Jimbo la Urambo leo lilizima kwa maandamano makubwa ya kumpokea kamanda mteule Bwana Ally Maswanya ambaye ni kurugenzi wa kampuni ya Zain kanda ya Ziwa, maandamano hayo yalikuwa na lengo la kumsimika u-kamanda bwana maswanya ambaye pia anatajwa kulinyemelea jimbo hilo.
Maandamano hayo yaliyotanguliwa na msafara wa pikipiki karibu 70 na tax 50 zilizofuatiwa na magari ya kifahari karibu 30. hata hivyo katika hali ya kushangaza Bwana Spika aligoma kuhudhuria sherehe hizo zilifanyika mbele ya jengo la ccm wilaya ya Urambo, habari zaidi zinasema mgeni rasmi katika sherehe hizo alikuwa bwana Edwin sanda (MNEC Uvccm) ambaye alimwakilisha katibu mkuu Uvccm Martin Shigela aliyetakiwa kuwa mgeni rasmi.
akihutubia wananchi wa Urambo Bwana Maswanya ambaye kwa umri bado anaonekana kijana aliwaahidi vijana wa Urambo kuwapatia vyombo vya usafiri baada ya kuona kuwa vijana hao wamekosa mtu wa kuwajali kwa kipindi kirefu
Maandamano hayo yaliyotanguliwa na msafara wa pikipiki karibu 70 na tax 50 zilizofuatiwa na magari ya kifahari karibu 30. hata hivyo katika hali ya kushangaza Bwana Spika aligoma kuhudhuria sherehe hizo zilifanyika mbele ya jengo la ccm wilaya ya Urambo, habari zaidi zinasema mgeni rasmi katika sherehe hizo alikuwa bwana Edwin sanda (MNEC Uvccm) ambaye alimwakilisha katibu mkuu Uvccm Martin Shigela aliyetakiwa kuwa mgeni rasmi.
akihutubia wananchi wa Urambo Bwana Maswanya ambaye kwa umri bado anaonekana kijana aliwaahidi vijana wa Urambo kuwapatia vyombo vya usafiri baada ya kuona kuwa vijana hao wamekosa mtu wa kuwajali kwa kipindi kirefu