Nawaza kwa jinsi Bunge lilivyoendeshwa atleast kidemokrasia msimu huu hata kama ni ni kwa 0.5% democracy, ni hatua kwa Tanzania.Kwa miaka yangu michache niliyoishi na kulitazama Bunge,nimefurahia sana Sitta alivyothubutu kuruhusu baadhi ya mambo kujadiliwa live bungeni, Sikatai baadhi ya madhaifu yake ila nawaza kama Sitta atangolewa basi nani atamrithi. Generally alijaribu hata kama alikua ana agenda ya siri.
Anna Makinda au Sofia Simba