Kumpenda mtu mpaka uhonge? Ukiona mtu kakupenda baada ya kuhongwa ujue huyo hana mapenzi ya kweli. Ni sawa tu na hao wazaire wanaozungumziwa. Wadada kaeni chonjo mapenzi ya kulazimishana hayafai na hayana mwisho mzuri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.