba ilikua ni nzuri sana kuanzia nje kwenye fensi mpaka ndani.

Iryn mwenyewe alishangaa sana, ni kama hakuwa akiamini mama yake ndo alikua akifanya yale maajabu.

Na muda huo walikuwa wakiongea na Mama Janeth;

IRYN: “Mama aliwezaje kufanya haya mambo bila mimi kujua?”

MAMA JANETH: “Iryn mwanangu Mama yako alikuacha usome kwanza hata kusomea Business Administration ilikua ni mpango wa mama. Mimi na mama yako tulikua na mipango mingi sana kwenye biashara nafikiri tutashare.”

IRYN: “Najiuliza Mama aliwezaje kumiliki nyumba nzuri kama hii na tena Masaki, bhasi kukaa kwangu mbali na Mama mambo mengi yalikua yakinipita.”

MAMA JANETH: “Kwamba unashangaa mama yako aliwezaje?, Mama yako nje na kazi alikua ni mtu mwenye deals nyingi sana, pia amewasaidia watu wengi hasa hizi NGO’s ambao walikua wanamlipa. Iryn mama yako alikua ni mtu mkubwa sana kwa upande wa Organization na alikua na connections worldwide.”

Iryn alijikuta akianza kulia pale ni kama Mama Janeth alimfanya amkumbuke Mama yake, maana hakuamini mama yake angefanya mambo yote kwaajili yake. Na Mama Janeth alikwenda akamkumbatia, wakaendelea kutembea.

Hatukukaa sana hapa na tuliondoka kurudi kwa Mama Janeth, na wakati tuko njian Mama Janeth alikua akimwambia Iryn kwamba nyumba zote kuna kampuni huwa anazitumia katika upangishaji. Na walikua wanaongea masuala mengine ambayo sikua nikiyafuatilia maana nilikua naona hayanihusu japo wanavyozungumza nilikua navisikia.

Baada ya kufika kwa Mama Janeth tuliingia ndani seblen na wao walitoka kwenda kibarazani, walikua na mazungumzo private. Dada aliniletea juice kwenye glass na korosho wakati mimi niko pale seblen.

Na muda huo tuliorudi kulikuwa na watoto wawili ambao ni watoto wake na alimtambulisha Iryn kama wadogo zake. Mtoto wa kwanza kwa kum kadiria umri wake ni kama miaka 12 na mtoto wa pili umri wake ni kama 6. Mkubwa alikua wa kike na mdogo alikua wa kiume.

Wakati niko pale sebelen Muajemi alipiga simu kuulizia tuko wapi na tunameet wapi, nikamwambia tuko Masaki ila Iryn bado hajamaliza mambo yake. Akanambia yeye yuko Msasani na yuko ready, tukikaribia kumaliza mambo yetu nimpe taarifa ili aanze kusogea.

Nikamwambia ndani ya muda mfupi nitakua nimeshampa tayari location, na pia nilimwambia akimalizana na Iryn aondoke mambo mengine tutawasiliana. Niliamua kufanya hivo ili Iryn asijue kuna something fishy kinaendelea kati ya mimi na Muajemi.

Mazungumzo yao yalikua marefu sana na yalichukua karibu saa zima, sikujua wanazungumza nini ila ili onekana ni kama suala la Baba yake.

Baada ya kumaliza mazungumzo yao walirudi seblen na muda huo walikua wakipanga mipango ya kuindeleza saloon hasa kwenye upande wa kutoa huduma. Iryn alikua akimwambia Mama Janeth kuna haja ya kuanzisha huduma za Massage pale, kwani watapata wateja wengi sana, na mama Janeth alilifurahia wazo hilo.

Mama Janeth alitoka pale seblen na nikachukua nafasi hio kumuuliza Iryn tunameet wapi na Muajemi na yeye akasema isiwe nje na Masaki.

Nikamtext Muajemi kupitia Whatsapp na nikamwambia asogee mpaka Masaki ndo watakutana huku. Kuhusu location nilimwambia yeye aseme wapi tutamkuta na sisi tutakwenda.

Baada ya dakika 20 muajemi akanitext;

MUAJEMI: “Bro niko Orchid cafe hapa nawasubiri.”

MIMI: “Nasisi soon tutakuwa hapo Bossy.”

MUAJEMI: “No problem.”

Saa 12 jioni ndo tulitoka pale kwa Mama Janeth baada ya mazungumzo yao kukamilika. Na wakati tumeingia kwenye gari ili tuondoke Mama Janeth alikuja na picha zilikua kwenye bahasha akampa Iryn.

IRYN: “Yuko wapi huyu mtu?”

MIMI: “Anasema yuko Orchid cafe.”

IRYN: “Ok twende ili tuwai kurudi maana leo nimechoka sana.”

MIMI: “Utabidi unifundishe ili niwe nakufanyia massage kama ukichoka kama hivi.”

IRYN: “Hahahaa Insider leo umenifurahisha sana.”

MIMI: “Au ndo mganga hajigangi?, unafanyia watu massage how about you? Au you don’t like?”

IRYN: “Nafanyaga lakini marachache ila nikienda nje na sio hapa bongo.”

MIMI: “Wewe ni expensive, hata hivyo kwa huo uzuri wako na hiyo ngozi yako laini bongo hakukufai, hawachelewi kukuweka ngeu.”

IRYN: “Insider umeanza mambo yako.”

MIMI: “Hivi kwanini hupendagi nikikusifia?, bhasi nitaacha kukusifia.”

IRYN: “Sijasema sipendi sometimes unanipa sifa ambazo sina ujue.”

MIMI: “Embu niambie ni sifa gani nimekupa afu hauna.?”

Iryn aliishia kunyamaza kimya ni kama vile alikosa cha kujibu na akaishia kunisonya kichwani kwa mkono. Na muda huo tulikua tumefika pale Orchid cafe, tulitumia kama dakika 5 hivi kufika pale.

******

Saa 12 jioni ndo muda ambao tulionana na Muajemi kama tulivyokubaliana tuonane pale, zilikua tayari kama dakika 30 zimepita toka Muajemi awasili eneo hili.

Wakati tunashuka pale Parking na kuingia mle ndani cafe, Iryn alikua akipigwa sana macho asee.

Unajua Warembo kama hawa kwa Tanzania hawaonekaniki mara kwa mara ni adimu sana, so wanavyo onekana machoni pa watu wanakuwa kama vivutio.

Tuliingia moja kwa moja na Muajemi alikua amekaa mwishoni kabisa, na mbele yake alikua na kikombe cha kahawa.

Tulifika mpaka pale tukasalimiana na muda ule dada alikua amekuja kutusikiliza tayari. Mimi niliagiza kahawa pale, nikawaacha pale nikawaambia natoka nje kuongea na simu.

Hii ni mbinu ya kibaharia, nilitaka kumwachia uwanja Muajemi awe huru kucheza mpira, dizaini kama Muajemi nayeye alikua kausoma mchezo. Nilitoka nje nikazuga zuga pale ndani ya dakika 10 nikarudi ndani.

Na mimi nilikwenda upande mwingine kabisa nikawaacha wakiongea, na ndani ya dakika mfupi dada alikua kaniletea kahawa.

Ndani ya dakika 10 dada alikuja tena akanambia Bossy pale amesema uagize chochote unachotaka, nikasema acha niagize chakula tu ili niendelee kumpa nafasi ya kuongea na Iryn. Na palepale nikacheki “Menu”nikaagiza beef na chips, maana nilikua sioni cha kuagiza pale, Menu ina majina ya ajabu.

Ndani ya dakika 10 nililetewa msosi wangu na nikaanza kula taratibu. Muda huo nilikua napiga macho ya kiwizi kuona kinachoendelea, na walionekana busy sana wakiongea na sometimes walikua wakicheka,

Nilimwona Muajemi akimwita dada na akampa funguo ya gari na alikua kama anampa maelekezo, baada ya dakika chache dada alikua karudi na kimfuko cheupe.

Tulikaa pale Orchid kwa saa 1 na baada ya hapo walinipa ishara tuondoke na wenyewe walikua wametangulia kwa mbele, na nilimwona Iryn akiwa ameshika kile kimfuko. Muajemi alituaga na akapanda kwenye gari yake Land Cruiser VXR akaondoka.

Mimi na Iryn tuliondoka lakini wakati tuko njiani Iryn akanambia twende “Pizza Hut” Mikocheni ana hamu ya kula Pizza.

Tuliwasili pale Mikocheni Plaza na tukatulia pale kwa nje ni kama dining tuseme, ni sehemu ambayo watu waki order wanapenda kukaa, hii sehem imetizamana na Parking.

Tulikaa pale mwishoni kabisa kwenye ki-ukuta na tulikuwa tunapiga story huku tunacheka.

MIMI: “Muajemi anasemaje?”

IRYN: “Anaonekana ana connection nyingi kwa Dubai, kuna kazi nimempa anisaidie kununua mashine za saloon, hapo ndo nitajua kama kweli ana connection au laah!”

MIMI: “Wewe unaona ni muongo?”

IRYN: “Anaonekana ni mtu mzuri ila usimwamini mtu usiyemjua Insider, kuwa makini.”

MIMI: “Sure, ila wewe moyo wako unasemaje?”

IRYN: “Naona ni mtu mzuri.”

MIMI: “Hiyo Pizza utakula mwenyewe mimi nimekula kule Orchid nimeshiba hapa.”

IRYN: “No utakula hata vipande 2 yaani mimi nile wewe uwe unanitizama?

MIMI: “Afu pia sipendagi haya mapizza kabisa na aleji nayo.”

IRYN: “Mnasemaga mwanaume rijali hatumii, Pizza, burger, na chips, na wewe upo hilo kundi?”

MIMI: “Obviously, mwanaume anatakiwa ale Donna ili awe na nguvu, haya si yanafanya uwe laini laini, hata show sidhani kama utaweza vumilia mikiki.”

IRYN: “Hahahaa jamani, Insider wewe unaonekana ni muhuni sana.”

MIMI: “Ningekua mhuni ile siku ningekua nimekufakamia.”

IRYN: “Aya bhana umeshinda”

MIMI: “Iryn mimi najitambua sana na pia najiheshimu.”

Na muda huu Mary alikua anapiga simu Nikapokea:

MARY : “Insider mambo”

MIMI: “Freshy mzima?”

MARY: “Niko poa, uko wapi?”

MIMI: “Niko Mikocheni, nambie.”

MARY: “Niko hapa stationery ulikonileta juzi, nasubir kazi,nafikiri ntachelewa sana kurudi home, njoo nipe kampani bhasi.”

MIMI: “Pole kwani walikua hawajamaliza?”

MARY: “Bado yaani, na kesho natakiwa kusubmit”

MIMI: “Sawa kama nitawai kurudi nitapitia hapo.”

MARY: “Okay, see you soon.” Na akakata simu

Muda huu Iryn alikua ananiangalia afu akatikisa kichwa kama mtu anayesikitika.

IRYN: “Insider appointment zako ni za usiku tu.”

MARY: “Kwani kuna shida?”

IRYN: “Nope ila sio vizuri

MIM: “Unajua mimi ni Uber hivyo nawateja wengi, sometimes huwa naamka hata usiku wa manane, unakuta mteja anakwenda Airport inabdi umpeleke tu, kama wewe ulivyotokea kupenda kufanya kazi na mimi hata wengine vivyo hivyo wanatamani kufanya kazi na mimi.”

IRYN: “Pole sana, hard work always pay off”

MIMI: “Ndo hivyo.”

Alimaliza kula na nikamrudisha kwake na muda huo ilikua kama saa 3 usiku kasoro. Nilipark gari nje ya fense na tuliingia ndani, na mkononi alikua ameshika kile kimfuko alichopewa na Muajemi pamoja na bahasha aliyopewa na Mama Janeth.

Alikaa kwenye kochi na aliingiza mkono kwenye ule mfuko na akatoa bahasha ya blue, akaifungua ile bahasha ya blue na ndani tena kulikua na box tatu (3) tofauti. Box moja lilikua kubwa limefungwa na bahasha ya purple na vibox vidogo viwili vilikua vimefungwa kwa rangi ya pink na orange.

Muda huu mimi macho yangu yote yalikua yamelenga kwenye zile Box nijue Muajemi kaweka nini mle ndani?, japo zilikua hazinihusu ila nilitamani sana kujua ndani kuna nini.

TO BE CONTINUED.

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Nakubar
 
Sasa how come mtu asafiri na zaidi ya Millioni 400 kuingia Tanzania while kiwango ni 24M zaidi ya hapo utaonekana ni mtakatishaji fedha?? If ni special case let say alitoa taarifa kwa mamlaka husika bado unaweza sahau kiwango kama hicho kwenye uber?? Anyways i was thinking out the box
Soma kujiburudisha, elimu ilikua vipande vilivyopita mkuu, huku mbele ni mizagamuo na chai za hapa na pale.

Kama hukuwepo wakati jamaa anatema hints za janjajanja za uber basi nakushauri anza mwanzo.
 
23:08
 

Attachments

  • 20231103_224344.jpg
    20231103_224344.jpg
    208.1 KB · Views: 18
EPISODE 16

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”


Wakati nikiongea na Iryn kwa upande mwingine Mary naye alikua anapiga simu, nilitumia kama dakika 30 kumaliza mazungumzo na Iryn. Baada ya kumaliza mazungumzo naye, ikabidi nimpigie simu Mary Asap,

MARY : “Insider unaongea na nani usiku huu?”

MIMI : “Mama yangu”

MARY: “At this time of night?”

MIMI: “Ndio, kwani kuna time limit ya kuongea na mzazi?

MARY: “Siamini”

MIMI: “Niambie ulifanikisha?”

MARY: “Yeah, thank you. Insider can I ask you?”

MIMI: “Nakusikiliza Mary”

MARY: “What’s really going on between you and Prisca?”

MIMI: “Nothing, why are you asking me?”

MARY: “Naona ukaribu wenu unazidi kukua day after day.”

MIMI: “Mary bhana sasa si nilikuja kumwona Prisca alinambia anaumwa, ujue nyinyi ni Familia tayari afu nawachukulia kama washikaji zangu.”

MARY: “Insider Prisca kaondoka Ijumaa na hakurudi, amerudi jumamosi jioni anaumwa, kuna dalili zinaonesha mlikua pamoja.”

MIMI: “Mary unajua sikuelewi unachoongea, mimi nilikua na Prisca kivipi.”

MARY: “Prisca ni mdogo wangu na nina mjua vizuri sana, mimi na yeye tunashare mambo mengi sana ila kuhusu wewe amekua mgumu sana kushare na sio kawaida yake.”

MIMI: “Kama mnashare mambo mengi na mpaka sasa hajasema kitu, si manake mimi na yeye hakuna kinachoendelea.”

MARY : “Insider Prisca kaondoka Ijumaa na wewe ndo ulokuja mfata, baadae ananitumia message kwamba hatorudi home atalala hostel, Prisca halalagi Hostel weekend, na yule jamaa yake wameshaachana muda. Prisca Ijumaa alikua na wewe, maana nikijaribu kuunganisha hizi doti wewe ndo mwanaume kwa sasa ambaye unamchanganya Prisca.”

MIMI: “Mary mimi naona kama unajaribu kufanya guessing, na una uhakika gani kwamba Prisca wameachana na jamaa yake?”

MARY: “Prisca kaachana na jamaa yake kwasababu yako labda tu nikwambie hivo, she’s in love with you. Natoka Prisca arudi jumamosi usiku, amekua mtu wa kulalamika sana kuhusu wewe, you guys mlikua na usiku mzuri sana Ijumaa.”

MIMI: “Mary mimi nafikiri muulize Prisca vizuri alikua na nani maana mimi Ijumaa nimeshinda kwa Mamdogo wangu alikua anaumwa.”

MARY: “You guys mpo kwenye Mahusiano but you’re trying to sneak around”

MIMI: “Mary kama mimi natoka na Prisca hata nisingekuficha, kwanza ningependa kuwa na shemeji mzuri kama wewe.”

MARY: “Mmh mmmh sawa, unafanya nini?”

MIMI: “Naongea na mrembo Mary”

MARY: “Hahahaa Insider bhana”

MIMI: “Leo nitalala vizuri maana sauti yako ni nzuri sana.”

MARY: “Wanaume mnasifiaga hata kama kitu kibaya”

MIMI: “So you don’t trust me?”

MARY: “Alright nashukuru kama kweli”

MIMI: “Bye mimi nalala uwe na usiku mwema.”

MARY: “And you too.”

Muda ule nilikaa nikawaza kama Mary ameshajua mimi nimemla Prisca, amejuaje?, nikajiuliza au Aliona chats zetu na Prisca?. Lakini pia nikawaza Mary ni kama anatafuta ukweli kuhusu kinachoendelea mimi na Prisca. Mary pia alinekana ni kama mtu ambaye alipatwa na kawivu hivi.

Usiku huu pia nilichat sana na Prisca kupitia whatsapp na akawa ananitumia Picha zake alizopiga recently, nikawa namsifia sifia pale na nikalala zangu.

Nilichokifanya kwa sasa kwenye upande wa whatsapp nilifanya setting ambapo hata nikidownload picha inabaki mlemle kwenye whatsapp haijisave kwenye “camera roll”. Na pia nilikua nafuta chats palepale, nilijifunza kutokana na makosa.

*********

Asubuhi nilikua naamka 06:00 mapema kila siku, hii ndo ilikua time table yangu,nilikua naset na alarm kabisa. Na nilikua natumia dk15 kujiandaa na kutoka pale home na mara nyingi 06:30 ilikua inanikutia kwa Mama wa2. Nilikua namchukua Mama wa2 na mwanae then nitamdrop mwanae pale Mikocheni shule, then nitamchukua Maggy na kuwapeleka Posta.

Hizi ndo zilikua ratiba zangu za kila siku na hawa watu nilikua nimeingia nao mikataba hivyo nilikua sifanyi makosa.

Hii siku ilikua ni jumatano na niliamka mapema sana na nikaenda kumchukua mtoto wa mama 2 na baada ya kumuacha pale shuleni, nikaelekea kumchukua Maggy. Nilimpigia simu Maggy akanambia leo atachelewa kidogo, sababu nilikua sina jinsi ikabidi niende kwake kumsubiri.

Nilifika pale kwenye apartment anayoishi na muda huo Maggy alitoka kunifungulia geti, alionekana ni mtu ambaye ametoka kuamka muda huo.

