S shee leo Senior Member Dec 12, 2011 105 22 Apr 29, 2012 #1 Fasihi ni sanaa lakini si kila sanaa ni fasihi..NIPENI SABABU TANO
Kobello JF-Expert Member Feb 20, 2011 8,637 7,920 Apr 29, 2012 #2 Kila sanaa ni fasihi lakini si kila fasihi ni sanaa.
S shee leo Senior Member Dec 12, 2011 105 22 Apr 29, 2012 Thread starter #3 Jamani wewe!!hata hujui aina za sanaa?inawezekamaje sanaa ikawa fasihi wakati fasihi ipo ndan ya sanaa?
Jamani wewe!!hata hujui aina za sanaa?inawezekamaje sanaa ikawa fasihi wakati fasihi ipo ndan ya sanaa?