Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,967
- 22,157
Ndugu mpendwa,
Pengine kuna wanaoulizia nyota nini tukisoma kitabu cha luka tunaona mamajusi walikuwa wakimfatafuta yesu wakiwa wanaaendelea kumtafuta wakaona nyota mashariki ya mbali, hapa inatujulisha kumbe nyota yako yaweza kuonekana Marekani kwa wakati huo mashariki ya mbali ni kama hapa na bara la Ulaya.
Baadae tunaona Mamajusi wakiwa wanazikaribia zile nyota zikapotea:
Hii inatuonyesha kwamba kumbe kuna wakati nyota ya mtu yaweza potea labda nikuelekeze hapa kinachofanyika kwa wale wanajimu wa nyota wanajua pdidy anakaa masaki mikochen nkwineko anajua jamaa ana fedha sana wanachofanya wale wakiwa kwenye ulimwengu wa mapepo wanaona nyota zinazongaaa sasa na wao wanaanza kuzitafuta kama walivyokuwa Mamajusi wanafika na kukuta kweli didy kapaki malori yake nje na gari nzuri za kifahari wanachofanya wanaweza kuingia kama watu, ama wanaingia kama paka wewe utaona paka na pengine hata panya wakimaliza kuchukua nyota zako baaday a mwezi unashangaa yale malori yanapinduka mara limegongwa ilimradi zile pesa zako zinaisha sasa basi akienda mwanmjini kudai atengenezewe awe tajiri wanachofanya ni kuhamisha zile nyota zako wanamuhamishia jamaa na baada ya muda unashangaa jamaa amepata utajkir gafla.
Huu ndio mchezo wa nyota..sasa basi lazima ujue jinsi ya kudai nyota zako. Kila ukilala mwambie mungu narudisha nyota yangu, nalaani wote waliochukua nyota yangu taja nyota ya utajiri nyota ya uzazi nyota ya ndoa nyota ya,tajaa kila aunachoitaji ukiweza kila siku nakwambia shetan alali maana zinarudi moja baada ya nyingine
Mamajusi wakiwa wanaendelea kumtafuta yesu nyota zikaonekana tena karibu na alipolala mtoto yesu:
Kumbe nyota yako ikingaa hata kama itapotea inatuonyesha lazima irudi kwako..nasema itarudi kwako in jesus name sema amen. Nasema huu mwezi wa umetosha nyota zetu zinarudi nasema zirudi ktk jina la yesu yoyote aliechukua nyota zetu awe amekufa ,hai tunazirudisha kwa jina la yesu, hapa tunaona baada ya kupotea nyota zikaja kuonekan mtoto alipo inaamaanisha nyota yako ikingaa hata waichukueje lazima irudi, nasema itarudi kwa jina la yesu sema hivi kila siku narudisha nyota yangu,kuanzia leo popote ilipofichwa majini, ziwani,baharini chumban, kwenye chungu na popote pale narusisha then anza kufyeka mapepo yaliochukua fyeka fyeka kwa jina la Yesu, ita mume wako kuna watu walikuwa na waume zao leo ni mawaziri, marais sababu ya kuchelewa klurudisha nyota zao wanaishia kuteseka kwenye makampuni yaliochioka tena kwa rushwa za ngono.
Imefika wakati rudisha nyota yako sasa,ita mke wako toka kwa mungu mwambie mungu narudisha nyota ya ndoa yangu narudisha nyota ya uzao wangu..nikupe siri kuna wachawi wanaka muhimbili na mahospital kulamba watoto wakiwa wanazaliwa, wale unaona wamekufa gafla sio kifo cha kawaida wako kuzimu untakiwa ombea uzao wako rudisha nyota ya uazo. Kuna mabinti wazuri wanahangaika mpaka sasa kupata watoto si kwamba mapenzi ya mungu la hasha kuna watu wameenda kwa waganga wkapewa uzao wako sasa unateseka wanakuita wanachotaka leo nasema imetosha nasema imeotsha anza kupiga majeshi ya shetan kama una tatizo la uzazi sali kila siku
Bwana yesu..ninakuja kwako naomba unisamehee dhambi zangu nilizofanya kwa kujua ama kwa kutojua...nirehemu leo hii rehemu uzao wangu rehemu wazazi wangu,rehemu ukoo wangu leo hii natangaza kurudisha kila nyota yangu iliochukuliwa na kuwekwa kwenye chungu,chumba,ziwani,baharini taja unakofikiria..natangaza leo hiikurudisha uzao wangu natangaza kuwa na watoto wasio na idadi ninarudisha kila aliechukua uzao wangu kwa jina la yesu...uko aliko uzao wangu ukarejeshwe kwa jina la yesu rudsha nyota ya mumeo ama mkeo kama ujaoa ama kuolewa. Narudisha fedha zangu kwa jina la yesu shetan na kufyeka imetosha nasema imetosha leo narudisha kilichochukuliwa kwangu in jesus name
Amen
Pengine kuna wanaoulizia nyota nini tukisoma kitabu cha luka tunaona mamajusi walikuwa wakimfatafuta yesu wakiwa wanaaendelea kumtafuta wakaona nyota mashariki ya mbali, hapa inatujulisha kumbe nyota yako yaweza kuonekana Marekani kwa wakati huo mashariki ya mbali ni kama hapa na bara la Ulaya.
