mmmh wewe huwezi kuomba kwani,au unafikiri watu wanapiga kura jf nn?, ccm wanamungu tangu lini, ccm pesa tu jipange kaka na fedha nyingi sana ili ufanikiwe,hilo liko wazi
Wana JF, leo ninakwenda kusimama mbele ya Wabunge wote wa CCM kuomba kupitishwa kwenye kura zao za maoni ya kugombea Ubunge wa EAC, ninaamini niaenda pale nikiiwakilisha JF sasa ni muhimu sana leo tukaweka tofauti ya itikiadi zetu pembeni na kwua kitu kimoja katika kuombeana na kutakiana heri, kupita kwangu ni kupita kwa JF.
Sina hakika hata kama unafahamu la kufanya ukichaguliwa kuwa mbunge.
ninamuomba mungu ushindwe na ulegee
Kila la kheri Willium ukipita wewe imepita JF na unazo sala zetu...tunajua kuwa wewe uko karibu yetu sana kuliko hao wengine
Kila la heri...badilika sasa mkuu ubaharia weka pembeni kuva mikufu ya nanga.
16 March 2012?
Usitukane watu usifikiri keyboard zetu hazina hizo herufi za matusi jiheshimu. Kama wewe ni mmoja wa wapambe wake basi hafai.una uhakika na nani? wewe jike dume tulia kwani nikikuambia utaje hata watu wanne wanaogombea huwajui na huna mawasiliano nao, huyu williama any time ukiwa na maoni unaweza kumpa na yakamfikia au ushauri, acha unazi wewe nenda chit chat
una uhakika na nani? wewe jike dume tulia kwani nikikuambia utaje hata watu wanne wanaogombea huwajui na huna mawasiliano nao, huyu williama any time ukiwa na maoni unaweza kumpa na yakamfikia au ushauri, acha unazi wewe nenda chit chat