Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
hobi nyingine bana
hivi mpaka leo mnapiga picha ili iweje. Nafuatilia matumizi ya picha hizo naona ni kupoteza kabisa pesa. Sawa! Hata kuvuta sigara ndo ivo ivo
ila poleni, mngeanza hayo mambo zamani msingefanya leo
mkuu majala kimolonafikiri kwanza uwape hongera kwa kufunga ndoa badala ya lawama haya ni moja ya matokeo ya ndoa...wapo wengi pengine na wewe mnatafakari na 40's lini mtaoalabda nikueleze picha ni moja ya kumbukumbu binafsi nilikuwa mke wangu akiniiudhi nikiangalia picha za harusi na mwanangu roho inatullia kabisa...sasa zamani picha zenu zilikuwa nyeupe tupu yawezekana amkuwa na picha kam za sasahivi sikuhizi ukiangalia zina mvuto mnato upendo kama utaangalia hata style za kukaa kwenye picha mlikuwa mnapiga kama mko bar hata picha za harusi...ndio maana kuna watu maalum kama photo nk aprt na uhuni wwao anyway tuwape muda....vijana wekeni kumbukumbu zenu sio mnakufa mnatafuta hata picha za kuweka mbele