JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Pichani ni rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni akisalimiana na baba yake mzazi Mzee Amos Kaguta kijijini Rwakitura muda mfupi baada ya majeshi ya NRA kuiteka Kampala mwaka 1986.

Kulia ni muhandisi Winnie Byanyima ambae kwa sasa ni mke wa kiongozi wa upinzani Kiza Besige.

Ikumbukwe kuwa kabla ya kuolewa na Besige Winnie Byanyima alikuwa ni hawara wa Museveni wakati walipo kuwa katika vita vya msituni.

#Maktaba YetuView attachment 2027983
...Kwa somo.lako la ujumbe katika picha inaonekana huyo.mwanamke atamsaidia jamaa kuchukua uongozi..
Maana jamaa anaungana na baba yake huko alipo na yeye anasonga mbele..

Haya ni maoni kutokana na masomo hapa jf na kauli isichukuliwe vinginevyo..
 
Mara baada ya kushinda taji hilo na kumaliza mwaka wake mmoja wa kazi za jamii, alipata ofa mbalimbali za kufanya kazi za mitindo nchini Afrika ya Kusini, na hatimaye kuhamia huko na kuishi huko kwa karibu miaka 10 ambapo aliweza kupata marafiki wa jinsia mbalimbali na kutokana na marafiki hao aliweza kupata mchumba Bwana Jean P. Guyeu, raia wa Ufaransa aliyekuwa akifanya kazi zake nchini Afrika ya Kusini. Mrembo huyo akiwa na mchumba wake huyo hatimaye walikuja nyumbani nchini Tanzania kufunga ndoa ambayo ilihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wajumbe wa Kamati ya Miss Tanzania . Kamati inayoendesha Mashindano ya urembo nchini iliyomuwezesha kumfikisha hapo alipo mrembo linda Maeda. Kwa sasa mrembo Aina na mume wake wanaishi jijini Cape Town, Afrika ya Kusini.View attachment 2031136
Mkuu wa Historia asante sana. Nitarudi

Historia mujarabu kabisa
 
Anaitwa Patrice Lumumba
Alizaliwa tarehe 2 July 1925
Alifariki dunia tarehe 17 January 1961, akiwa na miaka 35,
Screenshot_20211204-061631.jpg
 
Back
Top Bottom