vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
Asalamu Aleikum JF Members,
Nafikiri nianze nakuwatakia Heri ya Mwaka mpya, Bado ni January na Bado tunatakiana Heri.
Jicho langu linaangazia Tanzania na Ukimwi, ninajiuliza Mengi sana kuhusu Takwimu za Maambukizo ya Virusi vya Ukimwi Tanzania.
Nina imani wengi wetu ni waadhirika wasiojijua! kwa maana nyingine tumeambukizwa virusi vya Ukimwi lakini hatujijui kwasababu bado hatujapima Afya zetu.
Hii ni moja ya sababu kubwa ya ongezeko la maambukizi ya Ugonjwa huu. Ninaamini wengi wetu tungekua na ujasiri wa kupima na kujua afya zetu tungechukua tahadhari,
Kwasababu mimi Vivian nilitembea na Invisble, na tayari invisible wameshaanza kumsema mtaani kuwa ni muadhirika, moja kwa moja na mimi najichukulia tayari ni Muadhirika, na kwasababu nina roho mbaya ninaamua kuondoka na watu pia. sitaki kufa peke yangu. atakayejipendekeza shauri yake, swala la condom ni yeye mwenyewe. akiwa nayo poa. asipokua nayo poa.
This will finish Us!!!!.
Kwanini m2 akijulikana ni muathirika anaonekana kama hastahili kuwa katika Jamii husika? amini msiamini muadhirika wa ukimwi katika Jamii ya kitanzania ni sawa na mtuhumiwa wa mauwaji. - kuna anayebisha hili?
Tufanyeje??????
Tupigane na ufisadi!!!
Kama sio ufisadi, Tanzania ni moja ya Nchi Tajiri Africa. kwasababu ya Ufisadi Tanzania ipo kumi bora ya nchi maskini Africa.
Kama Tungeweza kutumia rasilimali zetu katiaka njia isiyo ya kifisadi, Tungeweza kuwasaidia na kuwawezesha waathirika wa ukimwi.
hivi ingekuwaje kama Serikali ingetoa incentives kwa watu ili wapime afya zao kwa hiari? na wakigundulika ni waathirika wakasaidiwa kwa namna fulani.
Can we just Check what is SA doing about this?.
Nafikiri nianze nakuwatakia Heri ya Mwaka mpya, Bado ni January na Bado tunatakiana Heri.
Jicho langu linaangazia Tanzania na Ukimwi, ninajiuliza Mengi sana kuhusu Takwimu za Maambukizo ya Virusi vya Ukimwi Tanzania.
Nina imani wengi wetu ni waadhirika wasiojijua! kwa maana nyingine tumeambukizwa virusi vya Ukimwi lakini hatujijui kwasababu bado hatujapima Afya zetu.
Hii ni moja ya sababu kubwa ya ongezeko la maambukizi ya Ugonjwa huu. Ninaamini wengi wetu tungekua na ujasiri wa kupima na kujua afya zetu tungechukua tahadhari,
Kwasababu mimi Vivian nilitembea na Invisble, na tayari invisible wameshaanza kumsema mtaani kuwa ni muadhirika, moja kwa moja na mimi najichukulia tayari ni Muadhirika, na kwasababu nina roho mbaya ninaamua kuondoka na watu pia. sitaki kufa peke yangu. atakayejipendekeza shauri yake, swala la condom ni yeye mwenyewe. akiwa nayo poa. asipokua nayo poa.
This will finish Us!!!!.
Kwanini m2 akijulikana ni muathirika anaonekana kama hastahili kuwa katika Jamii husika? amini msiamini muadhirika wa ukimwi katika Jamii ya kitanzania ni sawa na mtuhumiwa wa mauwaji. - kuna anayebisha hili?
Tufanyeje??????
Tupigane na ufisadi!!!
Kama sio ufisadi, Tanzania ni moja ya Nchi Tajiri Africa. kwasababu ya Ufisadi Tanzania ipo kumi bora ya nchi maskini Africa.
Kama Tungeweza kutumia rasilimali zetu katiaka njia isiyo ya kifisadi, Tungeweza kuwasaidia na kuwawezesha waathirika wa ukimwi.
hivi ingekuwaje kama Serikali ingetoa incentives kwa watu ili wapime afya zao kwa hiari? na wakigundulika ni waathirika wakasaidiwa kwa namna fulani.
Can we just Check what is SA doing about this?.