Jinamizi ni nini? Kwanini hutokea wakati wa kulala tu?

Huuu ni ushetani, mie hunijia siku nitakayo pumzika pombe.. nikilewa may be huja lakini si feel chochote sababu ya mtungi. Iman yangu ndio hunikwamua
 
Habari wana jamii, hivi kuna uhusiano gani kati ya kulala chali na ndoto za ajabu/kutisha.

Kila nikilala hasa nikilala chali nimekua nikiota ndoto zenye kutisha tisha mfano naitwa na mtu lakini siwezi kuitika kwa sauti pia nishawai kuota nakimbizwa au mimi namkimbiza mtu kutaka kumpiga. Je kuna uhusiano gani wa kulala chali na ndoto za aina hii?

Jagood.
 
Mimi huwa naota nakimbia then naanguka nainuka tena nakimbia then naanguka mwendelezo unakuwa ni hivyo hivyo
 
What Is Sleep Paralysis?

Sleep paralysis is a feeling of being conscious but unable to move. It occurs when a person passes between stages of wakefulness and sleep. During these transitions, you may be unable to move or speak for a few seconds up to a few minutes. Some people may also feel pressure or a sense of choking. Sleep paralysis may accompany other sleep disorders such as narcolepsy. Narcolepsy is an overpowering need to sleep caused by a problem with the brain's ability to regulate sleep.
 
Habari wana jamii, hivi kuna uhusiano gani kati ya kulala chali na ndoto za ajabu/kutisha.

Kila nikilala hasa nikilala chali nimekua nikiota ndoto zenye kutisha tisha mfano naitwa na mtu lakini siwezi kuitika kwa sauti pia nishawai kuota nakimbizwa au mimi namkimbiza mtu kutaka kumpiga. Je kuna uhusiano gani wa kulala chali na ndoto za aina hii?

Jagood.
Hii hata mimi ninayo ni vizuri umeileta. Ngoja tusubiri wajuvi wa mambo wake watusadie
 
What Is Sleep Paralysis?

Sleep paralysis is a feeling of being conscious but unable to move. It occurs when a person passes between stages of wakefulness and sleep. During these transitions, you may be unable to move or speak for a few seconds up to a few minutes. Some people may also feel pressure or a sense of choking. Sleep paralysis may accompany other sleep disorders such as narcolepsy. Narcolepsy is an overpowering need to sleep caused by a problem with the brain's ability to regulate sleep.
uko sahihi kabisa mkuu kula like
 
Msaaidizi wake nipo Ni hivi ukilala kwa kuangalia juu (kifo cha mende) unakua umegandamiza ubongo hivyo kunakua na uwezekano mkubwa Kuota ndoto za kutisha. Kwa wale wanywaji wazuri watakubaliana nami kwamba siku hawajanywa inakua ngumu kupata usingizi kutokana na msuguano au mvutano wa mishipa ya fahamu na hii huwaletea kuota ndoto za kukabwa. Wengine huamini kwamba ni jinamizi lakini ukweli ni kwamba Mishipa ya fahamu Huwa inajikunja na kunyooka hivyo kusababisha kupata ndoto hizi. Ni hayo tu kidogo nijuavyo.

Wasalaam.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom