Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Napatwa utata pale mtu anapoulizwa jina lake au kuagizwa aandike jina lake, kisha anajibu au kuandika, mimi ni fulani fulani fulani ( John Alfa Mohamedi).
Ni sahihi mtu kujibu au kuandika majina matatu wakati kaulizwa JINA lake?
Ni sahihi mtu kujibu au kuandika majina matatu wakati kaulizwa JINA lake?