Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,447
- 5,303
Ila bongo kuna wakati tunaichukulia kimasihara sana, ila hapa kuna hatari sana angalia hata na watu waliopita hapa.. Noma sana, respectView attachment 1526957
Vladimir Putin akiwa Tanzania 1972 pamoja na Samora Machel na Emerson Mnanangwa(Rais wa Zimbabwe)
-Putin alikaa Morogoro Tanzania kwa miaka 4 (1973-1977)akiwafundisha wapigania uhuru wa kusini