Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Muda 30minutes,
Usiibie majibu kwa mwenzako.
1. Chama gani wabunge wake wanalala bungeni?
2. Kiongozi aliyewahi kusema hajui sababu ya umasikini wa watanzani, ni nani ?
3. Chama gani wabunge wake wana tabia kuunga hoja 100% ..............................
4. Chama chenye wanachama wenye akili zinazofannana ni ...................................
5. Ni chama kimeongoza nchi ikiwa masikini zaidi ya miaka 40?
Usiibie majibu kwa mwenzako.
1. Chama gani wabunge wake wanalala bungeni?
2. Kiongozi aliyewahi kusema hajui sababu ya umasikini wa watanzani, ni nani ?
3. Chama gani wabunge wake wana tabia kuunga hoja 100% ..............................
4. Chama chenye wanachama wenye akili zinazofannana ni ...................................
5. Ni chama kimeongoza nchi ikiwa masikini zaidi ya miaka 40?