FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Good day to you all.. i salute
nimewaza na kuwazua hili naona ili nifanikiwe peke yangu siwezi
Nimechoka sana habari za kuajiriwa kuamka asubuhi na mapema kutoka nimechelewa nimefanya hivi kwa muda sasa ktk sekta fulani
Nataka kuacha kazi ndani ya miezi 6 au Mwaka ili niweze kujikita katika swala zima la biashara
Nisaidieni ni biashara gani nifanye ili niweze kufanikiwa pia faida na hasara zake nipeni mbinu wapendwa
i am totally feed up
FL1
nimewaza na kuwazua hili naona ili nifanikiwe peke yangu siwezi
Nimechoka sana habari za kuajiriwa kuamka asubuhi na mapema kutoka nimechelewa nimefanya hivi kwa muda sasa ktk sekta fulani
Nataka kuacha kazi ndani ya miezi 6 au Mwaka ili niweze kujikita katika swala zima la biashara
Nisaidieni ni biashara gani nifanye ili niweze kufanikiwa pia faida na hasara zake nipeni mbinu wapendwa
i am totally feed up
FL1