Baadae tunaona Mamajusi wakiwa wanazikaribia zile nyota zikapotea:
Hii inatuonyesha kwamba kumbe kuna wakati nyota ya mtu yaweza potea labda nikuelekeze hapa kinachofanyika kwa wale wanajimu wa nyota wanajua pdidy anakaa masaki mikochen nkwineko anajua jamaa ana fedha sana wanachofanya wale wakiwa kwenye ulimwengu wa mapepo wanaona nyota zinazongaaa sasa na wao wanaanza kuzitafuta kama walivyokuwa Mamajusi wanafika na kukuta kweli didy kapaki malori yake nje na gari nzuri za kifahari wanachofanya wanaweza kuingia kama watu, ama wanaingia kama paka wewe utaona paka na pengine hata panya wakimaliza kuchukua nyota zako baaday a mwezi unashangaa yale malori yanapinduka mara limegongwa ilimradi zile pesa zako zinaisha sasa basi akienda mwanmjini kudai atengenezewe awe tajiri wanachofanya ni kuhamisha zile nyota zako wanamuhamishia jamaa na baada ya muda unashangaa jamaa amepata utajkir gafla.
Huu ndio mchezo wa nyota..sasa basi lazima ujue jinsi ya kudai nyota zako. Kila ukilala mwambie mungu narudisha nyota yangu, nalaani wote waliochukua nyota yangu taja nyota ya utajiri nyota ya uzazi nyota ya ndoa nyota ya,tajaa kila aunachoitaji ukiweza kila siku nakwambia shetan alali maana zinarudi moja baada ya nyingine
Mamajusi wakiwa wanaendelea kumtafuta yesu nyota zikaonekana tena karibu na alipolala mtoto yesu:
Kumbe nyota yako ikingaa hata kama itapotea inatuonyesha lazima irudi kwako..nasema itarudi kwako in jesus name sema amen. Nasema huu mwezi wa umetosha nyota zetu zinarudi nasema zirudi ktk jina la yesu yoyote aliechukua nyota zetu awe amekufa ,hai tunazirudisha kwa jina la yesu, hapa tunaona baada ya kupotea nyota zikaja kuonekan mtoto alipo inaamaanisha nyota yako ikingaa hata waichukueje lazima irudi, nasema itarudi kwa jina la yesu sema hivi kila siku narudisha nyota yangu,kuanzia leo popote ilipofichwa majini, ziwani,baharini chumban, kwenye chungu na popote pale narusisha then anza kufyeka mapepo yaliochukua fyeka fyeka kwa jina la Yesu, ita mume wako kuna watu walikuwa na waume zao leo ni mawaziri, marais sababu ya kuchelewa klurudisha nyota zao wanaishia kuteseka kwenye makampuni yaliochioka tena kwa rushwa za ngono.
Imefika wakati rudisha nyota yako sasa,ita mke wako toka kwa mungu mwambie mungu narudisha nyota ya ndoa yangu narudisha nyota ya uzao wangu..nikupe siri kuna wachawi wanaka muhimbili na mahospital kulamba watoto wakiwa wanazaliwa, wale unaona wamekufa gafla sio kifo cha kawaida wako kuzimu untakiwa ombea uzao wako rudisha nyota ya uazo. Kuna mabinti wazuri wanahangaika mpaka sasa kupata watoto si kwamba mapenzi ya mungu la hasha kuna watu wameenda kwa waganga wkapewa uzao wako sasa unateseka wanakuita wanachotaka leo nasema imetosha nasema imeotsha anza kupiga majeshi ya shetan kama una tatizo la uzazi sali kila siku
Bwana yesu..ninakuja kwako naomba unisamehee dhambi zangu nilizofanya kwa kujua ama kwa kutojua...nirehemu leo hii rehemu uzao wangu rehemu wazazi wangu,rehemu ukoo wangu leo hii natangaza kurudisha kila nyota yangu iliochukuliwa na kuwekwa kwenye chungu,chumba,ziwani,baharini taja unakofikiria..natangaza leo hiikurudisha uzao wangu natangaza kuwa na watoto wasio na idadi ninarudisha kila aliechukua uzao wangu kwa jina la yesu...uko aliko uzao wangu ukarejeshwe kwa jina la yesu rudsha nyota ya mumeo ama mkeo kama ujaoa ama kuolewa. Narudisha fedha zangu kwa jina la yesu shetan na kufyeka imetosha nasema imetosha leo narudisha kilichochukuliwa kwangu in jesus name
Amen