FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Kama vp si wampe tu jina kama yale ya makabila ya kusini mwa nchi yetu mara utasikia chui,cacakuona...
hahaha eheheh hahaha du chui ,simba ,cacakuona wewe umetoa mpya
Kama vp si wampe tu jina kama yale ya makabila ya kusini mwa nchi yetu mara utasikia chui,cacakuona...
hahaha eheheh hahaha du chui ,simba ,cacakuona wewe umetoa mpya
kuna dada mmoja ilitokea hivihivi
baba wa mtoto kapropose jina la mama yake binti akataa, akamwita baby-yanka
mpaka leo huyo mtoto hana nywele!!
wamwite jina jina la bint yangu ''blanca'' hili hatalia sana na nywele zitaota na afya itakuwepo.
hapa vipi shemeji?Mjusi, Komba, Chatu, Mbuzi, maPunda, Kicheche nk. Majina yanadumisha mila ZA KINGONI.
hapa vipi shemeji?
hapa umegonga ukweni meko!Hapo Sawa: Kama Kimaro, Shirima, Massawe, Nguli, Kyachakiche, Lamwai, Mrosso yanadumisha mila za KISUSIO
Tuwashauri vipi???????
hapa umegonga ukweni meko!
MKISHI AKO ALIMSIMAAAA!
umekula senksi bana!nashawishika kuamini kuwa baada ya kumaliza masomo yako ya kidato cha sita ulikamata tempo ya ualimu wa kiswahili makongoHahaha! Nilijua tu ntakukamatia hapo. Hahaha! We bingwa wa rivasi? Mkishi = Mshiki? LOL!
.................jina la Mwajabu wala sio jina zuri. Nilikuwa na rafiki yangu anaitwa jina alikuwa na vituko balaa, Mwajabu alikuwa kweli na maajabu ya ajabu.
kwani mwajabu maana yake ni nini? labda wale waislamu watuelezee
Jina lenyewe limekaa kiajabu ajabu, anyway ngoja wenywe waje kutufahamisha.
Hahaha! Nilijua tu ntakukamatia hapo. Hahaha! We bingwa wa rivasi? Mkishi = Mshiki? LOL!
halafu kwa kumbukumbu zangu hii ni 'sapu' sasa nadhani inabidi arudie mwaka au sio mpwa?
Hahaha! Ili akiteleza tena tumpige 'disko'? hahaha! LOL! Mpwa naona umeamua kuweka boundary nzito kwa sisteri.
...Lol, eti waje waislamu... yanapendwa majina ya kizungu, haya ya kina Mwana wa Ajabu, Mwa'Jabu, Mwaju, yanaonekana ya Kiswahili-swahili... [/FONT]
Mbu bana! kwani waislamu ni waswahili-swahili? mimi nilidhani waarabu arabu?
Kuna rafiki yangu ambaye ameoa hivi karibuni,mkewe
kajifungua mtoto wa kike...
Tatizo sasa ni kuwa yeye baba mtoto alitaka kumpa
mtoto jina la mama yake ambalo ni mwajabu.....
Mama mtoto hataki jina hilo anadai la kishamba...
Yeye anataka mtoto aitwe preta jina la msichana wa
kwenye tamthilia ya wa brazil inayoitwa shades of sin ambayo
inaendelaea sasa hivi.....
Mimi nimemuunga mkono baba mtu......
Nynyi mnaonaje????????????
Tuwashauri vipi???????