Kuna habari za kuaminika nimezipata kwenye mtandao kuwa kuna mwana JF amekamatwa na FBI (with conspiracy, bank fraud, wire fraud and Mortgage Fraud Scheme)
Kuna habari za kuaminika nimezipata kwenye mtandao kuwa kuna mwana JF amekamatwa na FBI (with conspiracy, bank fraud, wire fraud and Mortgage Fraud Scheme)
Inawezekana ndiye yamemkuta...!Hizo habari zako za kuaminika zina uhusiano gani na MaxShimba?
Hivi umbeya ni nini?sioni uhusiano wa kumuulizia mtu na kuleta habari za mtu kukamatwa?
ulikuwa unamuulizia kwa nia nzuri au ulitaka tu kumchafua mwenzio?
jf sio jukwaa la umbeya:mad2:
Hivi umbeya ni nini?
Kijana mbona uelweki mara mmbeya, mara mkuda...! Ndio kitu gani sasa... hata kama amekamatwa kuna tatizo gani wana JF wakijulishwa?si huo ulionao wewe??
we jifanye unatoka BAKITA hapa...:mad2:
mtu mzima ukiwa mkuda wala hainogi!!!
Kijana mbona uelweki mara mmbeya, mara mkuda...! Ndio kitu gani sasa... hata kama amekamatwa kuna tatizo gani wana JF wakijulishwa?
Sawa wewe uliye mzee, naona limekugusa sana ili, yaani mpaka povu linakutoka kama nini sijui...! lol!mnh lione vile,
yaani wewe unaona is for JF interest to know max kama amekamatwa...
hapa tunajulishwa misiba tu,mengine yote yanabaki kuwa personal affairs.
wacha umbea kijana!:mad2:
Nimekuelewa Acid... thanx.Paster.... umeleta thread halafu unaishia ligi ya mchangani, je kama amekamatwa, does it add any value to our lives? na je una ushahidi wowote? kama unao, thanks, kama huna usijishushe wewe uko level nyingine sio kama mimi na MS
Mtu anarusiwa kujipendekeza?