Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Leo nimeamkia nyumbani didn't practice any INFIDELITY hata VALUER na yenyewe imenikalia pembeni
Thats against our rules....You have been warned!!
Leo nimeamkia nyumbani didn't practice any INFIDELITY hata VALUER na yenyewe imenikalia pembeni
mie nazo ila sio nyingi sana na pia nina song karibu zote za Heavy D, Craig Mark, Tupac, R. Kelly, Biggie Small, Bob Marley ila nina baadhi ya nyimbo za hao niliowataja hapo juu na pia nina ile albam ya kwanza ya Ahaliyah aliyeimba na R.Kelly pamoja na nyingine nyingi tu ambazo ni commonMkulu sasa unanifanya nianze kuhunt oldies kwa nguvu zote maana huwa zinanipa good memories
Thats against our rules....You have been warned!!
mie nazo ila sio nyingi sana na pia nina song karibu zote za Heavy D, Craig Mark, Tupac, R. Kelly, Biggie Small, Bob Marley ila nina baadhi ya nyimbo za hao niliowataja hapo juu na pia nina ile albam ya kwanza ya Ahaliyah aliyeimba na R.Kelly pamoja na nyingine nyingi tu ambazo ni common
ilikuwa inaitwa Home Again yap huo wimbo ni mkali sana mie pia naupenda sanaNikiikumbuka nitakwambia ila kuna wimbo wao wa CAN YOU STAND THE RAIN ule wimbo naweza kuusikiliza all day long bila kuchoka
the finest u r the man.
thank you.
As usual and always and forever:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose: never let you down
Mkuu naona umeandaa mazingira ya week end. Baada ya kumwimbia huo wimbo uanweza kuendelea na shughuli za club kwa karibi mwaka mzima.
Hii dose naona once per year (sijui hapa madakata wataanikaje?...1/365 au ??)
Ni muhimu kuwapa heshima yao kila siku kwani bila wao hakuna maisha. Kazi utafanya za nini na dunia itakuwa ya nini?
Mkuu unatimizaji wajibu kwanza unaondoa mianya yote ya evidence hata mwanasheria akija ngoma inamshinda
kaka naomba unitumie namba zako nikupigie....!Kweli mkuu.
Bila infii nadhani hii dunia yote ingekuwa ni JANGWA!!
Hivi huyu dogo Teamo kakamatiwa wapi? Unajua anaweza kuvunja sheria kwa kuzamia....LOL
Kweli mkuu.
Bila infii nadhani hii dunia yote ingekuwa ni JANGWA!!
Hivi huyu dogo Teamo kakamatiwa wapi? Unajua anaweza kuvunja sheria kwa kuzamia....LOL
The Following User Says Thank You to The Finest For This Useful Post:Alikuwa anafanya warm up si unajua mechi bila warm up unaweza kukuta timu inafungwa goli 7
kaka naomba unitumie namba zako nikupigie....!
nina zantel
honey naudediketi kwako swhtJamani wat mo Can I say?Be blessed jamani atleast ntaanza wknd njema zo alone!:tonguez:
umenigusa kweli jamani itapunguza stress za wikiend hii