MAGGY: “Insider samahani sana, jana nimetoka usiku sana ofisini, leo nitachelewa kuingia ofisni mpaka saa 3”

MIMI: “Sawa haina shida, acha nikusubirie tu.”

Mimi sikuwa na tatizo na akaomba nikamsubilie seblen kwake.

MIMI: “So hapa unaishi peke yako?”

MAGGY: “Ndio nitaishi na nani sasa?”

MIMI: “Hata na shemeji sio mbaya.”

MIMI: “Hahahaa Insider bhana, acha nikuandalie chai then tuondoke.”

MIMI: “Mimi sioni sababu ya kunywa chai asubuhi yote hii, wewe nenda kalale mimi nitakusubir hapa.”

MAGGY: “Nimeshamka hapa unafikir na usingizi tena?, ngoja nikukaangie hata mayai bhasi haitakua busara nikuweke bila kitu.”

Muda huo Maggy alikwenda jikoni na mimi nilikua niko seblen nimekaa. Na ndani ya muda mfupi alirudi na mayai ya kukaanga kwenye sahani na maziwa kwenye kikombe, akanipa na yeye akasema anakwenda kuoga.

“Maggy ni mwanamke ambaye tuseme ni wa kawaida yaani ana sura ya kawaida ila ana mahips , tuseme anafaa kuliwa vizuri kabisa.”

Na muda ule wakati Maggy akijiandaa nilimpigia simu Muajemi lakini hakuweza kupokea simu yangu, nikarudia tena ila hakuupokea. Nilitaka kumpa Muajemi taarifa mapema za kujiandaa na date.

Maggy alitoka akiwa amevaa surual ya kitambaa nyeusi na shati nyeupe alionekana kupendeza sana, na ilimchora Mahips yake, na mimi bila ya uchoyo nikampa sifa zake.

Mara nyingi tukiwa na Maggy story zetu nyingi sana zinakuwaga za maisha, Maggy ni aina ya wale wanawake ambao hawana mambo mengi na wako busy na mambo yao.

Nilimdrop pale ofisini kwake na muda huo ilikua saa4 asubuhi, nikatoka hapo nikaenda kupark gari pale pa sikuzote na nikawa nimeset destination ya kwenda Masaki.

Sasa nikiwa pale kijiweni tukiendelea na story na madereva wa Uber, story kubwa ilikua ni kuhusu Uber kutaka kufunga ofisi zao Tanzania. Sasa hapa kuliwa na pande mbili ambazo wanaunga hoja na wasio unga hoja.

“Uber wanaringa sana wanafikiri hata wakiondoka sisi tutalala njaa??, kamisheni yenyewe wanakata 25% hakuna tunachopata sisi.”

“Bolt ipo kwanza na wako tayari kupunguza kamisheni zao, Uber tumeichoka sisi kwanza Bolt ndo inawateja wengi kwa sasa.”

“Wewe fala unasema nini? Mimi nikipiga trip zangu ndefu 5 za Uber na pesa ya kutosha, huyo Bolt anawateja sababu anashusha sana nauli na tunaoumia ni sisi Madereva.”

“Sasa kwa taarifa yako nakwambia Uber wakifunga ofisi utaona jinsi Bolt watakavyoanza kuzingua, kwanza hawatujali Madereva kabisa.”

“Uber mimi imenipa connection sana asee naiheshimu, wateja wa Bolt ni maskini wanalia njaa sana.”

Yalikua ni mabishano ya madereva wa Uber na mimi nilikua nikichangia mada lakini nilikua upande wa Uber. Baada ya lisaa nilipata request ya mteja na alikua anakwenda pale Coco plaza.

Mteja alikua pale Exim Bank HQ, nikamchukua na tukaelekea Masaki na nikamdrop pale Coco plaza, mara nyingi sana wateja wa Bank huwa wanatumia card kwenye malipo.

Na mimi chap nilitoka nakwenda kuwachukua madogo ili niwapeleke majumbani kwao, ilikua ni kazi flani ya kitumwa lakini ndo mkono ulikua unakwenda kinywani kupitia hii kazi.

Wakati niko njiani Mzee wangu alinipigia simu kupitia Whatsapp call na akaniambia ananitumia namba za rafiki yake wa Dodoma ili tuwasiliane. Mzee akanambia ni rafiki yake sana hana shida na atanisaidia kwa kila hatua, na akanitoa wasiwasi. Baada ya mazungumzo na muda huohuo alikua kanitumia contact ikiwa inasomeka “Engineer Mollel”.

Na muda huo nilikua niko shuleni pale nimefika na nikawachukua watoto nakuanza safari ya kuondoka. Hawa watoto walikua wananipenda sana, wakiniona tu utaskia “Uncle Insider” where have you been?, sasa na mimi nilikuaga nawanunulia pipi, biscuits nawapa, walikua wananipenda sana.

Nilikua nawatoto wanne (4) ambao watatu walikua wakiume na mmoja wa kike. Kama kawaida niliwashusha wote akabaki mmoja ni wakike ambaye nilikua namshusha pale nyuma ya Budget kwa sikuzote.

Nikashuka kwenye gari nikagonga geti na akatoka dada mgeni ambaye nilikua namwona kwa mara ya kwanza.

Baada ya kufungua geti tukasalimiana pale,

DADA: “wewe ndo Insider?”

MIMI: “Ndo mimi kwema?”

“Dada Emmy huyu ndo Uncle Insider”

DADA: “Haya nenda ndani kabadilishe nguo nakuja. Kwema pole na kazi.”

MIMI: “Ahsante ndo nakuona leo wewe ndo dada na Caroline?” (Yule mtoto)

DADA: “Mimi ndo dada yake wa kwanza. Mama alikua anahitaji kuonana na wewe weekend, alinambia ukija nikwambie, pia alikua anahitaji namba yako ya simu.”

MIMI: “Yule dada anayefunguaga geti kila siku mbona anayo?”

DADA: “Yule kaondoka toka Jumapili, juzi na jana wewe hujaja, Carol alikuwa analetwa na mtu mwingine.”

MIMI: “Yeah sure, yule ni ndugu yangu hana shida. Gari yangu ilipata ajali ndomana sikuweza kuja.”

DADA: “Pole sana”

Nikampa namba yangu ya simu pale na sikujua Mama yake Carol alikua anataka kuongea nini. Na muda huo Iryn alikua akinipigia simu na palepale nikapokea,

MIMI: “Nambie Bossy wangu.”

IRYN: “Poa, upo wapi?”

MIMI: “Niko Bahari beach”

IRYN: “Nakusubiri uje tufanye ile kazi”

MIMI: “Soon nitakuwa hapo.”

IRYN: “Okay”

Muda huo ilikua saa 7 mchana hivyo niliamua kutoka pale na kwenda kwa Iryn. Nilitumia kama dk45 kufika pale, na yeye nilimkuta akiwa seblen na zile form akizipitia.

Nilikwenda jikoni kuangalia alichopika, nilikua na njaa sana na alikua kapika wali kwa kutumia rice cooker na mboga za majani na nyama. Nikapakua chakula nikaanza kula na muda huo alikua ananiangalia sana.

MIMI: “Vipi unanifananisha au?”

IRYN: “Unaonekana ulikua na njaa sana.”

MIMI: “Ndomana unaona nilipitiliza jikoni, kwa haya mapishi matamu unayopika unanishawishi nikuoe.”

IRYN: “Seriously? mapishi ndo yanakufanya unioe?”

MIMI: “Wewe unafikiri mimi naweza kumwoa Bossy wangu?”

IRYN: “Mapenzi ni upofu”

MIMI: “Yeah sure ila kuna vitu haviwezekani automatically.”

IRYN: “Impossible is Nothing, unaonekana hujiamini”

MIMI: “Umezipitia form zote tayari?”

IRYN: “Baadhi ndo nimezipitia hasa hizo za kampuni. Hizi zingine zinahitaji umakini nilikua nakusubiri wewe.”

MIMI: “Ngoja nimalizie kula, tuanze kazi.”

IRYN: “Hivi Insider una elimu gani?”

MIMI: “Bachelor ya Uchumi & Takwimu”

IRYN: “Nilihisi tu, maana kichwa chako kiko smart sana, watu wanaojua hesabu sikuzote utawajua tu.”

MIMI: “Hiki kichwa kina mambo mengi, hakina usmart wowote.”

IRYN: “No comment.”

Baada ya kumaliza kula tulianza kazi ya kuzipitia zile forms. Kwa ufupi, Mama yake alianza kazi na hii Organization “X” mwaka 1991 Ethiopia, mwaka 1992 ndo alihamishiwa Tanzania. Mwaka 2000 ndo alipewa parmanent contract na hii organization na alikua chini ya Idara ya Social protection.

Na kipindi hicho alikua analipwa mshahara wa $45,000 kwa mwaka. Lakini mshahara ulikua unapanda kila mwaka, ilivyofika mwaka 2012 ndo alipanda cheo na kuwa Coordinator wa Idara na mpaka anapatwa na umauti alikua analipwa $232,000 na point kadhaa kwa mwaka. Ukii Exchange hio amount na ukagawanya kwa 12 unapata mshahara wa si chini ya 45million kwa mwezi. Na pia nilishangaa wafanyakazi wa hii Organization hawalipi kodi wala hawana makato yoyote kwenye mishahara yao.

Nje na hapo nilikuja kujua mama yake alikua ni mtu mkubwa sana kwani kafanya na kuzisimamia project nyingi sana hapa Tanzania, East Africa na Africa kwa Ujumla, mpaka worldwide. Kufanya kazi na Organization kwa zaidi ya miaka 25 na kupewa Parmanent contract sio jambo rahisi kwa ile Organization.

Pia nikajua Mama yake alikua ni mwenyekiti wa hii Organization kwa upande wa Africa Mashariki kwenye mambo ya Social protection.

Tulipiga zile hesabu na mwisho wa siku tulipata kiasi ambacho kilikua sahihi kabisa na hesabu zao exactly. Nikajisemea ingekua Bongo ungekuta wahuni washapindisha hesabu muda mrefu sana.

Kwa zile hesabu niishie kusema Iryn alikuwa na uhakika wa kuingiziwa Pesa nyingi sana na yeye pekee ndo alitajwa kama mrithi wa kunufaika na mafao ya mama yake.

Mama yake pia alikua na mkopo Bank binafsi aliokuwa amekopa na ilionekana umebaki kama $191,000 kitu kama hicho ilikua around humo nakumbuka.

Tulimaliza lile zoezi na Iryn aliendelea kuzipitia zile documents za kampuni ambapo nilimwacha aendelee mimi kama dizaini zilikua hazinihusu.

Sikukaa sana pale nikamwaga mimi naondoka akanambia kesho saa4 asubuhi niwe pale ili twende kwa Mama Janeth, na mimi nikaondoka.

Niliwasha App nikaendelea na kazi yangu ya Uber kama kawaida. Sikupiga trip nyingi sana sababu ya muda na nilirudi home saa 1 usiku.

Na muda ule Muajemi alinipigia simu, nikapokea simu yake, (Maongezi yetu yalikua ni kwa kiingereza.)

MUAJEMI: “Bro mambo vipi.”

MIMI: “Salama Bossy wangu”

MUAJEMI: “Samahani sana ulinipigia simu asubuhi ila nilikua nimebanwa sana nikashindwa kukurudia ontime.”

MIMI: “Haina shida Bro!, nilitambua hilo”

MUAJEMI: “Nambie Bro!, sijui ulikua na habari gani.”

MIMI: “Jambo lako limekamilika Bro, ulinipa kazi nimeikamilisha.”

MUAJEMI: “Seriously?, Bro umenifurahisha sana kwa hizi habari.”

MIMI: “Nilikwambia siku ile mambo mazuri hayataki haraka, hutakiwi kuforce suala kama hili, acha aamue mwenyewe.”

MUAJEMI: “Kaka umetisha sana, nakupa respect kwa hili.”

MIMI: “Hata hivyo haikua kazi rahisi kaka, nimetumia mbinu nyingi sana mpaka kakubali yule mrembo.”

MUAJEMI: “Kaka nitakuongezea dau usijali, kwa hili umetisha sana.”

MIMI: “Sasa kesho ndo inatakiwa muonane Bro!, ikishindikana kesho kupata chance nyingine itakua ngumu sana, so do you have to do kesho muonane.”

MUAJEMI: “Bro kwa kesho timetable yangu iko vizuri tu kuanzia jioni, Bro siwezi fanya makosa yaani umehangaika kote umenipa assist then nishindwe kufunga goli?, siwez Bro! ninahamu sana na kesho ifike.”

MIMI: “Ok kesho asubuhi nitakupa timetable Bossy, ila naomba nikwambie jambo.”

MUAJEMI: “Jambo gani Bro.”

MIMI: “Iryn ni Mwanamke ambaye hana shida na Pesa, kama pesa anazo hivyo hakikisha unazungumza naye masuala ya Business, hakikisha unamfanya akuone wewe kama connection yake hasa huko dubai, ana mipango mingi sana ya biashara hakikisha unaifungua hii CODE ili akufungukie. Ukiweza ku-win hapa naamini yule Mrembo utampata.”

MUAJEMI : “ Kaka Ahsante sana kwa kunipa Mwanzo mzuri hilo kwangu ni suala dogo na nina kuhakikishia huyo mtoto nampata.”

MIMI: “Don’t force her, acha afanye maamuzi mwenyewe, kwa heri Bro! tutaonana kesho.”

MUAJEMI: “Ahsante kaka, nikimpata uyo mrembo utaishi maisha mazuri hapa mjini.”

MIMI: “Hayo ni wewe Kaka, kazi yangu nimemaliza uliyonipa sasa kazi imebaki kwako.”

Ilikua ni week kadhaa zimekata toka Muajemi anipe kazi, kwa upande mwingine niliwaza, Muajemi anatoa ahadi sababu anahitaji kumpata Iryn, hivyo amejua mimi ndo kama CODE ya kumpata. Ok nikasema sikuzote kwenye fursa ndo kuna fursa, cha muhimu nimepata kibunda changu hakuna shida, mimi najali Maokoto tu.

Nilimpigia simu Engineer Mollel wa Dodoma na tukaongea sana, tukakubaliana hii mipango ni bora kuipanga face to face. Na pia akanambia natakiwa kwenda Dodoma nikamwonyeshe kiwanja ili aweze kufanya estimation cost za ujenzi. Nikamwambia Jumapili nitakwenda kwaajili ya hilo swala, na akasema ramani tayari anayo akikiona kiwanja siku hiyohiyo atatoa hesabu.

***********

Alhamisi ilifika na baada ya kumalizana na kina Maggy, nilikwenda kwa Iryn na saa3 asubuhi nilikua pale kwake na nilimkuta alikua bado hajaamka. Nikampigia simu akaja fungua mlango,

MIMI: “Mpaka sasa hujaamka vipi unaumwa?

IRYN: “Insider jana nimechelewa kulala nilikua naangalia movie.”

Mimi nilikwenda jikoni kuandaa chai na yeye alikwenda kujiandaa, baada ya muda mfupi alitoka akiwa amevaa “skin jeans ya blue, kishati cha maroon na miwani, chini alivaa viatu skuna “muundo huu” na alikuwa kawaka sana.

IRYN: “Mbona unaniangalia hivyo?”

MIMI: “Kwamba umeanza kupoteza confidence kwangu?”

IRYN: “Insider mimi kama mwanamke pia na aibu, hayo macho yako yanafanya nikose kujiamini. Vipi nimezingua kuvaa hivi?”

MIMI: “Embu geuka nyuma nikuone, ewaaah umependeza sana kuliko siku zote.”

Ile skin ilikuwa imemkamata kisawasawa na ilikua imechora shepu yake.

Tulikunywa chai baada ya hapo tukaanza safari ya kwenda Masaki kwa Mama Janeth. Saa 4 asubuhi tulikua pale na tulikaribishwa ndani seblen. Mama Janeth alikua hajatoka muda huo alikua bado ndani, baada ya muda dada alileta korosho tukawa tunakula pale huku tukimsubiri Mama Janeth.

Baada ya dakika 10 mama Janeth alitoka akiwa ameshika funguo ya gari, akatusalimia.

MAMA JANETH: “Nafikiri tuanze Kigamboni afu tumalize na Masaki.”

IRYN: “Vyovyote tu sawa”

Na muda huo tulitoka nje Mama Janeth akasema tutumie gari yake “Audi Q7” na akanipa mimi funguo niendeshe, yeye alisema anataka atumie muda mwingi kuongea na Iryn.

Mimi nilipokea funguo japo sikuwai kuwa na historia ya kuendesha Audi nikasema leo niatendesha tu. Baada ya kuingia kwenye gari mama Janeth alikua bado kama anatoa maagizo kwa dada wa kazi, na muda huo nilitumia muda mchache sana kuisoma gari na nikawa nimeimasta.

Baada ya muda mfupi Iryn na Mama Janeth waliingia na wakakaa siti za nyuma ya gari, hao tukaondoka kuelekea Kigamboni.

Niseme tu Audi ni bonge la gari aisee, kuna gari unaendesha huku ukisikia raha kudrive, inakufanya usahau shida za dunia hii, gari inanukia vizuri afu inakiyoyozi flani hivi amazing. Hii Dunia kuna watu wanaishi asee na ile gari Mama Janeth aliinunua “0 km” yaani ni Brand new, afu ni new model.

Tulikwenda Kigamboni tukitumia Barabara ya Kilwa na tulipita pale darajani, muda huo Iryn na Mama Janeth waalikua busy sana wakiongea.

Tulikwenda mpaka Kigamboni kisiwani ambapo Mama Iryn alikua amejenga. Kwenye zile apartments kulikua na Mlinzi baada ya kumwona Mama Janeth alifungua geti na tukaingia ndani. Walizunguka kuzitazama zile apartments zote na kulikuwa na utulivu wa hali ya juu sana.

Zilikua ni Apartments tano (5) nzuri sana, apartments zenye vyumba vitatu zilikua 2 na apartment zenye vyumba viwili zilikua 3.

Kwa upande wa Iryn yeye ilikua ndio mara yake ya kwanza kufika kwenye hizi apartments. Na wakati wakiendelea na ukaguzi wao kuna sehem kulikua na garden mimi nikaenda kukaa pale, nikiwasubiri.

Baada ya kumaliza ukaguzi wa nyumba na kuzunguka kote mpaka nje, walikuja pale garden na mazungumzo yao yaliendelea.

