Jibu maswali yafuatayo.

Sir R

JF-Expert Member
Oct 23, 2009
2,175
298
Muda 30minutes,
Usiibie majibu kwa mwenzako.

1. Chama gani wabunge wake wanalala bungeni?

2. Kiongozi aliyewahi kusema hajui sababu ya umasikini wa watanzani, ni nani ?

3. Chama gani wabunge wake wana tabia kuunga hoja 100% ..............................

4. Chama chenye wanachama wenye akili zinazofannana ni ...................................

5. Ni chama kimeongoza nchi ikiwa masikini zaidi ya miaka 40?
 
humtihani hata kama hujui kusoma na kuandika lazima ufaulu. Hebu watanzania wote tujibu kwa pamojaaaaa..., turudie tenaaaa.... Hahaaaa
 
Back
Top Bottom