Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,028
- 12,352
Toka billionaire Musk auchukue mtandao wa Twitter kuna mabadiliko kadha wa kadha amefanya.
Moja ya mabadiliko hayo ni kutoka kuitwa Twitter mpaka kuitwa "X".
Hili jina limekuwa na ukakasi mwingi sana hasa katika kulitumia kutambulisha mtandao unaotumia hata kufungua app yake katika kundi la watu lililo kuzunguka.
Hili jina "X" limejenga picha sio nzuri katika sehemu kubwa duniani ndani ya jamii hasa upande wa maadili.
Kuutamka mtandao "X" mbele ya watu lazima usindikize na Twitter ili usieleweke vibaya, naoa watangazaji wengi wa vipindi vya runinga na redioni lina wapa ukakasi mkubwa kulitamka.
Mfano: Mwanzo videos zilizopo Twitter zilikuwa zinaelezwa kama "Twitter videos" sasa hivi inabidi useme "X videos" tafrani tupu.
Sijui mtaalamu musk aliwaza nini juu ya hili jina maana limekaa kimagumashi balaah.
Moja ya mabadiliko hayo ni kutoka kuitwa Twitter mpaka kuitwa "X".
Hili jina limekuwa na ukakasi mwingi sana hasa katika kulitumia kutambulisha mtandao unaotumia hata kufungua app yake katika kundi la watu lililo kuzunguka.
Hili jina "X" limejenga picha sio nzuri katika sehemu kubwa duniani ndani ya jamii hasa upande wa maadili.
Kuutamka mtandao "X" mbele ya watu lazima usindikize na Twitter ili usieleweke vibaya, naoa watangazaji wengi wa vipindi vya runinga na redioni lina wapa ukakasi mkubwa kulitamka.
Mfano: Mwanzo videos zilizopo Twitter zilikuwa zinaelezwa kama "Twitter videos" sasa hivi inabidi useme "X videos" tafrani tupu.
Sijui mtaalamu musk aliwaza nini juu ya hili jina maana limekaa kimagumashi balaah.