IRYN: “Mama alianza kujenga lini hapa?”

MAMA JANETH: “Hizi apartments ujenzi ulianza 2019 na 2020 Februari watu walianza kuingia hapa.”

IRYN: “Baba alikua anajua kama mama anafanya hii Project?”

MAMA JANETH: “Hapana Baba yako hajui, Mama yako alifanya siri.”

IRYN: “Mama aliwezaje kuficha hili?”

MAMA JANETH: “Iryn unajua kuna mambo mengi yalikua yanatokea kati ya Mama na baba yako kipindi uko masomoni. Mama yako alihisi kuna mambo hayako sawa kwa upande wa Baba yako ndomana hakutaka kumshirikisha mambo yake.”

IRYN: “Bado una mawasiliano na Baba?”

MAMA JANETH: “Huwa tunawasiliana kwa nadra sana, tukifika home tutaongea vizuri mwanangu, tutakuwa na mazungumzo private”

Muda huu Mama Janeth aliniomba nikachukue bahasha kwenye gari ambayo ilikua ina mikataba ya wapangaji.

IRYN: “Hii ndo mikataba ya wapangaji.”

MAMA JANETH: “Hio ndo mikataba yao, na hizi apartments zote wanakaa foreigners.”

IRYN: “Ahsante Mama kwa yote.”

MAMA JANETH: “Iryn wewe ni kama bint yangu, Mama yako alikua ni more than friend, sometimes namkumbuka sana. Mimi na yeye tulikua na combination nzuri sana kazini na nyumbani.”

IRYN: “Mwanao Janeth anamaliza lini chuo.”

MAMA JANETH: “Janeth ndo kwanza yuko mwaka wa 1, yuko Scotland kwa sasa, nitampa namba yako akutafute uwe unampa ushauri kama dada yake.”

IRYN: “Kipindi kile alikua mdogo sana”

MAMA JANETH: “Na picha nyingi mlizopiga pamoja, utanikumbusha nikupe.”

Tulitumia kama masaa 3 pale na tuliondoka kurudi Masaki, tulipitia pale Ferry na Mama Janeth alinunua Samaki wabichi.

Tulipitia pale Dar Free market na tuliingia kwenye mgawaha kwaajili ya kupata lunch. Tulitoka pale na tulielekea nyumba ya pili, hii nyumba ilikua kama unatokea na “Samaki Samaki” kwenda “Village Market” kwa mbele kidogo kuna njiapanda, na ukifika pale njiapanda kuna baraba inakwenda kushoto na kulia. Barabara ya kushoto ndo inakwenda UN, na ya kulia unaweza itumia kwenda Coco Beach, ukishaingia hiyo ya kulia kwa mbele kidogo kulikua na hio nyumba.

Tulifika pale getini tukapiga honi na mlinzi alivyoiona gari akafungua tukaingia ndani.
Ulikua ni bonge la Mjengo wa ghorofa 1, nyumba ilikua ni nzuri sana kuanzia nje kwenye fensi mpaka ndani.

Iryn mwenyewe alishangaa sana, ni kama hakuwa akiamini mama yake ndo alikua akifanya yale maajabu.

Na muda huo walikuwa wakiongea na Mama Janeth;

IRYN: “Mama aliwezaje kufanya haya mambo bila mimi kujua?”

MAMA JANETH: “Iryn mwanangu Mama yako alikuacha usome kwanza hata kusomea Business Administration ilikua ni mpango wa mama. Mimi na mama yako tulikua na mipango mingi sana kwenye biashara nafikiri tutashare.”

IRYN: “Najiuliza Mama aliwezaje kumiliki nyumba nzuri kama hii na tena Masaki, bhasi kukaa kwangu mbali na Mama mambo mengi yalikua yakinipita.”

MAMA JANETH: “Kwamba unashangaa mama yako aliwezaje?, Mama yako nje na kazi alikua ni mtu mwenye deals nyingi sana, pia amewasaidia watu wengi hasa hizi NGO’s ambao walikua wanamlipa. Iryn mama yako alikua ni mtu mkubwa sana kwa upande wa Organization na alikua na connections worldwide.”

Iryn alijikuta akianza kulia pale ni kama Mama Janeth alimfanya amkumbuke Mama yake, maana hakuamini mama yake angefanya mambo yote kwaajili yake. Na Mama Janeth alikwenda akamkumbatia, wakaendelea kutembea.

Hatukukaa sana hapa na tuliondoka kurudi kwa Mama Janeth, na wakati tuko njian Mama Janeth alikua akimwambia Iryn kwamba nyumba zote kuna kampuni huwa anazitumia katika upangishaji. Na walikua wanaongea masuala mengine ambayo sikua nikiyafuatilia maana nilikua naona hayanihusu japo wanavyozungumza nilikua navisikia.

Baada ya kufika kwa Mama Janeth tuliingia ndani seblen na wao walitoka kwenda kibarazani, walikua na mazungumzo private. Dada aliniletea juice kwenye glass na korosho wakati mimi niko pale seblen.

Na muda huo tuliorudi kulikuwa na watoto wawili ambao ni watoto wake na alimtambulisha Iryn kama wadogo zake. Mtoto wa kwanza kwa kum kadiria umri wake ni kama miaka 12 na mtoto wa pili umri wake ni kama 6. Mkubwa alikua wa kike na mdogo alikua wa kiume.

Wakati niko pale sebelen Muajemi alipiga simu kuulizia tuko wapi na tunameet wapi, nikamwambia tuko Masaki ila Iryn bado hajamaliza mambo yake. Akanambia yeye yuko Msasani na yuko ready, tukikaribia kumaliza mambo yetu nimpe taarifa ili aanze kusogea.

Nikamwambia ndani ya muda mfupi nitakua nimeshampa tayari location, na pia nilimwambia akimalizana na Iryn aondoke mambo mengine tutawasiliana. Niliamua kufanya hivo ili Iryn asijue kuna something fishy kinaendelea kati ya mimi na Muajemi.

Mazungumzo yao yalikua marefu sana na yalichukua karibu saa zima, sikujua wanazungumza nini ila ili onekana ni kama suala la Baba yake.

Baada ya kumaliza mazungumzo yao walirudi seblen na muda huo walikua wakipanga mipango ya kuindeleza saloon hasa kwenye upande wa kutoa huduma. Iryn alikua akimwambia Mama Janeth kuna haja ya kuanzisha huduma za Massage pale, kwani watapata wateja wengi sana, na mama Janeth alilifurahia wazo hilo.

Mama Janeth alitoka pale seblen na nikachukua nafasi hio kumuuliza Iryn tunameet wapi na Muajemi na yeye akasema isiwe nje na Masaki.

Nikamtext Muajemi kupitia Whatsapp na nikamwambia asogee mpaka Masaki ndo watakutana huku. Kuhusu location nilimwambia yeye aseme wapi tutamkuta na sisi tutakwenda.

Baada ya dakika 20 muajemi akanitext;

MUAJEMI: “Bro niko Orchid cafe hapa nawasubiri.”

MIMI: “Nasisi soon tutakuwa hapo Bossy.”

MUAJEMI: “No problem.”

Saa 12 jioni ndo tulitoka pale kwa Mama Janeth baada ya mazungumzo yao kukamilika. Na wakati tumeingia kwenye gari ili tuondoke Mama Janeth alikuja na picha zilikua kwenye bahasha akampa Iryn.

IRYN: “Yuko wapi huyu mtu?”

MIMI: “Anasema yuko Orchid cafe.”

IRYN: “Ok twende ili tuwai kurudi maana leo nimechoka sana.”

MIMI: “Utabidi unifundishe ili niwe nakufanyia massage kama ukichoka kama hivi.”

IRYN: “Hahahaa Insider leo umenifurahisha sana.”

MIMI: “Au ndo mganga hajigangi?, unafanyia watu massage how about you? Au you don’t like?”

IRYN: “Nafanyaga lakini marachache ila nikienda nje na sio hapa bongo.”

MIMI: “Wewe ni expensive, hata hivyo kwa huo uzuri wako na hiyo ngozi yako laini bongo hakukufai, hawachelewi kukuweka ngeu.”

IRYN: “Insider umeanza mambo yako.”

MIMI: “Hivi kwanini hupendagi nikikusifia?, bhasi nitaacha kukusifia.”

IRYN: “Sijasema sipendi sometimes unanipa sifa ambazo sina ujue.”

MIMI: “Embu niambie ni sifa gani nimekupa afu hauna.?”

Iryn aliishia kunyamaza kimya ni kama vile alikosa cha kujibu na akaishia kunisonya kichwani kwa mkono. Na muda huo tulikua tumefika pale Orchid cafe, tulitumia kama dakika 5 hivi kufika pale.

******

Saa 12 jioni ndo muda ambao tulionana na Muajemi kama tulivyokubaliana tuonane pale, zilikua tayari kama dakika 30 zimepita toka Muajemi awasili eneo hili.

Wakati tunashuka pale Parking na kuingia mle ndani cafe, Iryn alikua akipigwa sana macho asee.

Unajua Warembo kama hawa kwa Tanzania hawaonekaniki mara kwa mara ni adimu sana, so wanavyo onekana machoni pa watu wanakuwa kama vivutio.

Tuliingia moja kwa moja na Muajemi alikua amekaa mwishoni kabisa, na mbele yake alikua na kikombe cha kahawa.

Tulifika mpaka pale tukasalimiana na muda ule dada alikua amekuja kutusikiliza tayari. Mimi niliagiza kahawa pale, nikawaacha pale nikawaambia natoka nje kuongea na simu.

Hii ni mbinu ya kibaharia, nilitaka kumwachia uwanja Muajemi awe huru kucheza mpira, dizaini kama Muajemi nayeye alikua kausoma mchezo. Nilitoka nje nikazuga zuga pale ndani ya dakika 10 nikarudi ndani.

Na mimi nilikwenda upande mwingine kabisa nikawaacha wakiongea, na ndani ya dakika mfupi dada alikua kaniletea kahawa.

Ndani ya dakika 10 dada alikuja tena akanambia Bossy pale amesema uagize chochote unachotaka, nikasema acha niagize chakula tu ili niendelee kumpa nafasi ya kuongea na Iryn. Na palepale nikacheki “Menu”nikaagiza beef na chips, maana nilikua sioni cha kuagiza pale, Menu ina majina ya ajabu.

Ndani ya dakika 10 nililetewa msosi wangu na nikaanza kula taratibu. Muda huo nilikua napiga macho ya kiwizi kuona kinachoendelea, na walionekana busy sana wakiongea na sometimes walikua wakicheka,

Nilimwona Muajemi akimwita dada na akampa funguo ya gari na alikua kama anampa maelekezo, baada ya dakika chache dada alikua karudi na kimfuko cheupe.

Tulikaa pale Orchid kwa saa 1 na baada ya hapo walinipa ishara tuondoke na wenyewe walikua wametangulia kwa mbele, na nilimwona Iryn akiwa ameshika kile kimfuko. Muajemi alituaga na akapanda kwenye gari yake Land Cruiser VXR akaondoka.

Mimi na Iryn tuliondoka lakini wakati tuko njiani Iryn akanambia twende “Pizza Hut” Mikocheni ana hamu ya kula Pizza.

Tuliwasili pale Mikocheni Plaza na tukatulia pale kwa nje ni kama dining tuseme, ni sehemu ambayo watu waki order wanapenda kukaa, hii sehem imetizamana na Parking.

Tulikaa pale mwishoni kabisa kwenye ki-ukuta na tulikuwa tunapiga story huku tunacheka.

MIMI: “Muajemi anasemaje?”

IRYN: “Anaonekana ana connection nyingi kwa Dubai, kuna kazi nimempa anisaidie kununua mashine za saloon, hapo ndo nitajua kama kweli ana connection au laah!”

MIMI: “Wewe unaona ni muongo?”

IRYN: “Anaonekana ni mtu mzuri ila usimwamini mtu usiyemjua Insider, kuwa makini.”

MIMI: “Sure, ila wewe moyo wako unasemaje?”

IRYN: “Naona ni mtu mzuri.”

MIMI: “Hiyo Pizza utakula mwenyewe mimi nimekula kule Orchid nimeshiba hapa.”

IRYN: “No utakula hata vipande 2 yaani mimi nile wewe uwe unanitizama?

MIMI: “Afu pia sipendagi haya mapizza kabisa na aleji nayo.”

IRYN: “Mnasemaga mwanaume rijali hatumii, Pizza, burger, na chips, na wewe upo hilo kundi?”

MIMI: “Obviously, mwanaume anatakiwa ale Donna ili awe na nguvu, haya si yanafanya uwe laini laini, hata show sidhani kama utaweza vumilia mikiki.”

IRYN: “Hahahaa jamani, Insider wewe unaonekana ni muhuni sana.”

MIMI: “Ningekua mhuni ile siku ningekua nimekufakamia.”

IRYN: “Aya bhana umeshinda”

MIMI: “Iryn mimi najitambua sana na pia najiheshimu.”

Na muda huu Mary alikua anapiga simu Nikapokea:

MARY : “Insider mambo”

MIMI: “Freshy mzima?”

MARY: “Niko poa, uko wapi?”

MIMI: “Niko Mikocheni, nambie.”

MARY: “Niko hapa stationery ulikonileta juzi, nasubir kazi,nafikiri ntachelewa sana kurudi home, njoo nipe kampani bhasi.”

MIMI: “Pole kwani walikua hawajamaliza?”

MARY: “Bado yaani, na kesho natakiwa kusubmit”

MIMI: “Sawa kama nitawai kurudi nitapitia hapo.”

MARY: “Okay, see you soon.” Na akakata simu

Muda huu Iryn alikua ananiangalia afu akatikisa kichwa kama mtu anayesikitika.

IRYN: “Insider appointment zako ni za usiku tu.”

MARY: “Kwani kuna shida?”

IRYN: “Nope ila sio vizuri

MIM: “Unajua mimi ni Uber hivyo nawateja wengi, sometimes huwa naamka hata usiku wa manane, unakuta mteja anakwenda Airport inabdi umpeleke tu, kama wewe ulivyotokea kupenda kufanya kazi na mimi hata wengine vivyo hivyo wanatamani kufanya kazi na mimi.”

IRYN: “Pole sana, hard work always pay off”

MIMI: “Ndo hivyo.”

Alimaliza kula na nikamrudisha kwake na muda huo ilikua kama saa 3 usiku kasoro. Nilipark gari nje ya fense na tuliingia ndani, na mkononi alikua ameshika kile kimfuko alichopewa na Muajemi pamoja na bahasha aliyopewa na Mama Janeth.

Alikaa kwenye kochi na aliingiza mkono kwenye ule mfuko na akatoa bahasha ya blue, akaifungua ile bahasha ya blue na ndani tena kulikua na box tatu (3) tofauti. Box moja lilikua kubwa limefungwa na bahasha ya purple na vibox vidogo viwili vilikua vimefungwa kwa rangi ya pink na orange.

Muda huu mimi macho yangu yote yalikua yamelenga kwenye zile Box nijue Muajemi kaweka nini mle ndani?, japo zilikua hazinihusu ila nilitamani sana kujua ndani kuna nini.

TO BE CONTINUED.

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Narudi
 
EPISODE 18

Baada ya kusoma ile text ya Iryn na ilikua imetumwa muda mrefu nilisema kuna kitu kibaya kimeshampata Iryn. Na muda ule nilijikuta nikijilaumu sana kwa kulala kwangu kwenye gari na muda uleule nilitoka kwenye gari haraka na kuelekea Reception.

Na hapo nilikua nikimpigia simu Iryn lakini ilikua haipokelewi kabisa. Nilifika pale reception nikamkuta dada na nikamsalimia.

MIMI: “Dada mambo, Bossy wangu amenitumia message yuko in danger na amenitumia Room No.222, ni muda mrefu toka ametuma hii text, naomba twende tukaangalie anashida gani maana kwa sasa hata simu hapokei.”

RECEPTION: “Yule dada alikuja hapa nakumbuka si mweupe? na alisema anakwenda Room hio na alijiandikisha hapa ni iryn eeh.” (Baada ya kuangalia kwenye visitors register)

MIMI: “Ndio dada ndo huyo naona unachelewa twende haraka.”

Na muda huo dada alimwita mlinzi na tukaelekea usawa wa hiyo room ilipo, na muda huo alitumia kuwasiliana na manager. Room ilikua floor ya 2 na tulivyofika pale mlangoni tulisikia kama purukushani ni kama kuna ugomvi ulikua unaendelea pale.

Upande mwingine kuna dada oppositie na chumba hicho alikua katoka kama mtu mwenye mishe zake, lakini alivyomwona mlinzi na tuko pale mlangoni alisogea karibu ili ajue kinachoendelea pale.

Na tukiwa pale mlangoni tulikua tukisikia sauti ya Iryn,

“Leave me alone, I said leave me alone”

“You want to rape me?”

Na muda uleule Mlinzi aligonga mlango, lakini ulikuwa haufunguliwi, ilibidi mlinzi atumie vitisho ndo jamaa kufungua mlango.

Baada ya kufungua ilibidi tuingie wote ndani na wakati huo alionekana Iryn akiwa anahema sana, alionekana ni mtu aliyekuwa amechoka sana kama alikua jogging.

Kwa upande mwingine ni kama alikua haamini macho yake kama sisi tuko pale, na pant yake ya jeans ilionekana imefunguliwa nzipu na chupi yake ya pink ilionekana kwa mbali, pia upande wa juu alikua na brass kama ungeendelea kumwangalia ungeishia kudindisha tu kwa ule uzuri wake na alivyokuwa vile.

Iryn alikuja haraka kwangu na akanikumbatia na alianza kulia palepale, na dada Manager alikua kafika eneo la tukio tayari, na akaanza kuhoji ni nini kinaendelea pale.

MANAGER: “Ni nini kinaendelea hapa, maana matukio yanayoonekana hapa ni kama ubakaji, kaka shida ni nini?”

Jamaa alikua kimya na ikabidi dada ahamie Upande wa Iryn.

IRYN: “Dada mimi najishughulisha na masuala ya body therapy hii ndo kazi yangu, na ninafanya kwa wateja wengi sana. Huyu mteja tuliwasiliana toka juzi hata chats zetu hizi hapa (muda huu Iryn alikuwa ameshika simu yake Iphone 13 Pro Max ambayo ilionekana kuweka crack kubwa kwenye kioo na akamwonesha zile chats manager).

