JINA LAKO au MAJINA YAKO?

Ukipenda kuepukana na maswali mengi nenda Kenya. Pale sawa ukiingia mahali na kuita tu "Lete taska baridi" - utaipata. Ukiomba bia Kenya uko hatarini kufukuzwa baa maana hawapendi waombaomba.
Lakini si vibaya kuongea kidogo, kwa mawazo yangu ni njia ya kujenga utu na heshima. Sioni hasara yoyote kuendelea na njia ya kibongo. Faida yake nyingine: ukiomba "bilauri" pamoja na bia yako utaipata ila Kenya utamwona mara nyingi mhudumu asiyeelewa kitu.
 
Hata kwa Kiingereza wanasema “what is your name?”. Hawasemi “what are your names?” Na jibu ni "my name is Augustine Moshi", na sio "my names are Augustine Moshi". Lugha za kikabila vile vile zinatambua Augustine Moshi kama jina langu, na sio majina yangu.

Nirudi tena kwenye Maandiko: Mungu alimwambia Musa kwamba jina lake ni “I AM”. Hilo ni jina la Mungu, na sio majina ya Mungu.
 
Hata kwa Kiingereza wanasema “what is your name?”. Hawasemi “what are your names?” Na jibu ni "my name is Augustine Moshi", na sio "my names are Augustine Moshi". Lugha za kikabila vile vile zinatambua Augustine Moshi kama jina langu, na sio majina yangu.

Nirudi tena kwenye Maandiko: Mungu alimwambia Musa kwamba jina lake ni “I AM”. Hilo ni jina la Mungu, na sio majina ya Mungu.

IKO kazi.
Wataalamu toka BAKITA mko wapi?
Nani anipe mawasilano na BAKITA?
 
Ukipenda kuepukana na maswali mengi nenda Kenya. .....................QUOTE]

KIPALA,
Sidhani kama Kenya ni mfano mzuri wa mahali KISWAHILI kinatumiwa vizuri. Bado kiswahili ni kichanga sana huko Kenya.

Bado sijapata muafaka wa mada hii kuhusu JINA LAKO au MAJINA YAKO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom