Jiwejeusi
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 754
- 131
Baada ya mbunge aliyechakachuliwa, mwenyekiti wa chadema mkoa wa shy na mjumbe wa kamati kuu ya chadema taifa, marehemu shelembi kufariki dunia, leo amepatikana mrithi wake. Mrithi wake ni ndugu JUMA PROTUS, mwenyekiti wa wilaya ya kahama mkoani hapa.
Ndugu JUMA alialikwa kushiriki maandamano ya kupinga kupanda kwa bei ya maji mkoani. Yeye alipewa kuzungumza, kama kawaida ya makamanda hakulemba. Wanachi wakaanza kumushangilia na kumwita mbunge. Wakamlazimisha akubali achukue mikoba ya marehemu shelembi, naye alikubali, wananchi wakamchangia pesa za usafiri na malazi kama asante kwa kukubali wito wao. Nilishawahi kupost humu ndani kuwa ccm haitakiwi hapa shy na mbunge mteule masele, hapendwi, hatambuliki na wala hafahamiki kama mbunge wa jimbo la shy mjini ambalo kwa miaka mingi limekuwa ngome ya chadema. Wasukuma wameamka, magamba watavuka.
Ndugu JUMA alialikwa kushiriki maandamano ya kupinga kupanda kwa bei ya maji mkoani. Yeye alipewa kuzungumza, kama kawaida ya makamanda hakulemba. Wanachi wakaanza kumushangilia na kumwita mbunge. Wakamlazimisha akubali achukue mikoba ya marehemu shelembi, naye alikubali, wananchi wakamchangia pesa za usafiri na malazi kama asante kwa kukubali wito wao. Nilishawahi kupost humu ndani kuwa ccm haitakiwi hapa shy na mbunge mteule masele, hapendwi, hatambuliki na wala hafahamiki kama mbunge wa jimbo la shy mjini ambalo kwa miaka mingi limekuwa ngome ya chadema. Wasukuma wameamka, magamba watavuka.