MANAGER: “Haya ndo makubalino yenu, endelea nakusikiliza”

IRYN: “Tulikubaliana ninafanya massage na sio zaidi na alikubali, nimemaliza kazi yangu naomba malipo akasema hawezi…..”

Dada Manager alimkatisha Iryn na alimwuliza swali,

MANAGER: “Malipo mlikubaliana kiasi gani?”

IRYN: “Tulikubaliana $1500”

MANAGER: “Okay Endelea”

IRYN: “Nilivyomaliza kazi yangu niliomba malipo yangu lakini alianza kuomba sex, nilimwambia I can’t do sex ni nje na makubaliano yetu na nilimkumbusha we had a deal, akanambia ataniongezea $1000, lakini nilimkatalia na nilimwambia hata apandishe dau kiasi gani siwez fanya sex. Na yeye akasema bila sex hanilipi na mimi sikutaka kubishana naye nilivyotaka kuondoka nilishindwa fungua mlango sababu ya card, na yeye akagoma kufungua mlango, nikaomba card ili nifungue mlango lakini hakutaka kunipa wala kunifungulia.”

SHAHIDI: “Pole sana dada huu ni ubakaji.”

IRYN: “Muda huo akanivuta kwa nguvu na akanisukumia kitandani akanambia siwezi kutoka mpaka tusex. Muda huu nilikua sijui cha kufanya maana nilipiga kelele lakini hakuna msaada wowote niliopata. Ilibidi nimwambie atafute condom bila hivyo sitoweza na alikwenda kuchukua kwenye bag. Mimi muda huo ndo nikapata nafasi ya kutuma text kwa dereva wangu huyu hapa. Alivyorudi akanambia nivue nguo zangu lakini nilimgomea sababu nilikua najua dereva wangu atakuja haraka kunisaidia. Alinishika kwa nguvu akanivua brauz yangu na tukaanz purukushani kwa zaidi ya dk 20 sasa, inamaana msingekuja leo ningekua raped.”

Maneno ya Iryn yalifanya tusijikie vibaya wote muda ule na kila mtu alikua anashangaa kwa lile tukio. Jamaa alikua anaforce kula mzigo tena kwa kutaka kubaka.

Kiukweli hata mimi ningeforce muda ule yaani uwe na mrembo kama yule umwache aende ni inataka moyo sana. Jamaa kimuonekano alikua ni lightskin na alikua ni mtu wa Uingereza.

Muda ule jamaa alianza kuomba msamaha kwa kile kilichotokea na alikiri alikosea sana, upwiru ndo ulimplekea kufanya vile.

SHAHIDI: “Kaka nadhani mpaka sasa ushahidi upo na wewe umekiri nafikiri sheria zinaweza kuchukuliwa.”

Jamaa alimfata Iryn na alimwomba sana msamaha maana nadhani alikua anajua kwa UK raping na harassment ni kesi kubwa sana.

Kwa upande mwingine Manager naye hakutaka mambo yafike mbali na alikua akijaribu kutafuta solution na Mlinzi, maana wao ile ni biashara isingeleta picha nzuri kama kesi ingefika mbali.

MANAGER: “Dada naomba haya mambo yaishe hapahapa please nakuomba sana.”

IRYN: “Dada hivi unavyoomba haya mambo yaishe kirahisi hivi ningebakwa je? Ungesema hivi?”

SHAHIDI: “Dada mimi nimerecord maongezi yake akiwa ameconfess alichofanya nafikiri nenda kashitaki huu ni unyanyasaji.”

Kwa upande mwingine jamaa alikuwa haamini macho yake na alionekana kuwa na wasiwasi sana. Na pia alikua akijutia kwa alichofanya muda ule na aliendelea kuomba yale mambo yaishe kwa namna yoyote. Kilichoniuma sana kuona jamaa kapiga magoti akiomba msamaha, kama mwanaume nilijiskia vibaya sana kuona baharia anapiga magoti.

Mimi niliteta na Iryn pembeni nikamwambia amsamehe Jamaa, sababu hajamfanya kitu chochote zaidi ya kumharras afanye kusamehe tuendelee na mambo mengine maana kwa Tanzania kesi kama hizi ni kupoteza muda. Iryn alinambia anaweza mpigia simu Mama Janeth na akaisimamia kesi na sheria ikachukua mkondo wake. Mimi nikamwambia cha muhimu jamaa amlipe simu yake, pesa ya simu mpya na usumbufu, mengine amwachie Mungu tu, na Iryn alikubali kufanya hivo.

“Insider nasamehe kwa sababu yako, ila alichonifanya siwezi kusahau ni udhalilishaji na unyanyasaji.”

IRYN: “Manager kutokana na masuala yenu ya kibiashara nitajali hili maana kuna siku nitarudi tena hapa ila ninauwezo wa kuiendesha hii kesi vizuri kabisa. Naomba nilipwe pesa ya simu mpya, hii imecrack sababu yake, anilipe pesa yangu $1500 na ninataka $4000 za usumbufu, simu ni kama $1800 kama yuko tayari kutoa $7500 mimi nitasamehe.

SHAHIDI: “Dada kwanini unamsamehe kirahisi hivyo wakati ushahidi upo na atakulipa pesa kibao, usiwe na haraka naweza kukusaidia Mwanasheria.”

IRYN: “Dada ni kweli unachosema ila sisi sote ni Binadamu kuna kesho, nina Mama yangu yuko Organization X ningempa taarifa hii kesi ingeisha haraka, ila nimeamua kusamehe tu.”

Jamaa ni kama hakuamini Iryn ameamua kumsamehe na jamaa aliomba alipe $6500 maana yuko Tanzania kikazi. Iryn aliamua kukubali na jamaa akafanya kutransfer hiko kiasi kwenda kwenye account ya Iryn

RAPIST: “You have an account in french bank?”

IRYN: “Yeah, transfer that amount to my account number.”

Pale wote tulibaki tunashangaa hata jamaa kama hakuamini kuona Iryn anamiliki Account kwenye moja ya bank za kifaransa, hata mimi nilishangaa maana Iryn hakuwai nambia hili, lakini pia sikuwaza sana maana nilikuambuka Iryn kasoma kule Ufaransa asingekosa kuwa na bank account kule.

Baada ya kutransfer Iryn alipata ujumbe kwenye email kuonesha pesa imeingizwa na akaaga tuondoke maana hakutaka tuendelee kukaa pale.

Na muda ule Manager alifurahi sana kuona jambo limeisha na alitusindikiza mpaka parking na muda huu walikua wakiongea na Iryn, mimi niliingia kwenye gari na nikatoa 50,000 nikampa mlinzi na alishukuru sana.

“Kaka Ahsante sana ila Bossy wako ni pini asee ni ngumu sana kuwa na mrembo kama huyu Getto afu umwache, ni balaa sana hii Dunia ina warembo wengine tunaishia kula kwa macho.”

Niliishia kucheka pale na tukaagana na jamaa pale. Manager aliendelea kuongea na Iryn na baada ya dakika 5 Iryn aliingia kwenye gari.

IRYN: “Insider lets go, twende home tu nikalale sina mood now.”

Tulianza kuondoka na muda ule kutoka eneo lile.

MIMI: “Iryn am so sorry for being late, nilikua nimelala yaani kitendo cha kupiga simu ndo nilishtuka”

IRYN: “I thought umelala that time hata hivyo thank you so much Insider ungechelewa kidogo ningebakwa. Kitendo cha kupiga simu ndo kilipelekea simu kuvunjika nilipambana sana.”

MIMI: “Nisingejisamehe maisha yangu yote kama jambo baya lingetokea, It was my fault”

IRYN: “It wasn’t your fault Insider, don’t be”

MIMI: “Yule ni nani na mlikutana wapi?”

IRYN: “Isabella ndo kani connect na huyu mtu, na mimi namuamini sana Isabella hata wateja anaonipaga sinaga shida nao.”

MIMI: “Pole sana Mummy unaonekana kupoteza so much energy”

IRYN: “Insider nimepambana sana usiione hivi kumbuka yule mwanaume ananguvu kuliko mimi.”

MIMI: “Ilishawai kukutokea kama hii before?”

IRYN: “Hii ya leo ni too much, ilishawai nitokea ila sio kama ya leo, wengi nilokutana nao walikua hawanilipi.”

MIMI: “Pole sana najiskia vibaya ujue.”

IRYN: “Ni moja ya changamoto za kazi.”

MIMI: “Pole sana Mummy.”

IRYN: “Hii weekend sitotoka usiku maybe next week.”

Sikutaka kabisa kuleta utani hii siku maana Iryn alikua kabadilika sana na hakuwa mtu wakuongea. Na muda huu yule jamaa alikua anampigia simu Iryn, lakini Iryn hakutaka kupokea simu yake.

Tulipitia pale Mikocheni kwa Osama na nikamnunulia Iryn chips yai “zege” nilijua lazima ana njaa, tukaendelea na safari yetu ya kwenda kijitonyama.

Tulifika pale kwake na muda huo saa 6 usiku ilikua tayari, na nikampeleka mpaka ndani na nikamwaga naondoka nitamcheki .

IRYN: “Insider…”

MIMI: “Naam Mummy”

IRYN: “Thank you for today bila wewe ningeweza pata jambo baya sana.”

MIMI: “Usijali Iryn sisi ni Familia tayari.”

IRYN: “Naomba nipe account yako ni transfer Pesa, sina cash ya kukupa.”

MIMI: “No usifanye hivo.”

IRYN: “Why? you saved me today.” Iryn alikua mkali kidogo.

MIMI: “Have you forgotten our agreement?”

IRYN: “I remember”

MIMI: “So don’t, byee”

Muda huo Iryn hakujua aseme nini aliishia kuniangalia nikipotea machoni pake, na mimi nilitoka hapo nikarudi home kulala.

###########

Jumamosi ndo siku ambayo nilikua na miadi na Mama wa2 kama tulivyokuwa tumekubaliana mwanzoni mwa week. Nilifika kwake saa4 kasoro asubuhi na baada ya kufika pale, nilimpigia simu niko nje akasema sawa.

Hapa alipokuwa anakaa Mama wa2 ni apartment ambayo ina nyumba 2 tu, tena za kujitegemea kwenye compound moja.

Baada ya dakika chache alikuja dada wa kazi na akanifungulia geti akanambia amesema dada uingie ndani. Niliingiza gari nje kwake parking na nikaingia ndani seblen, sikuwa na wasiwasi sababu nilikua najua hana mme.

Upande mwingine alionekana dada akiandaa chai dining, na muda mfupi mama wa2 alikua katoka na amependeza sana.

MAMA WA2: “Insider mambo!”

MIMI: “Salama Mama mkwe , umependeza sana.”

(Alikua amevaa kipensi cha jeans na tishirt nyeupe zile za kubana)

MAMA WA2: “Eti eeh, karibu chai bhasi”

Na muda huu alikua akielekea dining na mimi nikamfuata kwa nyuma,

Mama wawili akaniandalia chai pale na tukaanza kunywa. Ilikua ni chai ya maziwa, chapati za maji, na maini ya roast.

MIMI: “Rachel yuko wapi? Simwoni”. (Rachel ni yule mtoto wake wa pili ambaye nampelekaga shule)

MAMA 2: “Rachel kalala bado.”

MIMI: “Muamshe mke wangu bhana.”

MAMA 2: “Yule akilalaga anamka mwenyewe.”

Baada ya ya kupata breakfast nilimshukuru Mama wa2 kwa chai na yeye alikwenda chumbani akatoka na mkoba, akasema yuko tayari kwa safari tuondoke.

Tukitoka pale kwake ilikua saa 4 na tukaanza safari ya kwenda Bagamoyo “The horizon”.

MAMA 2: “Insider itabidi tuingie ATM ya CRDB nitoe pesa sawa?”

MIMI: “Sawa bossy wangu, kuna ATM nitakupeleka.”

MAMA 2: “Nilishakwambia mimi sio Bossy wako.”

MIMI: “Sawa mama mkwe.”

MAMA 2: “Unakujua tunakokwenda?”

MIMI: “Ondoa hofu mimi ndo Insider.”

Tulitumia barabara ya Mwaikibaki ya Mbezi beach chini na tukaingia na ile barabara ya Mwamunyage, tukaja tokea kunduchi road hao tukaunga na Bahari beach.

Kabla hujafika Budget mbele kidogo ya Jambo supermarket kuna ATM za “NMB & CRDB upande wa kushoto wa barabara kama unakwenda Budget. Niliingia pale ili Mama wa2 aweze kutoa hela kama alivyokuwa ameomba.

MIMI: “Toa pesa nyingi bhasi tupate na hela ya mafuta.”

MAMA 2: “Leo nitakupa offa ya mafuta full tank”

MIMI: “Mvua itanyesha, unafanya kazi bank ila ni mbahili balaa.”

Muda huo alikua ameshuka kwenye gari ili aingie kutoa hela, lakini kulikua na foleni hivyo ilibidi asubiri mpaka ile foleni iishe na yeye ndo aingie. Si unajua mambo ya weekend tena, foleni ya kutoa pesa ilikua kubwa kubwa.

Mama wa2 alitumia kama dakika 5 mpaka anatoa hela na hao tukaondoka kuendelea na safari yetu.

MAMA 2: “Insider ukiona sheli ingia tuweke mafuta.”

MIMI: “Mama mkwe kumbe ulikua serious?”

MAMA 2: “Ulifikiri utani?, sasa subiri uone”

MIMI: “Leo unaonekana una vibe sana.”

MAMA 2: “Insider sijatoka muda mrefu sana, sijui ndo kuzeeka?”

MIMI: “Bado mbichi kabisa wewe, na unawazidi watoto wa 2000 mbali sana.”

MAMA 2: “Hahahaaa! Insider ningekua nimeolewa kama unayosema ni kweli, ona nimeishiwa kuzalishwa tu.”

Na muda huu tulikua tumeingia sheli ya ORYX pale Bahari Beach.

Na muda huu nilikua namsikiliza mama2 aseme tuweke mafuta ya shilling ngapi, na dada pale sheli alikua kaja upande wa dirishani kutusikiliza.

MAMA 2: “Dada weka full-tank”

Gari yangu ilikua na bar 2 tu za mafuta, sasa nilivyosikia full tank, nilifurahi sana.

Baada ya kujaza gari full tank, mama wa2 alilipia na nikaomba risiti kwa dada, nilikua siachi risiti baada ya kujaza mafuta.

MAMA 2: “Umeona eeh, leo nimekupa offa maana sjawai kukupa offa, japo wewe unanipaga offa sana.”

MIMI: “So unalipiza?”

MAMA 2: “Hamna narudisha fadhila tu.”

Ukweli ni kwamba licha ya kuingia mkataba na Mama wa2 ila bado nilikuaga nampa offa mfano, sometimes kama niko Posta nataka rudi home nilikuaga nina mpigia simu afu nampick nampeleka kwake for free, sababu tulikua tunakwenda njia moja.

Tulikwenda moja kwa moja na Bagamoyo road tulivyofika kijiji kinaitwa Zinga kuna sehemu tuliingia kulia, ilikua ndo njia ya kwenda “The Horizon”.

Muda tuliotumia kutoka Mbezi Beach mpaka tunafika Horizon ilikua ni kama saa 1 na nusu, na tulikwenda kuna sehemu moja ilikua imetulia na imejitenga.

Alikuja kaka ambaye ni mhudumu wa pale kutusikiliza na mama wa2 aliomba apewe mocktail na mimi niliagiza mocktail pia. Mocktail niliyoagiza mimi inatengenezewa ndani ya nanasi. (Nanasi linatobolewa afu mixers zinawekwa humo, ni nzuri sana)

Mama wa2 alinonekana kulipenda eneo hili jinsi ya utulivu wake na pia kulikuwa na watu wastaarabu sana maeneo haya.

Tulitoka hapo tukaenda sehemu ya Range (kupiga shabaha), mama wa2 akawa anapiga shabaha zake pale na mimi nilimwacha mimi nikarudi kukaa.

Muda huu Mary alinipigia simu na nikapokea simu yake haraka;

MIMI: “Hi Mary”

MARY: “Salama uko poa?”

MIMI: “Niko poa Mary, siku yako inakwendaje?”

MARY: “Leo ni weekend uliahidi tunatoka out.”

MIMI: “Yes nakumbuka ila niko Bagamoyo kuna mteja nimemleta huku namsubiri kama nitawai rudi nitakucheki sawa?”

MARY: “Sounds like today’s impossible.”

MIMI: “No I can’t break my promise.”

MARY: “Insider sema hutaki tu, hauko Bagamoyo wala nini.”

MIMI: “Mpaka nikutumie Location ndo uniamini?”

MARY: “I don’t trust you.”

Baada ya kumaliza kuongea naye nilimtumia palepale Location na Mary alionekana kukasirika sana. Sasa baada ya kumtumia Location kwa whatsapp na palepale alinipigia simu tena;

MARY: “Insider Horizon uko na nani?”

Hapo ndo nikakumbuka kumbe location niliyomtumia imeniumbua.

MIMI: “Nimemleta mteja Mary, si nimekwambia lakini?”

MARY: “Insider acha kuniona mimi mtoto, yaani umepeleke mteja Horizon na umsubirie tu, from nowhere?”

MIMI: “So you don’t trust me?”

MARY: “Insider mimi sio mtoto, huko upo na demu mnakula bata not more, anyway mimi sio mtu muhimu Kwako na nilishaliona hili.”

MIMI: “Mary huko unafika mbali sasa, nyie ni washikaji zangu sana.”

MARY: “Prisca akiomba date muda wowote unamkubalia ila mimi naomba kwa mara ya kwanza unani avoid.”

MIMI: “Mary si nimekwambia nikirudi nakucheki? Usinilaumu wakati siku haijaisha, kumbuka hii ni kazi yangu.”

MARY: “Insider bye have a good time there”
Na mary akakata simu.

Mary alionekana kuwa na hasira sana alikua kama mtu aliyepaniki na mimi nikampotezea sikutaka kujihangaisha naye kabisa.

Na baada ya saa mama wa2 alirudi kutoka range na alikuwa anahema sana;

MIMI: “Vipi kulikoni?

MAMA WA2: “Insider nimepatia shabaha 2, hahahaah” alikua akicheka

MIMI: “Muda wote huo ulotumia ndo umepata shabaha 2 tu?”

