The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,905
Kuna rafiki yangu ambaye ameoa hivi karibuni,mkewe
kajifungua mtoto wa kike...
Tatizo sasa ni kuwa yeye baba mtoto alitaka kumpa
mtoto jina la mama yake ambalo ni mwajabu.....
Mama mtoto hataki jina hilo anadai la kishamba...
Yeye anataka mtoto aitwe preta jina la msichana wa
kwenye tamthilia ya wa brazil inayoitwa shades of sin ambayo
inaendelaea sasa hivi.....
Mimi nimemuunga mkono baba mtu......
Nynyi mnaonaje????????????
Tuwashauri vipi???????
kajifungua mtoto wa kike...
Tatizo sasa ni kuwa yeye baba mtoto alitaka kumpa
mtoto jina la mama yake ambalo ni mwajabu.....
Mama mtoto hataki jina hilo anadai la kishamba...
Yeye anataka mtoto aitwe preta jina la msichana wa
kwenye tamthilia ya wa brazil inayoitwa shades of sin ambayo
inaendelaea sasa hivi.....
Mimi nimemuunga mkono baba mtu......
Nynyi mnaonaje????????????
Tuwashauri vipi???????