Kuna CHIZI mtaani kwetu. ni maarufu kuliko sisi wote maana huwa anafanya mambo yake bila kuogopa mtu tena hadharani. hajawahi kukasirika watu wanapomhurumia jinsi anavyochakura-chakura majalalani. Tumeshauri ndugu zake wamsitiri ili kuficha aibu maana aibu si yake bali ya nduguze.
Kuna CHIZI mtaani kwetu. ni maarufu kuliko sisi wote maana huwa anafanya mambo yake bila kuogopa mtu tena hadharani. hajawahi kukasirika watu wanapomhurumia jinsi anavyochakura-chakura majalalani. Tumeshauri ndugu zake wamsitiri ili kuficha aibu maana aibu si yake bali ya nduguze.
...nakuomba unielekeza naweza kukuona vipi ana kwa ana. Au kama unaweza kunipatia namba yako ya simu...naomba kama hutapenda kunijibu hadharani...tuonane ...
Mchangunuo wa kisiasa kipindi hiki kimemkimbiza jukwaani! Atarudi muda si mrefu
Mkuu upo Kibiashara zaidi au upo kwenye kampeni ya kutafuta kondoo wa bwana waliopotea?
Hiyo REV ndo naiona leo, nifanje utaratibu gani ili nikupatie fungu langu la kumi?
Nimesimikwa hivi karibuni! Usijali nitafunga na kuomba kwa ajili yako, saidia masikini walio jirani yako
Mkuu kanisa lako liko wapi?, na wewe umenase kwenye nini yaani una KARAMA gani, ya kuombea utajiri, misukule au?
Ilo neno kwenye weusi mbona linatumika vibaya sana siku hizi...!? Kweli umesimikwa? Haya... yetu macho!Nimesimikwa hivi karibuni! Usijali nitafunga na kuomba kwa ajili yako, saidia masikini walio jirani yako
Kweli kaadimika labda katangaza nia na yupo kwenye kinyang'anyiro!Imepita masiku na miezi sijamsikia huyu ndugu, je yupo wapi maana amehadimika sana siku hizi...!
Malaria Sugu,
Nasikitika mpaka sasa umeshindwa kujitokeza ngaa kunijibu au hata ku acknowledge kuona ujumbe wangu- umenisikitisha sana hasa ukizingatia kashfa na matusi niliyoyapata kwa kukusifia kuwa unajua kazi yako ya propaganda.
Maadamu umeamua kuuchuna, basi naingia mtaani kukutafuta ili niweze kukubaini na unipe hiyo ''tuition'' ila ntakapokufehemu ntawajulisha members wote wewe ni nani- ushanifahamu hapo? Kufika Ijumaa jioni ntakuwa nshaposti jina na picha yako hapa...............hiyo picha yako ntakupiga utakapokuwa unatoka kwenye lifti pale PPF tower................