MAMA WA2: “Eeh Insider.”

MIMI: “Unachezea hela tu.”

MAMA WA2: “Afu kwanini umenikimbia?”

MIMI: “Niliona michezo ya kitoto ile.”

MAMA WA2: “Eeeh mimi nimeupenda mzuri kweli.”

MIMI: “Sawa bhana”

Na muda huo alikuja jamaa mmoja akasema kama tunataka kwenda kisiwani kuna boti inatoka beach sa10 na gharama zake ni 10,000 kwenda na kurudi kwa kichwa. Na mama wa2 alifurahi hizo taarifa na akalipa 20,000, alinilipia na mimi.

Na muda huo tuliagiza chakula maana ilikua ni mchana saa7 tayari imefika na njaa zilikua zikiuma sana. Tuliendelea kupiga story pale na tulikua tukizungumza sana mambo ya maisha, Mama wa2 alikua ni mtu ambaye alikuwa na mipango mingi sana.

Kupitia mazungumzo yetu niliweza kujua kwamba Mama wa2 anajenga nyumba Madale, pia anabiashara ya kutoa huduma za kifedha kwa simu na Bank. Hivyo akanambia anampango wa kufungua biashara ya mapazia na urembo wa nyumba.

Aliniuliza mipango yangu pia na sikusita kumwambia baadhi ya mipango yangu, nilimwambia kesho ambayo jumapili ninakwenda Dodoma kwaajili ya mambo ya ujenzi. Na alinipongeza sana akanambia kama nitahitaji mkopo kutoka bank nimwambie atanisaidia kupata kwa haraka na bila masharti mengi.

Tulizungumza mambo mengi sana na alikua pia akiniuliza sana kuhusu origin yangu na kuhusu familia yangu na maisha yangu kwa Ujumla.

MAMA WA2: “Hivi Insider unakaa wapi?”

MIMI: “Mbezi Massana kule juu.”

MAMA WA2: “Kumbe hutokei mbali.”

MIMI: “Sio sana ila kuna kaumbali.”

MAMA WA2: “Kidogo kule kumechangamka sana.”

MIMI: “Sababu ya Hospital naona pia ni kama kacentre flani hivi.”

MAMA WA2: “Chuo umesoma wapi?”

MIMI: “Chuo X “

MAMA WA2: “Mtoto wa mjini wewe, ndomana baada ya kumaliza chuo hukutaka kurudi home.”

MIMI: “Niliamua kuhustle hapahapa mjini. Hivi kwanini huna mpango wa kumiliki gari.?

MAMA WA2: “Nilikua na gari mbona, mwakajana nilipata ajali mbaya sana Insider na gari ilikua haifai. Nashukuru Mungu nilitoka salama kabisa, niliitengeneza ila gari na nikauza, sitak kusikia tena habari za gari, ila nikimaliza ujenzi nitanunua.”

MIMI: “Pole sana na ilikua gari gani?”

MAMA WA2: “Harrier, na nilichukuaga mkopo kisa gari.”

MIMI: “Pole sana Mama mkwe.”

MAMA WA2: “Ahsante, gari hata mwaka haikufikisha ikala mueleka.”

Na baada ya kumaliza kula tuliagiza wine na tukaendelea kunywa taratibu pale huku story zikiendelea.

Mida ya saa 10 jioni tulitoka na kwenda Beach kwaajili ya kwenda kisiwani, sasa kama unakwenda kupanda boti beach kuna kidaraja cha mbao kizuri sana na watu wanapendaga sana kupiga picha pale. Na pale Mama wawili alinipa simu yake nimpige picha na mimi sikuwa na hiyana nikampiga picha za kutosha.
(Kwa mtu anayekwenda Horizon lazima apige picha pale)

Tulipanda kwenye boat na kwenda kisiwani, Boat lilikua kubwa na tulikua kama watu 30 mle ndani. Kilikua ni kisafari cha kama dakika 20 mpaka kufika kisiwani. Muda huo kila mtu alikua na simu yake akichukua self wengine wakichukua video na wengine wakipigana picha, ilikua ni burudani kwakweli.

Tulifika kisiwani na tuliwakuta watu wengine kule, yaani kulikua na watu kibao pale kisiwani. Ni kisiwa kadogo sana wala sio kikubwa kihivyo. Na mle kisiwani kulikuwa na michezo kibao kama mpira wa miguu, na wanawake walikua wakicheza netball, ilikua ni burudani sana asee.

Tulikua watu wazima mle kisiwani na full vibe wanawake walionekana na vichupi, wengine taiti nknk, wanaume wapo waliokuwa na boxer na wengine bukta. Mimi nilikua nimevaa track nikavua nikabaki na boxer, kwa upande mwingine nilimwona mama wa2 kwa mbali akiwa na taiti alivua kile kipensi chake.

Tulitengeneza timu za watu sita (6) na zilikuwepo team 3 sasa ilikua ni mtoano. Tulilisakata kabumbu pale na kila mtu alikua na vibe sana mle kisiwani. Hakuna sehemu ngumu kusakata kabumbu kama Beach asee unatumia sana energy watu walikua wanaflop balaa.

Kuna muda tulipumzika na Mama wa2 akaomba twende upande wa2 wabahari na akaomba nimpige picha.

Tulikaa pale mpaka saa 12 ndio tukaanza kutoka pale kisiwani, wakati tumepanda kwenye Boat, Nahodha aliuliza kama wote tumefika kabla hatujaondoka na seat zote zilikuwa zimeenea.

Tulitumia kama nusu saa hivi kuwasili pale Beach na tulirudi tukakaa na tuka order vinywaji, muda huu palionekana kupendeza sana maana kulikuwa na watu wengi wakinywa, wakienjoy maisha.

Mama wa2 aliagiza Savannah na mimi niliagiza Heineken kinywaji changu pendwa. Muda ule hata mimi nilikua nahamu ya kuvibe, maana sikuwa na miadi na Iryn. Nilichungulia simu yangu na nikakuta, Prisca, Mary na Mama J wamenipigia simu.

Nilishangaa sana kuona Mama J kanipigia simu na alikua kanitumia text ambayo ilisomeka

“Naona nimekupa chance ya kuwa na Malaya wako ndomana hunitafuti.”

Palepale nilitabasamu nikasema Mama J tayari hasira zimeisha. (Mama J ni mtu ambaye hapendagi kufosiwa huwa anataka maamuzi afanye mwenyewe ndomana mimi na yeye tukigombana, huwa namuacha atulie kwanza au anitafute mwenyewe hapo ndo tunayajenga).

Nilimuaga Mama wa2 naenda kwenye gari maramoja ili nimpigie simu, na nilitumia muda huo kumpigia Mama Junior lakini hakupokea simu, nilipiga mara3 lakini hakupokea simu zangu.

Muda huo nikampigia simu Prisca na alipokea muda uleule ni kama mtu ambaye alikua akisubiri simu yangu kwa hamu sana.

PRISCA: “Hi Insider”

MIMI: “Safi tu, now uko sawa?”

PRISCA: “Yeah, ulisema tuonane tuongee”

MIMI: “Ndio nafikiri tufanye J3 Prisca maana kwa leo itakua ngumu si unajua leo ni weeknd kazi ni nyingi?”

PRISCA: “Jumatatu ni mbali sana why not tomorrow?”

MIMI: “Kesho nasafari ya Dodoma ndomana nikasema nitakuona Jumatatu.”

PRISCA: “Insider unaondoka hata hunambii are you serious?”

MIMI: “Sorry hata hivyo safari imetokea haraka tu, haikuwa kwenye mipango yangu.”

PRISCA: “Unakwenda kufanya nini Dodoma?”

MIMI: “kuna kazi mzee amenituma nikaifanye.”

PRISCA: “Kazi gani.?”

MIMI: “Prisca sijajua bado ila nikienda ndo nitajua maana kuna mtu nitaonana naye nikifika.”

PRISCA: “Na unarudi lini?”

MIMI: “Prisca si nilikwambia narudi jumatatu na tutaonana? Nitatumia ndege ili niwai.”

PRISCA: “Okay nilisahau na unaondoka muda gani?”

MIMI: “Natakiwa kuchek-in saa 2 asubuhi naondoka saa4”

PRISCA: “See you later, byee.”

Kuhusu Mary sikutaka kuhangaika naye hata kumpigia maana nilikua sina cha kumwambia muda ule, zaidi ningemdanganya tu.

Muda ule nilirudi kwa Mama wawili na tukaendelea kunywa pale, Mama wa2 akaanzisha maongezi,

MAMA WA2: “Vipi ulienda kuomba ruhusua nini?”

MIMI: “Hahaahaa nilikwenda chukua chaji ya simu na muda huu nilikua nimeishika mkononi.”

MAMA WA2: “Kama wamekupigia simu sema bhana tuondoke.”

MIMI: “Wewe ukisema tuondoke ni sawa mimi sina shida kabisa. Nikalale mapema kesho nasafari asubuhi.”

Nilikaa pale tukaendelea na story na muda ule Mama wawili alinonekana na furaha sana,

MIMI: “Mama mkwe naona leo unafuraha sana kuliko siku zote.”

MAMA WA2: “Leo nimeinjoy sana kule Beach honestly huku nitakuja tena, nilikuona unasakata kabumbu upo vizuri sana.”

MIMI: “Mpira ni kipaji changu sana, nimechezea team ya shule wakati niko form4 na 6.”

MAMA WA2: “Nilikuona asee unakimbiza balaa.”

MIMI: “Si unajua life is too short, If you get a chance celebrate.”

MAMA WA2: “You only live once”

MIMI: “Vipi lakini kuhusu mwanao Pili anaendeleaje na masomo?

(yule mtoto wake wa kwanza ambaye yuko Advance).

MAMA WA2: “Yuko salama kabisa na jana nimeongea na Matron wao yuko vizuri.”

MIMI: “Anasoma wapi?

MAMA WA2: “Yuko hapo Kerege Marian Girls.”

MIMI: “Sasa mbona hukusema tupitie kumsalimia?”

MAMA WA2: “Insider kuna tarehe special za visiting, pia watapewa likizo kwaajili ya Easter.”

MIMI: “Hongera sana kwa kuwa na bint mkubwa, soon utaanza kula matunda yake.”

MAMA WA2: “Insider sipendi bint zangu waje kuwa kama mimi mama yao.”

Na muda huu tuliongeza vinywaji vingine na mama wa2 alikua akitawala mchezo katika maongezi.

MIMI: “Kwanini? Maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.”

MAMA WA2: “Insider you know sometimes sisi wanawake tunapitia vipindi vigumu sana, kuna mwanaume kukuoa na mtoto ni ngumu sana. Mimi siwezi kuwa na mume tena mpaka kufa kwangu.”

MIMI: “You never know, sometimes Mungu anakua na mipango yake huwezi jua kakupangia nini na amekuepusha na nini.”

MAMA WA2: “Unajua sometimes tunamwonea Mungu, kwamba alipanga mimi kuwa single mother?. Unajua Mwanamke bila mume hajakamilika, hakuna mwanamke asiyependa kuolewa Insider. Mwanaume ni kama kiongozi kwenye mahusiano au familia, unafikir najiskiaje kuona wanangu hawawaoni baba zao? Mwanaume mpaka ajiskie ndo anakuja kumwona mtoto atlist rachel anamwona Baba yake mara kwa mara ila Pili anaenda mwaka hajamwona Baba yake.”

MIMI: “Aisee pole sana, unakidonda kikubwa sana Mama mkwe.”

MAMA WA2: “Usione tunavaa tunapendeza tunacheka lakini nakidonda kikubwa sana moyoni. Nashukuru Mungu na kazi ambayo inanipa kipato napata pesa ya kuishi na Familia yangu.”

MIMI: “Kwani Baba yake na Pili yuko wapi?”

MAMA WA2: “Yuko Mwanza ni moja ya wanaume ambao wamesababisha mimi leo kuwa hivi.”

MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”

Kwa kifupi kutokana na maelezo ya Mama wa2 alisema alikutana na Baba Pili mwaka 2003 mwanza wakati anafanyia kazi kampuni moja huko. Baada ya hapo wakaanza mahusiano na Baba yake Pili ni mfanyabiashara, hatimaye akapata mimba ya Pili ila baadae alikuja kujua jamaa ana mke na watoto wa2. Na kipindi hicho alianza kupata vitisho kutoka kwa mke wa jamaa, na pia kutokana na kuwa na mimba kampuni ikamwachisha kazi ikabidi afanye mchakato wa kurudi kwao Moshi kwa Mama yake.

Baada ya kuzaa alikaa kama miaka 2 kwao akimlea mtoto na hicho kipindi chote Baba mtoto hakuwai mtafuta wala kujua hali yake. Baada ya hapo alianza kutafuta kazi na akapata moja ya shirika pale Moshi na alifanya kazi mpaka 2012 ndo akapata connection na moja ya wateja wake. Anasema kwenye lile shirika alikuwa akilipwa mshahara kidogo sana na kipindi hicho alikua anakaa kwao. Huyo mtu alimuunganisha Mama wa2 na huyu mtu ambaye ndo Baba yake Rachel kwa sasa.

Baada ya kupewa namba za Baba Rachel aliwasiliana naye na akamtumia CV yake, Baada ya Mwezi alimpigia simu aende Dar es salaam kwaajili ya training. Mama wa2 anasema alishangaa sana maana hata hakufanya Interview yoyote, jamaa alifanya kumsaidia tu. Alifika Dsm na alikutana na Jamaa ambaye alimpokea na baada ya kumaliza training alipangiwa kazi hapahapa Dar es Salaam. (Baba yake Rachel ni moja ya watu wakubwa sana kwenye hiyo Bank hapa nchini na ni moja ya Directors anaonekana sana kwenye TV).

Baada ya hapo Jamaa alimtongoza kutokana na jamaa kumsaidia hakusita kumkatalia sababu ndo aliyemsaidia kupata kazi. Lakini Jamaa alimwambia kuwa ana mke tayari na wakakubaliana akipata mtu sahihi awe huru kuolewa naye. Waliendelea kuwa na mahusiano ya siri mwisho wa siku akapata mimba ya Rachel, hakutaka kutoa mimba ikabidi azae tu ndo kupata mtoto wa pili.

MIMI: “Aisee yule ndo Baba yake Rachel?”

MAMA WA2: “Ndio yule ni Baba yake Rachel, Nashukuru anampenda sana mwanaye huwa anatafuta muda sana wa kukaa ba Bint yake japo ndo siri mke wake hajui lolote.”

MIMI: “Kama anajali mtoto sio mbaya, vipi kuhusu Baba Pili ndo alitelekeza mtoto.?”

MAMA WA2: “Baba Pili alikuja kunitafuta wakati Pili ana miaka 2 ndo kidogo akaanza kutuma Pesa za matumizi na kumwona.”

MIMI: “Mama mkwe ulipitia kipindi kigumu sana, pole sana.”

MAMA WA2: “Ahsante kipindi niko pale Moshi na lile shirika nilipata mwanaume ambaye alinipenda sana na alikua tayri kunioa ila nilivyomwambia nina mtoto alikimbia nduki na hakuwai nitafuta tena, kwa ujumla nilipata wanaume 3 lakini wakisikia habari ya mtoto ndo inakua tiketi ya kuondoka.”

MIMI: “Muda bado Mama Mkwe utapata tu wa kukuoa usiwe na wasi wasi umri bado unaruhusu.”

MAMA WA2: “Insider Mwanaume kamili aliyekamilika ambaye hatumii hisia kwenye maamuzi hawezi kukubali kuoa mwanamke aliyezalishwa na Mwanaume mwingine. Insider wewe uko tayari kuoa mwanamke ambaye amezalishwa na mwanaume mwingine?”

MIMI: “Hapana kwakweli siwezi.”

MAMA WA2: “Sasa unaona! Mimi huwa nawashangaa sana vijana wanaoa single mothers hata kama ni kupenda ila ni Risk sana.”

MIMI: “Aisee kwamba hutaki Single mothers waolewe?

MAMA WA2: “Hapana ila kwa Mwanaume hakikisha Baba mtoto amekufa na akuonyeshe kaburi otherwise hesabu maumivu. Ila wapo wanawake single mothers wanajitambua ila ni wachache sana.”

MIMI: “Unachosema ni kweli na upande wa Single fathers?”

MAMA WA2: “Tofauti wanaume anaweza kuzaa na mwanamke yoyote yule, wanaume wana tamaa tofauti na mwanamke anazaa na mwanaume anayempenda regardless kama anapendwa au laah!”

MIMI: “Naona leo umenipa lecture ya Mapenzi.”

Na muda huu tulikua tunaendlea kunywa bia kwa wingi sana kama ratiba za kurudi home zilipotea hivi,

TUTAENDELEA!

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
.
 
EPISODE 18

Baada ya kusoma ile text ya Iryn na ilikua imetumwa muda mrefu nilisema kuna kitu kibaya kimeshampata Iryn. Na muda ule nilijikuta nikijilaumu sana kwa kulala kwangu kwenye gari na muda uleule nilitoka kwenye gari haraka na kuelekea Reception.

Na hapo nilikua nikimpigia simu Iryn lakini ilikua haipokelewi kabisa. Nilifika pale reception nikamkuta dada na nikamsalimia.

MIMI: “Dada mambo, Bossy wangu amenitumia message yuko in danger na amenitumia Room No.222, ni muda mrefu toka ametuma hii text, naomba twende tukaangalie anashida gani maana kwa sasa hata simu hapokei.”

RECEPTION: “Yule dada alikuja hapa nakumbuka si mweupe? na alisema anakwenda Room hio na alijiandikisha hapa ni iryn eeh.” (Baada ya kuangalia kwenye visitors register)

MIMI: “Ndio dada ndo huyo naona unachelewa twende haraka.”

Na muda huo dada alimwita mlinzi na tukaelekea usawa wa hiyo room ilipo, na muda huo alitumia kuwasiliana na manager. Room ilikua floor ya 2 na tulivyofika pale mlangoni tulisikia kama purukushani ni kama kuna ugomvi ulikua unaendelea pale.

Upande mwingine kuna dada oppositie na chumba hicho alikua katoka kama mtu mwenye mishe zake, lakini alivyomwona mlinzi na tuko pale mlangoni alisogea karibu ili ajue kinachoendelea pale.

Na tukiwa pale mlangoni tulikua tukisikia sauti ya Iryn,

“Leave me alone, I said leave me alone”

“You want to rape me?”

