Kipala
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 3,763
- 699
Ukipenda kuepukana na maswali mengi nenda Kenya. Pale sawa ukiingia mahali na kuita tu "Lete taska baridi" - utaipata. Ukiomba bia Kenya uko hatarini kufukuzwa baa maana hawapendi waombaomba.
Lakini si vibaya kuongea kidogo, kwa mawazo yangu ni njia ya kujenga utu na heshima. Sioni hasara yoyote kuendelea na njia ya kibongo. Faida yake nyingine: ukiomba "bilauri" pamoja na bia yako utaipata ila Kenya utamwona mara nyingi mhudumu asiyeelewa kitu.
Lakini si vibaya kuongea kidogo, kwa mawazo yangu ni njia ya kujenga utu na heshima. Sioni hasara yoyote kuendelea na njia ya kibongo. Faida yake nyingine: ukiomba "bilauri" pamoja na bia yako utaipata ila Kenya utamwona mara nyingi mhudumu asiyeelewa kitu.