Na muda uleule Mlinzi aligonga mlango, lakini ulikuwa haufunguliwi, ilibidi mlinzi atumie vitisho ndo jamaa kufungua mlango.

Baada ya kufungua ilibidi tuingie wote ndani na wakati huo alionekana Iryn akiwa anahema sana, alionekana ni mtu aliyekuwa amechoka sana kama alikua jogging.

Kwa upande mwingine ni kama alikua haamini macho yake kama sisi tuko pale, na pant yake ya jeans ilionekana imefunguliwa nzipu na chupi yake ya pink ilionekana kwa mbali, pia upande wa juu alikua na brass kama ungeendelea kumwangalia ungeishia kudindisha tu kwa ule uzuri wake na alivyokuwa vile.

Iryn alikuja haraka kwangu na akanikumbatia na alianza kulia palepale, na dada Manager alikua kafika eneo la tukio tayari, na akaanza kuhoji ni nini kinaendelea pale.

MANAGER: “Ni nini kinaendelea hapa, maana matukio yanayoonekana hapa ni kama ubakaji, kaka shida ni nini?”

Jamaa alikua kimya na ikabidi dada ahamie Upande wa Iryn.

IRYN: “Dada mimi najishughulisha na masuala ya body therapy hii ndo kazi yangu, na ninafanya kwa wateja wengi sana. Huyu mteja tuliwasiliana toka juzi hata chats zetu hizi hapa (muda huu Iryn alikuwa ameshika simu yake Iphone 13 Pro Max ambayo ilionekana kuweka crack kubwa kwenye kioo na akamwonesha zile chats manager).

MANAGER: “Haya ndo makubalino yenu, endelea nakusikiliza”

IRYN: “Tulikubaliana ninafanya massage na sio zaidi na alikubali, nimemaliza kazi yangu naomba malipo akasema hawezi…..”

Dada Manager alimkatisha Iryn na alimwuliza swali,

MANAGER: “Malipo mlikubaliana kiasi gani?”

IRYN: “Tulikubaliana $1500”

MANAGER: “Okay Endelea”

IRYN: “Nilivyomaliza kazi yangu niliomba malipo yangu lakini alianza kuomba sex, nilimwambia I can’t do sex ni nje na makubaliano yetu na nilimkumbusha we had a deal, akanambia ataniongezea $1000, lakini nilimkatalia na nilimwambia hata apandishe dau kiasi gani siwez fanya sex. Na yeye akasema bila sex hanilipi na mimi sikutaka kubishana naye nilivyotaka kuondoka nilishindwa fungua mlango sababu ya card, na yeye akagoma kufungua mlango, nikaomba card ili nifungue mlango lakini hakutaka kunipa wala kunifungulia.”

SHAHIDI: “Pole sana dada huu ni ubakaji.”

IRYN: “Muda huo akanivuta kwa nguvu na akanisukumia kitandani akanambia siwezi kutoka mpaka tusex. Muda huu nilikua sijui cha kufanya maana nilipiga kelele lakini hakuna msaada wowote niliopata. Ilibidi nimwambie atafute condom bila hivyo sitoweza na alikwenda kuchukua kwenye bag. Mimi muda huo ndo nikapata nafasi ya kutuma text kwa dereva wangu huyu hapa. Alivyorudi akanambia nivue nguo zangu lakini nilimgomea sababu nilikua najua dereva wangu atakuja haraka kunisaidia. Alinishika kwa nguvu akanivua brauz yangu na tukaanz purukushani kwa zaidi ya dk 20 sasa, inamaana msingekuja leo ningekua raped.”

Maneno ya Iryn yalifanya tusijikie vibaya wote muda ule na kila mtu alikua anashangaa kwa lile tukio. Jamaa alikua anaforce kula mzigo tena kwa kutaka kubaka.

Kiukweli hata mimi ningeforce muda ule yaani uwe na mrembo kama yule umwache aende ni inataka moyo sana. Jamaa kimuonekano alikua ni lightskin na alikua ni mtu wa Uingereza.

Muda ule jamaa alianza kuomba msamaha kwa kile kilichotokea na alikiri alikosea sana, upwiru ndo ulimplekea kufanya vile.

SHAHIDI: “Kaka nadhani mpaka sasa ushahidi upo na wewe umekiri nafikiri sheria zinaweza kuchukuliwa.”

Jamaa alimfata Iryn na alimwomba sana msamaha maana nadhani alikua anajua kwa UK raping na harassment ni kesi kubwa sana.

Kwa upande mwingine Manager naye hakutaka mambo yafike mbali na alikua akijaribu kutafuta solution na Mlinzi, maana wao ile ni biashara isingeleta picha nzuri kama kesi ingefika mbali.

MANAGER: “Dada naomba haya mambo yaishe hapahapa please nakuomba sana.”

IRYN: “Dada hivi unavyoomba haya mambo yaishe kirahisi hivi ningebakwa je? Ungesema hivi?”

SHAHIDI: “Dada mimi nimerecord maongezi yake akiwa ameconfess alichofanya nafikiri nenda kashitaki huu ni unyanyasaji.”

Kwa upande mwingine jamaa alikuwa haamini macho yake na alionekana kuwa na wasiwasi sana. Na pia alikua akijutia kwa alichofanya muda ule na aliendelea kuomba yale mambo yaishe kwa namna yoyote. Kilichoniuma sana kuona jamaa kapiga magoti akiomba msamaha, kama mwanaume nilijiskia vibaya sana kuona baharia anapiga magoti.

Mimi niliteta na Iryn pembeni nikamwambia amsamehe Jamaa, sababu hajamfanya kitu chochote zaidi ya kumharras afanye kusamehe tuendelee na mambo mengine maana kwa Tanzania kesi kama hizi ni kupoteza muda. Iryn alinambia anaweza mpigia simu Mama Janeth na akaisimamia kesi na sheria ikachukua mkondo wake. Mimi nikamwambia cha muhimu jamaa amlipe simu yake, pesa ya simu mpya na usumbufu, mengine amwachie Mungu tu, na Iryn alikubali kufanya hivo.

“Insider nasamehe kwa sababu yako, ila alichonifanya siwezi kusahau ni udhalilishaji na unyanyasaji.”

IRYN: “Manager kutokana na masuala yenu ya kibiashara nitajali hili maana kuna siku nitarudi tena hapa ila ninauwezo wa kuiendesha hii kesi vizuri kabisa. Naomba nilipwe pesa ya simu mpya, hii imecrack sababu yake, anilipe pesa yangu $1500 na ninataka $4000 za usumbufu, simu ni kama $1800 kama yuko tayari kutoa $7500 mimi nitasamehe.

SHAHIDI: “Dada kwanini unamsamehe kirahisi hivyo wakati ushahidi upo na atakulipa pesa kibao, usiwe na haraka naweza kukusaidia Mwanasheria.”

IRYN: “Dada ni kweli unachosema ila sisi sote ni Binadamu kuna kesho, nina Mama yangu yuko Organization X ningempa taarifa hii kesi ingeisha haraka, ila nimeamua kusamehe tu.”

Jamaa ni kama hakuamini Iryn ameamua kumsamehe na jamaa aliomba alipe $6500 maana yuko Tanzania kikazi. Iryn aliamua kukubali na jamaa akafanya kutransfer hiko kiasi kwenda kwenye account ya Iryn

RAPIST: “You have an account in french bank?”

IRYN: “Yeah, transfer that amount to my account number.”

Pale wote tulibaki tunashangaa hata jamaa kama hakuamini kuona Iryn anamiliki Account kwenye moja ya bank za kifaransa, hata mimi nilishangaa maana Iryn hakuwai nambia hili, lakini pia sikuwaza sana maana nilikuambuka Iryn kasoma kule Ufaransa asingekosa kuwa na bank account kule.

Baada ya kutransfer Iryn alipata ujumbe kwenye email kuonesha pesa imeingizwa na akaaga tuondoke maana hakutaka tuendelee kukaa pale.

Na muda ule Manager alifurahi sana kuona jambo limeisha na alitusindikiza mpaka parking na muda huu walikua wakiongea na Iryn, mimi niliingia kwenye gari na nikatoa 50,000 nikampa mlinzi na alishukuru sana.

“Kaka Ahsante sana ila Bossy wako ni pini asee ni ngumu sana kuwa na mrembo kama huyu Getto afu umwache, ni balaa sana hii Dunia ina warembo wengine tunaishia kula kwa macho.”

Niliishia kucheka pale na tukaagana na jamaa pale. Manager aliendelea kuongea na Iryn na baada ya dakika 5 Iryn aliingia kwenye gari.

IRYN: “Insider lets go, twende home tu nikalale sina mood now.”

Tulianza kuondoka na muda ule kutoka eneo lile.

MIMI: “Iryn am so sorry for being late, nilikua nimelala yaani kitendo cha kupiga simu ndo nilishtuka”

IRYN: “I thought umelala that time hata hivyo thank you so much Insider ungechelewa kidogo ningebakwa. Kitendo cha kupiga simu ndo kilipelekea simu kuvunjika nilipambana sana.”

MIMI: “Nisingejisamehe maisha yangu yote kama jambo baya lingetokea, It was my fault”

IRYN: “It wasn’t your fault Insider, don’t be”

MIMI: “Yule ni nani na mlikutana wapi?”

IRYN: “Isabella ndo kani connect na huyu mtu, na mimi namuamini sana Isabella hata wateja anaonipaga sinaga shida nao.”

MIMI: “Pole sana Mummy unaonekana kupoteza so much energy”

IRYN: “Insider nimepambana sana usiione hivi kumbuka yule mwanaume ananguvu kuliko mimi.”

MIMI: “Ilishawai kukutokea kama hii before?”

IRYN: “Hii ya leo ni too much, ilishawai nitokea ila sio kama ya leo, wengi nilokutana nao walikua hawanilipi.”

MIMI: “Pole sana najiskia vibaya ujue.”

IRYN: “Ni moja ya changamoto za kazi.”

MIMI: “Pole sana Mummy.”

IRYN: “Hii weekend sitotoka usiku maybe next week.”

Sikutaka kabisa kuleta utani hii siku maana Iryn alikua kabadilika sana na hakuwa mtu wakuongea. Na muda huu yule jamaa alikua anampigia simu Iryn, lakini Iryn hakutaka kupokea simu yake.

Tulipitia pale Mikocheni kwa Osama na nikamnunulia Iryn chips yai “zege” nilijua lazima ana njaa, tukaendelea na safari yetu ya kwenda kijitonyama.

Tulifika pale kwake na muda huo saa 6 usiku ilikua tayari, na nikampeleka mpaka ndani na nikamwaga naondoka nitamcheki .

IRYN: “Insider…”

MIMI: “Naam Mummy”

IRYN: “Thank you for today bila wewe ningeweza pata jambo baya sana.”

MIMI: “Usijali Iryn sisi ni Familia tayari.”

IRYN: “Naomba nipe account yako ni transfer Pesa, sina cash ya kukupa.”

MIMI: “No usifanye hivo.”

IRYN: “Why? you saved me today.” Iryn alikua mkali kidogo.

MIMI: “Have you forgotten our agreement?”

IRYN: “I remember”

MIMI: “So don’t, byee”

Muda huo Iryn hakujua aseme nini aliishia kuniangalia nikipotea machoni pake, na mimi nilitoka hapo nikarudi home kulala.

###########

Jumamosi ndo siku ambayo nilikua na miadi na Mama wa2 kama tulivyokuwa tumekubaliana mwanzoni mwa week. Nilifika kwake saa4 kasoro asubuhi na baada ya kufika pale, nilimpigia simu niko nje akasema sawa.

Hapa alipokuwa anakaa Mama wa2 ni apartment ambayo ina nyumba 2 tu, tena za kujitegemea kwenye compound moja.

Baada ya dakika chache alikuja dada wa kazi na akanifungulia geti akanambia amesema dada uingie ndani. Niliingiza gari nje kwake parking na nikaingia ndani seblen, sikuwa na wasiwasi sababu nilikua najua hana mme.

Upande mwingine alionekana dada akiandaa chai dining, na muda mfupi mama wa2 alikua katoka na amependeza sana.

MAMA WA2: “Insider mambo!”

MIMI: “Salama Mama mkwe , umependeza sana.”

(Alikua amevaa kipensi cha jeans na tishirt nyeupe zile za kubana)

MAMA WA2: “Eti eeh, karibu chai bhasi”

Na muda huu alikua akielekea dining na mimi nikamfuata kwa nyuma,

Mama wawili akaniandalia chai pale na tukaanza kunywa. Ilikua ni chai ya maziwa, chapati za maji, na maini ya roast.

MIMI: “Rachel yuko wapi? Simwoni”. (Rachel ni yule mtoto wake wa pili ambaye nampelekaga shule)

MAMA 2: “Rachel kalala bado.”

MIMI: “Muamshe mke wangu bhana.”

MAMA 2: “Yule akilalaga anamka mwenyewe.”

Baada ya ya kupata breakfast nilimshukuru Mama wa2 kwa chai na yeye alikwenda chumbani akatoka na mkoba, akasema yuko tayari kwa safari tuondoke.

Tukitoka pale kwake ilikua saa 4 na tukaanza safari ya kwenda Bagamoyo “The horizon”.

MAMA 2: “Insider itabidi tuingie ATM ya CRDB nitoe pesa sawa?”

MIMI: “Sawa bossy wangu, kuna ATM nitakupeleka.”

MAMA 2: “Nilishakwambia mimi sio Bossy wako.”

MIMI: “Sawa mama mkwe.”

MAMA 2: “Unakujua tunakokwenda?”

MIMI: “Ondoa hofu mimi ndo Insider.”

Tulitumia barabara ya Mwaikibaki ya Mbezi beach chini na tukaingia na ile barabara ya Mwamunyage, tukaja tokea kunduchi road hao tukaunga na Bahari beach.

Kabla hujafika Budget mbele kidogo ya Jambo supermarket kuna ATM za “NMB & CRDB upande wa kushoto wa barabara kama unakwenda Budget. Niliingia pale ili Mama wa2 aweze kutoa hela kama alivyokuwa ameomba.

MIMI: “Toa pesa nyingi bhasi tupate na hela ya mafuta.”

MAMA 2: “Leo nitakupa offa ya mafuta full tank”

MIMI: “Mvua itanyesha, unafanya kazi bank ila ni mbahili balaa.”

Muda huo alikua ameshuka kwenye gari ili aingie kutoa hela, lakini kulikua na foleni hivyo ilibidi asubiri mpaka ile foleni iishe na yeye ndo aingie. Si unajua mambo ya weekend tena, foleni ya kutoa pesa ilikua kubwa kubwa.

Mama wa2 alitumia kama dakika 5 mpaka anatoa hela na hao tukaondoka kuendelea na safari yetu.

MAMA 2: “Insider ukiona sheli ingia tuweke mafuta.”

MIMI: “Mama mkwe kumbe ulikua serious?”

MAMA 2: “Ulifikiri utani?, sasa subiri uone”

MIMI: “Leo unaonekana una vibe sana.”

MAMA 2: “Insider sijatoka muda mrefu sana, sijui ndo kuzeeka?”

MIMI: “Bado mbichi kabisa wewe, na unawazidi watoto wa 2000 mbali sana.”

MAMA 2: “Hahahaaa! Insider ningekua nimeolewa kama unayosema ni kweli, ona nimeishiwa kuzalishwa tu.”

Na muda huu tulikua tumeingia sheli ya ORYX pale Bahari Beach.

Na muda huu nilikua namsikiliza mama2 aseme tuweke mafuta ya shilling ngapi, na dada pale sheli alikua kaja upande wa dirishani kutusikiliza.

MAMA 2: “Dada weka full-tank”

Gari yangu ilikua na bar 2 tu za mafuta, sasa nilivyosikia full tank, nilifurahi sana.

Baada ya kujaza gari full tank, mama wa2 alilipia na nikaomba risiti kwa dada, nilikua siachi risiti baada ya kujaza mafuta.

MAMA 2: “Umeona eeh, leo nimekupa offa maana sjawai kukupa offa, japo wewe unanipaga offa sana.”

MIMI: “So unalipiza?”

MAMA 2: “Hamna narudisha fadhila tu.”

Ukweli ni kwamba licha ya kuingia mkataba na Mama wa2 ila bado nilikuaga nampa offa mfano, sometimes kama niko Posta nataka rudi home nilikuaga nina mpigia simu afu nampick nampeleka kwake for free, sababu tulikua tunakwenda njia moja.

Tulikwenda moja kwa moja na Bagamoyo road tulivyofika kijiji kinaitwa Zinga kuna sehemu tuliingia kulia, ilikua ndo njia ya kwenda “The Horizon”.

Muda tuliotumia kutoka Mbezi Beach mpaka tunafika Horizon ilikua ni kama saa 1 na nusu, na tulikwenda kuna sehemu moja ilikua imetulia na imejitenga.

Alikuja kaka ambaye ni mhudumu wa pale kutusikiliza na mama wa2 aliomba apewe mocktail na mimi niliagiza mocktail pia. Mocktail niliyoagiza mimi inatengenezewa ndani ya nanasi. (Nanasi linatobolewa afu mixers zinawekwa humo, ni nzuri sana)

Mama wa2 alinonekana kulipenda eneo hili jinsi ya utulivu wake na pia kulikuwa na watu wastaarabu sana maeneo haya.

Tulitoka hapo tukaenda sehemu ya Range (kupiga shabaha), mama wa2 akawa anapiga shabaha zake pale na mimi nilimwacha mimi nikarudi kukaa.

Muda huu Mary alinipigia simu na nikapokea simu yake haraka;

MIMI: “Hi Mary”

MARY: “Salama uko poa?”

MIMI: “Niko poa Mary, siku yako inakwendaje?”

MARY: “Leo ni weekend uliahidi tunatoka out.”

MIMI: “Yes nakumbuka ila niko Bagamoyo kuna mteja nimemleta huku namsubiri kama nitawai rudi nitakucheki sawa?”

MARY: “Sounds like today’s impossible.”

MIMI: “No I can’t break my promise.”

MARY: “Insider sema hutaki tu, hauko Bagamoyo wala nini.”

MIMI: “Mpaka nikutumie Location ndo uniamini?”

MARY: “I don’t trust you.”

Baada ya kumaliza kuongea naye nilimtumia palepale Location na Mary alionekana kukasirika sana. Sasa baada ya kumtumia Location kwa whatsapp na palepale alinipigia simu tena;

MARY: “Insider Horizon uko na nani?”

Hapo ndo nikakumbuka kumbe location niliyomtumia imeniumbua.

MIMI: “Nimemleta mteja Mary, si nimekwambia lakini?”

MARY: “Insider acha kuniona mimi mtoto, yaani umepeleke mteja Horizon na umsubirie tu, from nowhere?”

MIMI: “So you don’t trust me?”

MARY: “Insider mimi sio mtoto, huko upo na demu mnakula bata not more, anyway mimi sio mtu muhimu Kwako na nilishaliona hili.”

MIMI: “Mary huko unafika mbali sasa, nyie ni washikaji zangu sana.”

MARY: “Prisca akiomba date muda wowote unamkubalia ila mimi naomba kwa mara ya kwanza unani avoid.”

MIMI: “Mary si nimekwambia nikirudi nakucheki? Usinilaumu wakati siku haijaisha, kumbuka hii ni kazi yangu.”

MARY: “Insider bye have a good time there”
Na mary akakata simu.

Mary alionekana kuwa na hasira sana alikua kama mtu aliyepaniki na mimi nikampotezea sikutaka kujihangaisha naye kabisa.

Na baada ya saa mama wa2 alirudi kutoka range na alikuwa anahema sana;

MIMI: “Vipi kulikoni?

MAMA WA2: “Insider nimepatia shabaha 2, hahahaah” alikua akicheka

MIMI: “Muda wote huo ulotumia ndo umepata shabaha 2 tu?”

MAMA WA2: “Eeh Insider.”

MIMI: “Unachezea hela tu.”

MAMA WA2: “Afu kwanini umenikimbia?”

MIMI: “Niliona michezo ya kitoto ile.”

MAMA WA2: “Eeeh mimi nimeupenda mzuri kweli.”

MIMI: “Sawa bhana”

Na muda huo alikuja jamaa mmoja akasema kama tunataka kwenda kisiwani kuna boti inatoka beach sa10 na gharama zake ni 10,000 kwenda na kurudi kwa kichwa. Na mama wa2 alifurahi hizo taarifa na akalipa 20,000, alinilipia na mimi.

Na muda huo tuliagiza chakula maana ilikua ni mchana saa7 tayari imefika na njaa zilikua zikiuma sana. Tuliendelea kupiga story pale na tulikua tukizungumza sana mambo ya maisha, Mama wa2 alikua ni mtu ambaye alikuwa na mipango mingi sana.

Kupitia mazungumzo yetu niliweza kujua kwamba Mama wa2 anajenga nyumba Madale, pia anabiashara ya kutoa huduma za kifedha kwa simu na Bank. Hivyo akanambia anampango wa kufungua biashara ya mapazia na urembo wa nyumba.

Aliniuliza mipango yangu pia na sikusita kumwambia baadhi ya mipango yangu, nilimwambia kesho ambayo jumapili ninakwenda Dodoma kwaajili ya mambo ya ujenzi. Na alinipongeza sana akanambia kama nitahitaji mkopo kutoka bank nimwambie atanisaidia kupata kwa haraka na bila masharti mengi.

Tulizungumza mambo mengi sana na alikua pia akiniuliza sana kuhusu origin yangu na kuhusu familia yangu na maisha yangu kwa Ujumla.

MAMA WA2: “Hivi Insider unakaa wapi?”

MIMI: “Mbezi Massana kule juu.”

MAMA WA2: “Kumbe hutokei mbali.”

MIMI: “Sio sana ila kuna kaumbali.”

MAMA WA2: “Kidogo kule kumechangamka sana.”

MIMI: “Sababu ya Hospital naona pia ni kama kacentre flani hivi.”

MAMA WA2: “Chuo umesoma wapi?”

MIMI: “Chuo X “

MAMA WA2: “Mtoto wa mjini wewe, ndomana baada ya kumaliza chuo hukutaka kurudi home.”

MIMI: “Niliamua kuhustle hapahapa mjini. Hivi kwanini huna mpango wa kumiliki gari.?

MAMA WA2: “Nilikua na gari mbona, mwakajana nilipata ajali mbaya sana Insider na gari ilikua haifai. Nashukuru Mungu nilitoka salama kabisa, niliitengeneza ila gari na nikauza, sitak kusikia tena habari za gari, ila nikimaliza ujenzi nitanunua.”

MIMI: “Pole sana na ilikua gari gani?”

MAMA WA2: “Harrier, na nilichukuaga mkopo kisa gari.”

MIMI: “Pole sana Mama mkwe.”

MAMA WA2: “Ahsante, gari hata mwaka haikufikisha ikala mueleka.”

Na baada ya kumaliza kula tuliagiza wine na tukaendelea kunywa taratibu pale huku story zikiendelea.

Mida ya saa 10 jioni tulitoka na kwenda Beach kwaajili ya kwenda kisiwani, sasa kama unakwenda kupanda boti beach kuna kidaraja cha mbao kizuri sana na watu wanapendaga sana kupiga picha pale. Na pale Mama wawili alinipa simu yake nimpige picha na mimi sikuwa na hiyana nikampiga picha za kutosha.
(Kwa mtu anayekwenda Horizon lazima apige picha pale)

Tulipanda kwenye boat na kwenda kisiwani, Boat lilikua kubwa na tulikua kama watu 30 mle ndani. Kilikua ni kisafari cha kama dakika 20 mpaka kufika kisiwani. Muda huo kila mtu alikua na simu yake akichukua self wengine wakichukua video na wengine wakipigana picha, ilikua ni burudani kwakweli.

Tulifika kisiwani na tuliwakuta watu wengine kule, yaani kulikua na watu kibao pale kisiwani. Ni kisiwa kadogo sana wala sio kikubwa kihivyo. Na mle kisiwani kulikuwa na michezo kibao kama mpira wa miguu, na wanawake walikua wakicheza netball, ilikua ni burudani sana asee.

Tulikua watu wazima mle kisiwani na full vibe wanawake walionekana na vichupi, wengine taiti nknk, wanaume wapo waliokuwa na boxer na wengine bukta. Mimi nilikua nimevaa track nikavua nikabaki na boxer, kwa upande mwingine nilimwona mama wa2 kwa mbali akiwa na taiti alivua kile kipensi chake.

Tulitengeneza timu za watu sita (6) na zilikuwepo team 3 sasa ilikua ni mtoano. Tulilisakata kabumbu pale na kila mtu alikua na vibe sana mle kisiwani. Hakuna sehemu ngumu kusakata kabumbu kama Beach asee unatumia sana energy watu walikua wanaflop balaa.

Kuna muda tulipumzika na Mama wa2 akaomba twende upande wa2 wabahari na akaomba nimpige picha.

Tulikaa pale mpaka saa 12 ndio tukaanza kutoka pale kisiwani, wakati tumepanda kwenye Boat, Nahodha aliuliza kama wote tumefika kabla hatujaondoka na seat zote zilikuwa zimeenea.

Tulitumia kama nusu saa hivi kuwasili pale Beach na tulirudi tukakaa na tuka order vinywaji, muda huu palionekana kupendeza sana maana kulikuwa na watu wengi wakinywa, wakienjoy maisha.

Mama wa2 aliagiza Savannah na mimi niliagiza Heineken kinywaji changu pendwa. Muda ule hata mimi nilikua nahamu ya kuvibe, maana sikuwa na miadi na Iryn. Nilichungulia simu yangu na nikakuta, Prisca, Mary na Mama J wamenipigia simu.

Nilishangaa sana kuona Mama J kanipigia simu na alikua kanitumia text ambayo ilisomeka

“Naona nimekupa chance ya kuwa na Malaya wako ndomana hunitafuti.”

Palepale nilitabasamu nikasema Mama J tayari hasira zimeisha. (Mama J ni mtu ambaye hapendagi kufosiwa huwa anataka maamuzi afanye mwenyewe ndomana mimi na yeye tukigombana, huwa namuacha atulie kwanza au anitafute mwenyewe hapo ndo tunayajenga).

Nilimuaga Mama wa2 naenda kwenye gari maramoja ili nimpigie simu, na nilitumia muda huo kumpigia Mama Junior lakini hakupokea simu, nilipiga mara3 lakini hakupokea simu zangu.

Muda huo nikampigia simu Prisca na alipokea muda uleule ni kama mtu ambaye alikua akisubiri simu yangu kwa hamu sana.

PRISCA: “Hi Insider”

MIMI: “Safi tu, now uko sawa?”

PRISCA: “Yeah, ulisema tuonane tuongee”

MIMI: “Ndio nafikiri tufanye J3 Prisca maana kwa leo itakua ngumu si unajua leo ni weeknd kazi ni nyingi?”

PRISCA: “Jumatatu ni mbali sana why not tomorrow?”

MIMI: “Kesho nasafari ya Dodoma ndomana nikasema nitakuona Jumatatu.”

PRISCA: “Insider unaondoka hata hunambii are you serious?”

MIMI: “Sorry hata hivyo safari imetokea haraka tu, haikuwa kwenye mipango yangu.”

PRISCA: “Unakwenda kufanya nini Dodoma?”

MIMI: “kuna kazi mzee amenituma nikaifanye.”

PRISCA: “Kazi gani.?”

MIMI: “Prisca sijajua bado ila nikienda ndo nitajua maana kuna mtu nitaonana naye nikifika.”

PRISCA: “Na unarudi lini?”

MIMI: “Prisca si nilikwambia narudi jumatatu na tutaonana? Nitatumia ndege ili niwai.”

PRISCA: “Okay nilisahau na unaondoka muda gani?”

MIMI: “Natakiwa kuchek-in saa 2 asubuhi naondoka saa4”

PRISCA: “See you later, byee.”

Kuhusu Mary sikutaka kuhangaika naye hata kumpigia maana nilikua sina cha kumwambia muda ule, zaidi ningemdanganya tu.

Muda ule nilirudi kwa Mama wawili na tukaendelea kunywa pale, Mama wa2 akaanzisha maongezi,

MAMA WA2: “Vipi ulienda kuomba ruhusua nini?”

MIMI: “Hahaahaa nilikwenda chukua chaji ya simu na muda huu nilikua nimeishika mkononi.”

MAMA WA2: “Kama wamekupigia simu sema bhana tuondoke.”

MIMI: “Wewe ukisema tuondoke ni sawa mimi sina shida kabisa. Nikalale mapema kesho nasafari asubuhi.”

Nilikaa pale tukaendelea na story na muda ule Mama wawili alinonekana na furaha sana,

MIMI: “Mama mkwe naona leo unafuraha sana kuliko siku zote.”

MAMA WA2: “Leo nimeinjoy sana kule Beach honestly huku nitakuja tena, nilikuona unasakata kabumbu upo vizuri sana.”

MIMI: “Mpira ni kipaji changu sana, nimechezea team ya shule wakati niko form4 na 6.”

MAMA WA2: “Nilikuona asee unakimbiza balaa.”

MIMI: “Si unajua life is too short, If you get a chance celebrate.”

MAMA WA2: “You only live once”

MIMI: “Vipi lakini kuhusu mwanao Pili anaendeleaje na masomo?

(yule mtoto wake wa kwanza ambaye yuko Advance).

MAMA WA2: “Yuko salama kabisa na jana nimeongea na Matron wao yuko vizuri.”

MIMI: “Anasoma wapi?

MAMA WA2: “Yuko hapo Kerege Marian Girls.”

MIMI: “Sasa mbona hukusema tupitie kumsalimia?”

MAMA WA2: “Insider kuna tarehe special za visiting, pia watapewa likizo kwaajili ya Easter.”

MIMI: “Hongera sana kwa kuwa na bint mkubwa, soon utaanza kula matunda yake.”

MAMA WA2: “Insider sipendi bint zangu waje kuwa kama mimi mama yao.”

Na muda huu tuliongeza vinywaji vingine na mama wa2 alikua akitawala mchezo katika maongezi.

MIMI: “Kwanini? Maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.”

MAMA WA2: “Insider you know sometimes sisi wanawake tunapitia vipindi vigumu sana, kuna mwanaume kukuoa na mtoto ni ngumu sana. Mimi siwezi kuwa na mume tena mpaka kufa kwangu.”

MIMI: “You never know, sometimes Mungu anakua na mipango yake huwezi jua kakupangia nini na amekuepusha na nini.”

MAMA WA2: “Unajua sometimes tunamwonea Mungu, kwamba alipanga mimi kuwa single mother?. Unajua Mwanamke bila mume hajakamilika, hakuna mwanamke asiyependa kuolewa Insider. Mwanaume ni kama kiongozi kwenye mahusiano au familia, unafikir najiskiaje kuona wanangu hawawaoni baba zao? Mwanaume mpaka ajiskie ndo anakuja kumwona mtoto atlist rachel anamwona Baba yake mara kwa mara ila Pili anaenda mwaka hajamwona Baba yake.”

MIMI: “Aisee pole sana, unakidonda kikubwa sana Mama mkwe.”

MAMA WA2: “Usione tunavaa tunapendeza tunacheka lakini nakidonda kikubwa sana moyoni. Nashukuru Mungu na kazi ambayo inanipa kipato napata pesa ya kuishi na Familia yangu.”

MIMI: “Kwani Baba yake na Pili yuko wapi?”

MAMA WA2: “Yuko Mwanza ni moja ya wanaume ambao wamesababisha mimi leo kuwa hivi.”

MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”

Kwa kifupi kutokana na maelezo ya Mama wa2 alisema alikutana na Baba Pili mwaka 2003 mwanza wakati anafanyia kazi kampuni moja huko. Baada ya hapo wakaanza mahusiano na Baba yake Pili ni mfanyabiashara, hatimaye akapata mimba ya Pili ila baadae alikuja kujua jamaa ana mke na watoto wa2. Na kipindi hicho alianza kupata vitisho kutoka kwa mke wa jamaa, na pia kutokana na kuwa na mimba kampuni ikamwachisha kazi ikabidi afanye mchakato wa kurudi kwao Moshi kwa Mama yake.

Baada ya kuzaa alikaa kama miaka 2 kwao akimlea mtoto na hicho kipindi chote Baba mtoto hakuwai mtafuta wala kujua hali yake. Baada ya hapo alianza kutafuta kazi na akapata moja ya shirika pale Moshi na alifanya kazi mpaka 2012 ndo akapata connection na moja ya wateja wake. Anasema kwenye lile shirika alikuwa akilipwa mshahara kidogo sana na kipindi hicho alikua anakaa kwao. Huyo mtu alimuunganisha Mama wa2 na huyu mtu ambaye ndo Baba yake Rachel kwa sasa.

Baada ya kupewa namba za Baba Rachel aliwasiliana naye na akamtumia CV yake, Baada ya Mwezi alimpigia simu aende Dar es salaam kwaajili ya training. Mama wa2 anasema alishangaa sana maana hata hakufanya Interview yoyote, jamaa alifanya kumsaidia tu. Alifika Dsm na alikutana na Jamaa ambaye alimpokea na baada ya kumaliza training alipangiwa kazi hapahapa Dar es Salaam. (Baba yake Rachel ni moja ya watu wakubwa sana kwenye hiyo Bank hapa nchini na ni moja ya Directors anaonekana sana kwenye TV).

Baada ya hapo Jamaa alimtongoza kutokana na jamaa kumsaidia hakusita kumkatalia sababu ndo aliyemsaidia kupata kazi. Lakini Jamaa alimwambia kuwa ana mke tayari na wakakubaliana akipata mtu sahihi awe huru kuolewa naye. Waliendelea kuwa na mahusiano ya siri mwisho wa siku akapata mimba ya Rachel, hakutaka kutoa mimba ikabidi azae tu ndo kupata mtoto wa pili.

MIMI: “Aisee yule ndo Baba yake Rachel?”

MAMA WA2: “Ndio yule ni Baba yake Rachel, Nashukuru anampenda sana mwanaye huwa anatafuta muda sana wa kukaa ba Bint yake japo ndo siri mke wake hajui lolote.”

MIMI: “Kama anajali mtoto sio mbaya, vipi kuhusu Baba Pili ndo alitelekeza mtoto.?”

MAMA WA2: “Baba Pili alikuja kunitafuta wakati Pili ana miaka 2 ndo kidogo akaanza kutuma Pesa za matumizi na kumwona.”

MIMI: “Mama mkwe ulipitia kipindi kigumu sana, pole sana.”

MAMA WA2: “Ahsante kipindi niko pale Moshi na lile shirika nilipata mwanaume ambaye alinipenda sana na alikua tayri kunioa ila nilivyomwambia nina mtoto alikimbia nduki na hakuwai nitafuta tena, kwa ujumla nilipata wanaume 3 lakini wakisikia habari ya mtoto ndo inakua tiketi ya kuondoka.”

MIMI: “Muda bado Mama Mkwe utapata tu wa kukuoa usiwe na wasi wasi umri bado unaruhusu.”

MAMA WA2: “Insider Mwanaume kamili aliyekamilika ambaye hatumii hisia kwenye maamuzi hawezi kukubali kuoa mwanamke aliyezalishwa na Mwanaume mwingine. Insider wewe uko tayari kuoa mwanamke ambaye amezalishwa na mwanaume mwingine?”

MIMI: “Hapana kwakweli siwezi.”

MAMA WA2: “Sasa unaona! Mimi huwa nawashangaa sana vijana wanaoa single mothers hata kama ni kupenda ila ni Risk sana.”

MIMI: “Aisee kwamba hutaki Single mothers waolewe?

MAMA WA2: “Hapana ila kwa Mwanaume hakikisha Baba mtoto amekufa na akuonyeshe kaburi otherwise hesabu maumivu. Ila wapo wanawake single mothers wanajitambua ila ni wachache sana.”

MIMI: “Unachosema ni kweli na upande wa Single fathers?”

MAMA WA2: “Tofauti wanaume anaweza kuzaa na mwanamke yoyote yule, wanaume wana tamaa tofauti na mwanamke anazaa na mwanaume anayempenda regardless kama anapendwa au laah!”

MIMI: “Naona leo umenipa lecture ya Mapenzi.”

Na muda huu tulikua tunaendlea kunywa bia kwa wingi sana kama ratiba za kurudi home zilipotea hivi,

TUTAENDELEA!

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
.
 
EPISODE 21

“Insider……. Nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”

ENDELEA……..


Na muda huu nilitumia kusogea pale kitandani na kumsogelea karibu maana alikua amekaa kitandani.

“Prisca kwahiyo umekubali kuwa mchepuko?”

Prisca alijibu kwa kutingisha kichwa kuonesha yuko tayari kufanywa kuwa mchepuko wa Insider.

“Kwanini unataka nikufanye mchepuko? Nafikiri option 2 ingekua nzuri zaidi, tuwe washikaji tu.”

“Ulinipa choice sasa nimechagua option ya 1. Nimeridhika hivyo kwa maamuzi yangu.”

“Okay haina shida kama umeamua hivyo ila…..” Prisca alinikatisha wakati nikiendelea kuongea.

“Insider, nioneshe picha za mke mkubwa bhasi nimjue hata kwa picha na mtoto wangu.”

Nilichukua simu ambayo ilikua mezani na nikaanza kumwonesha picha za Mama Junior, pamoja na zile za Junior.

“Insider umefanana sana na mwanao copyright.”

“Risasi zangu mimi ni genuine grade A”

“Hivi na mimi nikipata mimba si tutapata mtoto mzuri sana, tena atakuwa wa kike.”

Yaani tuseme Prisca alikua tayari karidhika kuwa mchepuko kiukweli nilishangaa sana, na bado akaanza kuleta story za kushika mimba, nilimwona mwanamke wa ajabu sana.

“Upate ujauzito na mme wa mtu, are you serious?”

“Insider najikuta natamani kupata mtoto, Junior ni mzuri sana. Najikuta natamani na mimi nipate mtoto.”

“Embu nenda kaoge tuondoke maana ulisema unataka kurudi mapema home au tulale hapahapa?”

“Natamani ila Mzee Mapembe yupo leo, acha nikaoge tuondoke.”

Ile anashuka kitandani nika muwasha kibao cha kalioo “Paaah”

Nilijiona Alpha kwakweli nikasema sasa huyu nitampa sheria zangu ili asije kuleta sintofahamu huko mbeleni, lazima nimcontol kama remote, maana nikifanya makosa tu itakula kwangu.

Na muda huu niliwaza asajili namba mpya ila kwa jina lingine, na pia nitampa ratiba za kuwasiliana naye pamoja na kuchat na mimi.

Na wakati huo alikuwa katoka kuoga kajifunga taulo kuanzia usawa wa matiti kushuka chini, na mimi nilivyomwona tena akiwa vile nikaanza kusisimuka. Na palepale nikamsogolea nikampiga kingine cha kuondokea nyumbani.

Nilimrudisha kwao saa 6 usiku na mimi nikaondoka kurudi kulala.

**********

Asubuhi Muajemi alinipigia simu na akaniomba niende kwake saa4 asubuhi kuna sehemu twende wote, na mimi niliikubali ile offa sikutaka kumkatalia Tajiri.

Saa4 ilipowadia nilikwenda kwa Muajemi na yeye alikua anakaa msasani unaingilia kushoto kabla hujafika Tanesco Mikocheni. Na alikuwa hakai mbali sana na maeneo yale.

Nilifanikiwa kufika pale anapoishi maana alikuwa kanitumia location kupitia Telegram, Muajemi alikua anatumia sana huu mtandao sijui kwanini.

Ilikua ni nyumba ya ghorofa 2 na ilikua nzuri sana na alikua anakaa na mke wake (Mke mdogo) na alikuwa amezaa naye watoto wawili (2).

Mlinzi alinifungulia geti na nikapark gari langu, alitoka dada wa kazi kunikaribisha, na ndani ya dakika chache Muajemi alikua ametoka na tulikaa garden.

MUAJEMI: “Bro! Hapa ndo naishi, jiskie upo nyumbani.”

MIMI: “Ahsante sana”

MUAJEMI: “Dada tuletee chai tunywee hapahapa na Insider.” Nilishangaa kuona dada anajua kuongea kiingereza.

MIMI: “Bro! shemeji yuko wapi?”

MUAJEMI: “Yuko mishemishe anachacharika”

MIMI: “Na watoto?”

MUAJEMI: “Watoto wako shule”

Tulikaa pale na Muajemi tukipiga story mbalimbali na moja kubwa alilisema ana mpango wa kufungua Filling stations hapa Tanzania, ila bado anakutana na upinzani mkubwa sana hasa kutoka kwa wenye mamlaka.

Saa 5 ndo muda tuliotoka pale na tulitumia gari yake Range sport nyeusi. Mimi nilikua sijui tunakwenda wapi lakini tulikwenda mpaka Kigamboni “South Beach hotel”.

Aliniacha na alikwenda kuonana na watu wake na alitumia masaa 3 wakatoka. Baada ya hapo tulikwenda Kurasini kwenye ofisi za Puma, na tukaondoka pale tukarudi Posta.

Tulikwenda kwenye duka moja kubwa la simu ambalo ni la mke wake alinambia hivyo, tukaenda mtaa wa India kwenye maduka ya Jewerly na tukaingia moja ya duka kubwa pale, alinambia nalo ni la mke wake.

“Insider ukitaka pete ya uchumba, pete za harusi, necklaces kila kitu kipo hapa”

“Bro! hizi bei mimi siwezi kwakweli.”

“Wewe utapewa discount usijali.”

Hapo ndo nikajua kumbe zile zawadi alizompa kwa Iryn alizichukua madukani.

Tulitoka hapo tukaenda pale Holliday inn tukapata chakula japo ilikua jion tayari. Na wakati tuko pale tulikuwa tukizungumza mambo mengi sana.

MIMI: “Tanzania una muda gani toka umeanza kuja?”

MUAJEMI: “Bro! Tanzania nimeanza kuja since 2008, kampuni yetu inafanya kazi karibu nchi zote za Africa, tunauza hizo pumps za mashine za sheli, tunauza lubricants za aina zote. Kwa upande wa mafuta kampuni yetu ina deal kama middle man, kwa ufupi tunaingia mikataba na serikali na makampuni mbalimbali hasa kwa Africa.”

MIMI: “Na kuhusu lubricants?”

MUAJEMI: “Bro! sisi ni exporter ila kila nchi tuna Madalali wetu tunaofanya nao kazi, ndo biashara zinavyokwenda hapa duniani, middle man huwezi wakimbia. Mfano tuna export contena 20 za lubricants kuja Tanzania kwa Agent yetu (middle-man) yeye anasupply kwa agents zake.”

Muajemi aliniambia siri nyingi sana hasa kwenye mafuta alisema watu wanapiga sana hela hasa hawa viongozi wa serikali, sitaki kufungua code kabisa. Muajemi alisema viongozi wa Africa wengi ni ma middle man wanakula sana hela huko, invoice zinachezewa balaa, ila mnaoumia ni nyinyi watumiaji wa mwisho.

MIMI: “Vipi mnawasiliana na Iryn?”

MUAJEMI: “Bro hata jana nimempigia simu, nikamwambia mzigo wake umefika tayari, aliniambia nimtumie account yangu anitumie pesa. Nimeshangaa sana na nimeona dharau sana kwangu.”

MIMI: “Hahahaha wewe ulifanyaje?”

MUAJEMI: “Nilimwambia nimempa offa tu, alinambia pia hakuna cha bure hapa duniani”

MIMI: “Unajua nini, we fanya kumwomba mtoke out, uendelee kumsogeza karibu.”

MUAJEMI: “Badae nitaongea naye, ukisha mpelekea mzigo wake.”

Tulitumia kama nusu saa pale na tulielekea Upanga na kuna mtu tulikutana naye ambaye ni Muajemi alikuwa, akatutolea ile mizigo kwenye Box, na zilikua box 7.

Kijana alipanga kwenye buti vizuri na tukaondoka kurudi Msasani, na muda huo ilikua giza limeanza kuingia.

Tuliwasili pale kwake na akanambia jumapili anakwenda Saudi Arabia hivyo lazima aonane na Iryn haraka iwezekanavyo. Mlinzi alikuja akatoa ile mizigo kwenye gari na akaipanga kwnye gari yangu.

Nilimuaga Muajemi pale na alitoa hela mfukoni akanikabidhi mkononi, alizitoa bila kuhesabu. Nilimshukuru pale na nilivyofika kwenye gari na kuhesabu zilikua ni 420,000/=.

Niliwasiliana na Iryn muda ule akasema nitamkuta kwake, nilifika pale nikafungua geti nikaingiza gari ndani. Na muda huo jirani alikua pale nje amekaa kibarazani.

MIMI: “Jirani nakuona umepumzika huna baya.”

JIRAN: “Jirani nimechoka tu.”

MIMI: “Huonekani siku hizi, ulikuwa umesafiri nini?”

JIRANI: “Mimi au wewe? Maana mimi nipo wewe ndo umetutenga bhana.”

MIMI: “Ngoja nikasalimie ndani, badae bhasi.”

JIRANI: “Wahi baba, atakua amekumiss.”

Niliishia kucheka tu nikasema lait Jirani angelijua hata asingesema hivi.

Niliingia ndani nikamkuta Iryn kalala kizembe pale seblen, maana alikua kavaa vile vibukta vifupi sasa mimi nikawa namwangalia pale kwa macho ya kifisi.

IRYN: “Insider vipi mbona sikuelewi?”

MIMI: “Unalalaje kizembe hivo.”

IRYN: “Sasa ulitaka nilalaje?”

MIMI: “Na mizigo yako kutoka kwa Muajemi ipo kwenye gari.”

IRYN: “Wow jana alinambia imefika, ila hataki nimtumie hela yake.”

MIMI: “Muajemi amekupa offa wewe unaleta habari za malipo”

IRYN: “There is no free meal in this world”

MIMI: “What do you mean?”

IRYN: “Twende tukatoe kwenye gari.”

Tulitoka nje na yeye alikuwa na kibukta chake vilevile tukasaidiana kutoa ile mizigo na tukaweka pale nje kibarazani. Na muda huo Jiran alikuwa akituangalia sana.

MIMI: “Hivi hapa kibarazani hawawezi kuiba?”

IRYN: “I don’t think so.”

Bhasi baada ya kumaliza kuweka zile box pale ambazo zilikua no vifaa vya saloon, kutokana na Iryn alisema zile mashine ni advanced kwenye upande wa saloon pia ni ghali. Na alisema zile mashine zimecost $24,000 mpaka kodi pale bandarini na zitakwenda Masaki.

Na wakati huo muda ulikuwa umekwenda sana, ilikua usiku tayari.

“Insider kesho uje mapema twende Posta nikanunue nguo maana nina hitajika kwenda kwenye ofisi ya mama.”

“Unakwenda muda gani?”

“Saa 7 mchana.”

Bhasi na mimi sikukaa pale kabisa nikaaga nikaondoka kurudi home maana nilitaka kurudi mapema nikaongee na Mzee Mollel nijue hata Ujenzi unakwendaje kule Dodoma.

*********

Ratiba zangu za asubuhi zilikuwa vilevile lazima nikawachukue wateja zangu lakini hii week ilikua tofauti kidogo toka nitoke Dodoma. Mtoto wa Mama wa2 naye alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nilikua namchukua Maggy tu.

Baada ya kumpeleka Maggy Posta ilibidi niende Kijitonyama mapema kwa Iryn kama tulivyokubaliana. Nilifika pale kwake na alikuwa bado kalala, nilimpigia simu na akatoka kunifungulia mlango.

Tulisalimiana pale na yeye akasema anakwenda kuoga ili tuwai kwenda mapema Posta.

Baada ya kuwasili Posta kuna duka tuliingia la nguo “special”. Iryn alinunua nguo nyingi tu pale za kiofisi ikiwemo suti ya suruali na alikua anajaribisha palepale.

Tulirudi haraka Kijitonyama na alijiandaa pale kwa haraka na alitoka akiwa amependeza sana. Alikuwa kavaa suti ya dark blue na ilionekana kumpendeza sana mrembo Iryn.

Tukaondoka kuelekea Masaki kwenye hio Organization. Muda huo ilikua saa 7 mchana na nilimshusha nje ya geti la Organization.

“Insider nitakupigia nikiwa tayari sawa?” na yeye akaingia ndani.

Mimi nilitoka hapo na nikatafuta chimbo kwa mbele nikapark gari langu.

Lengo kubwa la kwenda kwenye hii Organization ni kufanyiwa interview na kusaini forms, Iryn alisema wanamfanyia interview ili wajue zile pesa atazifanyia nini maana ni nyingi sana kwa umri wake.

Wakati niko kwenye gari nilikua nikiperuzi peruzi kwenye social medias nikiangalia mambo yanayoendelea na kutrend. Na muda huo Mary alinipigia simu, nilishangaa sana kuona akipiga simu.

MIMI: “Mary mambo.”

MARY: “Salama za kunisusa?”

MIMI: “Mimi au wewe ndo umenisusa?”

MARY: “Mimi sijakususa ila uliniboa, na unajua sababu.”

MIMI: “Ok am sorry, sindo unataka kusikia hivi?

MARY: “Insider juzi ulikuwa na Prisca?”

MIMI: “Why?”

MARY: “Insider ulikuwa na Prisca, don’t lie”

MIMI: “Afu Mary mimi sikuelewagi ujue, you keep asking me everyday. Mdogo wako akichelewa kurudi unaniuliza mimi badala umbane Prisca, this behavior has to stop”

MARY: “It’s okay, upo wapi?.”

MIMI: “Niko masaki now, unahitaji usafiri?”

MARY: “Kama utakuwepo Posta, jioni utanambia.”

MIMI: “Sawa Bossy wangu”

Na muda huo alikata simu

Ukweli ni kwamba nikizurura hivi na Iryn nilikuwa naingiza pesa nyingi tu, sikosi laki, laki2 itadepend na yeye hio siku ana mood gani, japo kuna baadhi ya trip nilikua nakataa pesa zake.

Nilisubiri pale kwa almost saa zima nikimsubiri atoke na muda huo ndo alinipigia nisogee ili tuondoke.

Wakati nimesogea pale karibu nilimwona akiwa na Mama Janeth na wakapanda kwenye gari.

“Insider twende Levant tukale nafikiri ni sehem nzuri ambayo imetulia.”

Kutoka kwnye ile Organization hata sio mbali na ndani ya muda mfupi tulikuw pale Levant.

Na kila mmoja aliagiza msosi anaojua yeye na Mama Janeth na Iryn waliendelea kuongea, maana toka tukiwa kwenye gari walikuwa wakiongea sana, ni kama walikuwa wanaendeleza mazungumzo yao.

IRYN: “Mama ndo hivyo kama nilivyokwambia zile mashine zimefika tayari, utaziona ni nzuri sana na zitatusaidia.”

MAMA JANETH: “Na suala la massaji tutapata wataalamu na wakuaminika?”

IRYN: “Mama hata mimi nitawafundisha niko vizuri sana.”

MAMA JANETH: “Sawa mwanangu uwepo wako umekuwa baraka sana.”

IRYN: “Director muda ule alikuwa anasema Organization itanipa sponsorship ya Postgraduate, ni muda gani ita expiry?”

MAMA JANETH: “Hio ni wewe tu sidhani kama ina kikomo, vipi kwanini hutaki kufanyia kazi Organization?”

IRYN: “Mama si nitabanwa sana, na biashara zikayumba?”

MAMA JANETH: “Mbona mama yako alikuwa busy na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri tu.”

IRYN: “Mama labda baadae kwa sasa hapana.”

MAMA JANETH: “Pale home unaishije? Maana sijaja na muda.”

IRYN: “Salama ila nafikiri mwezi ujao niondoke, ili uweke mtu ile ni biashara yako. Kipindi kile nilikuwa mgeni ila sasa nishayazoea mazingira, Insider ananisaidia sana.”

MAMA JANETH: “Hata mimi nakuona kuna utofauti mkubwa sana ulikuwa unajifungia tu ndani. Ila pale ni nyumbani unaweza kuendelea kukaa tu mwanangu hata usiwe na wasiwasi.”

IRYN: “Nataka nibadilishe mazingira pia.”

MAMA JANETH: “I understand.”

Tulitumia kama dakika 45 pale Levant na tukaondoka pale, tulimrudisha Mama Janeth kazini na sisi tukaondoka kurudi Kijitonyama.

Na wakati tunarudi tulitumia Kimweri Ave Road, hii barabara inakuja kutokea pale Mikocheni, Mwaikibaki road.

MIMI: “Iryn muda ule nilisikia mkiongea na Mama Janeth kuhusu kuhama pale Kijitonyama.”

IRYN: “Ndio Insider nataka kuhama pale, sikukwambia kama zile Apartments ni za mama Janeth?.”

MIMI: “Hapana hujawai kunambia.”

IRYN: “Ni Apartment zake, wakati nimerudi Tanzania kutoka Ufaransa nilifikia kwa Mama Janeth. Niliona nakosa uhuru wa kutoka usiku na kufanya kazi zangu, ndo nikamwambia nataka kupanga ndo akanionesha apartments mbili ya Mikocheni na hii ya Kijitonyama. Mimi niliipenda ya Kijitonyama ndo akaninulia vitu vyote unavyoviona mle ndani.”

MIMI: “Aisee kumbe”

IRYN: “Insider kukutana na wewe ni kama Baraka kwangu maana nilikuwa mtu wa kujifungia ndani tu.”

MIMI: “Nilikuahidi kukupeleka kula kitimoto na pia nitakupeleka ukale Biriani la selebonge.”

IRYN: “Week tayari hujatimiza ahadi.”

MIMI: “Better late than never.”

IRYN: “Don’t make Promises you can’t keep.”

MIMI: “Sema tumekula tayari, tena leo Ijumaa ningekupeleka pale kwa Selebonge tukale biriani.”

Tulitumia muda mchache kufika pale kwake baada ya kupark gari yeye aliingia ndani na mimi nikaenda kufunga geti.

Niliingia seblen na nikakaa kwenye coach na kwenye meza kulikuwa na kitabu kama magazine tuseme, kilikuwa ni cha mambo ya fashion, nilikuwa nakipitia nakiangalia yaliyomo ndani.

Wakati nikiendelea kuangalia picha za mle ndani nilisikia Iryn akiniita kutoka chumbani kwake,

IRYN: “Insider………”

MIMI: “Nambie mummy”

IRYN: “Come in please.”

MIMI: “In your room?”

IRYN: “Yes are you afraid? Njoo bhasi haraka.”

MIMI: “Okay am coming.”


TO BE CONTINUED

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Now
 
Back
Top Bottom